Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Sasa huko ni kukariri maisha

Siyo wote wenye umri huo na hawajaolewa basi ni "sizitaki mbichi hizi"

Kuna wengine nawajua ni wana wapenzi kabisa wanaotaka kuwaoa ila wao wanasema hapana bora waachane kuliko kuingia kwenye ndoa

Nimegundua ndoa wala siyo nature ila ni wabongo tu ndiyo tunalazimisha iwe nature mbona kwa wazungu kuna watu wanaishi tu bila ndoa na wana maisha mazuri yenye furaha

Na mtu kuamua kutokuoa au kutokuolewa ilikuwepo tangu enzi za biblia na hakuna andiko linalomkataza mtu kuwa single ili mradi tu asifanye uzinzi wa aina yoyote ile
 
Ouyeaaaah karibu sana kwetu, kwani ni wapi hapa kwetu unapopajua?[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ukitaka kuzuru Kariakoo
Njoo nitakushika mkono

Utapata na pa kulala free (hotel)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…