Hilo eneo ni zuri sana....Hivi kuna kipande cha barabara Dar kinapendeza kama hapo?Jijini kamvua kakinyesha lami inaonekana km imepakwa vaseline[emoji847][emoji23][emoji23]View attachment 1827326
..Imeandikwa RRONDO, lakini mdomoni najikuta natamka PRONDO...[emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Hii ID imetusumbua wengi sana kumbe!
Mimi kila nikimtag nakuta tag inagoma, Dah nimekuja kugundua baadaye sana,tena kupitia uzi wake alioanzisha.
Brother RRONDO fanya ubadilishe jina ujiite tu PRONDO.
Ndiyo hivyo mkuu, hizo double R naona zimechezea watu wengi sana.[emoji3][emoji3][emoji3]Inabidi nivae mawani kumbe anaitwa RRONDO na siyo PRONDO,BOEING akajaribu kunielewesha nilivyo na kichwa kigumu hata sikumuelewa.
Hapana..limetuchanganya mno.Duh jamani mbona jina rahisi hilo...
[emoji38]mimi naandamana hadi ubadilishe jina.Jina maalum kujaribu umakini wa wana JF
Ametutega mwenyewe ili tukosee...Imeandikwa RRONDO, lakini mdomoni najikuta natamka PRONDO...[emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
Atusamehe bure...hatuna nia mbaya ya kutamka jina lake vibaya..[emoji3][emoji3]
Hiyo kupanda tuu Hiace ni wazi uwezo wa gharama za hapo Swiss zitamuelemea😀😀😀Bus hadi Lushoto mjini...then unachukua Hiace
Na Kuna activities nyingi na nzuri sanaMambo nimeisikia, nitapanda siku moja.
Mbona jina lipo wazi hivyo?Inabidi nivae mawani kumbe anaitwa RRONDO na siyo PRONDO,BOEING akajaribu kunielewesha nilivyo na kichwa kigumu hata sikumuelewa.
Tusiojua magari tulikosea mara nyingi tu jina lake.Mbona jina lipo wazi hivyo?
Toka siku ya kwanza sijawahi pata shida ya jina lake.
Na huwa nashangaa watu kumuita PRONDO badala ya RRONDO.
Tena hizo RR za mwanzo zinafanana na kifupi cha Rolls Royce. Nikajua anapenda sana hizo gari ndo maana akaamua chukua kifupi chake cha RR.
Naimani itapata tu siku moja. Mm pia sina ila soon ntapata inshalaah.Wana raha wanaoendesha.
Mimi sina gari boss,hata baiskeli Sina.
RR karibia wote tunalipenda tatizo bajeti tu lakini one day yes mkuu.Mbona jina lipo wazi hivyo?
Toka siku ya kwanza sijawahi pata shida ya jina lake.
Na huwa nashangaa watu kumuita PRONDO badala ya RRONDO.
Tena hizo RR za mwanzo zinafanana na kifupi cha Rolls Royce. Nikajua anapenda sana hizo gari ndo maana akaamua chukua kifupi chake cha RR.
Kuna wabishi wanayo mkuu,kuna wawili zenji wanayo ukiondoa Bhakhresa,mi ndoto za kumiliki hilo zilishakufa ntapanbana na hizi za mtumbani za kawaida.Kuna jamaa analo mitaa ya Masaki RR Ghost na reg kaweka private reg GHOST
mkuu mbona unaua ndoto Makati umri bado unasoma?Kuna wabishi wanayo mkuu,kuna wawili zenji wanayo ukiondoa Bhakhresa,mi ndoto za kumiliki hilo zilishakufa ntapanbana na hizi za mtumbani za kawaida.
Mi sipendi gari ambazo zipo too official kama hizo RR, bmw 7 series, merc bez s series.RR karibia wote tunalipenda tatizo bajeti tu lakini one day yes mkuu.
Kama ile Brabus ya mtoto wa Azam.Kuna jamaa analo mitaa ya Masaki RR Ghost na reg kaweka private reg GHOST