Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipigwa fine alipe dollar elfu 35 na kazi out alikua dereva wa boss wa Tanesco, v8 yenyewe show yote pale mbele ilikua nyang'anyang'a mkuu.chui alikua anakimbiza swala, swala akatangulia kuvuka ilipofika zam yake kakutana na v8 paah hakutikisika damu mpk maskioni na ulimi kang'ataMsala wake ulikuwaje mkuu
Sema sheria zingemkataa hata kujitetea, $ 35k parefu sanaAlipigwa fine alipe dollar elfu 35 na kazi out alikua dereva wa boss wa Tanesco, v8 yenyewe show yote pale mbele ilikua nyang'anyang'a mkuu.chui alikua anakimbiza swala, swala akatangulia kuvuka ilipofika zam yake kakutana na v8 paah hakutikisika damu mpk maskioni na ulimi kang'ata
Sasas hivi kuna vumbi balaa yaaani lori likikupita inabidi usimame kabisa lastweek nimeenda nimekuta jamaa alikuwa nyuma ya lori anapigwa vumbi na hilux yake akajifanya kuovertake naile vumbi wala haoni mbele alikutana uso kwa uso na mzigo wa dangote alifia pale pale mamiyakeHuo mkwara ndan ya mradi kwenyewe people zinajiachia mpk 100 kph kuna mwamba aligonga chui ndio akajua hajui[emoji847]
Kosa la kwanza ni kuendesha speed kinyume na vibao vinavyoonyesha speed mwisho 20 kph ndan ya mradiSema sheria zingemkataa hata kujitetea, $ 35k parefu sana
Udereva unaka nidhamu sana, ukiwa kichwa kibovu unajiuaSasas hivi kuna vumbi balaa yaaani lori likikupita inabidi usimame kabisa lastweek nimeenda nimekuta jamaa alikuwa nyuma ya lori anapigwa vumbi na hilux yake akajifanya kuovertake naile vumbi wala haoni mbele alikutana uso kwa uso na mzigo wa dangote alifia pale pale mamiyake
Kibox cha Van 😁
Hatari sana, anaonesha makali yake 😀😀Kibox cha Van 😁
Gari za mradi zinagonga daily sema swala, sungura husakwi noma ni izo big 5 animalsAskari wa wanyapori wana roho tatanishi sana wala jamaa. Aliempiga swala alilala mbele nini [emoji3][emoji3][emoji3]
Fine haina uswa hiyo mkuu $ 35k 😀😀😀.. unazungumzia zaidi ya milion 80+Kosa la kwanza ni kuendesha speed kinyume na vibao vinavyoonyesha speed mwisho 20 kph ndan ya mradi
Kosa hasa sio speed ila hilo la mnyama husika ndio balaa lake unalipa na ht kucha hupewi[emoji23][emoji23]Fine haina uswa hiyo mkuu $ 35k [emoji3][emoji3][emoji3].. unazungumzia zaidi ya milion 80+
80 million + sio fairKosa hasa sio speed ila hilo la mnyama husika ndio balaa lake unalipa na ht kucha hupewi[emoji23][emoji23]
😀😀😀😀😀 hiki ni chuma haswaa kama unajipenda hata lift yake usikubali
Kwaiyo unataka uuziwe chui 30, 0000/ c utagonga wote mkuu[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]80 million + sio fair
Hata milion 1 inatosha, ingetokea chui kaua mtu, huyo mtu fidia itayolipwa kwao ina zidi hiyo million 80 ?Kwaiyo unataka uuziwe chui 30, 0000/ c utagonga wote mkuu[emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi iendelee kaka...[emoji848][emoji848]Hata milion 1 inatosha, ingetokea chui kaua mtu, huyo mtu fidia itayolipwa kwao ina zidi hiyo million 80 ?
Sheria zetu za kiwaki sanaaa 😀😀😀Kazi iendelee kaka...[emoji848][emoji848]