Natoka hapa Morena, nakinukisha Dar mda huu 😀😀😀😀As we speak niko puma nanenane naweka futa niingie Dar. Nimeikosa trip ya Arusha till next time. Narudi mjini.
Mkuu utaikuta fuga mbele... nikiona ile audi ya blue tu najua kimeumanaNatoka hapa Morena, nakinukisha Dar mda huu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kituo cha kwanza naona mie itakuwa Cate hotel pale.. Tutakutana tu leo 😀😀😀Mkuu utaikuta fuga mbele... nikiona ile audi ya blue tu najua kimeumana
Ukweli sehemu kubwa kuanzia humps, mashimo sipati shida 😀🙂Duh hivi kwa kutembea huku si mnajua kila shimo barabarani?
Nikifika Moro ntakuchekiKituo cha kwanza naona mie itakuwa Cate hotel pale.. Tutakutana tu leo [emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi ile ya Bambalaga juzi hamkuonana? Haya leo hakuna namna yapasa mpate kahawa pamoja kabla ya kuingia town. 'Anayechechemea' atafahamika pia leoMkuu utaikuta fuga mbele... nikiona ile audi ya blue tu najua kimeumana
[emoji23][emoji23][emoji23] labda pm mkuuMalizia sura yote, huenda tunafahamiana mkuu.[emoji23][emoji23]
Wewe hata lift yako siitaki
Umekaa kama chakula hivi
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Niliwahi jaribu mfata Waziri Mambo ya Nje wale jamaa wanatembeaZile tena [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] zinasafishiwa njia kabisa na nina hisi huwa zinatembea 200kmh
Nanenane ya Dom au Mby?As we speak niko puma nanenane naweka futa niingie Dar. Nimeikosa trip ya Arusha till next time. Narudi mjini.
Vimeumana apo aiseeNatoka hapa Morena, nakinukisha Dar mda huu 😀😀😀😀