Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Carina TI au BrevisWakuu nina milioni tatu.nitapata gari?
Brevis mkuu zipo powaGari ya maana kama gari gani mkuu?
Asante sana mkuu. Huenda pia naepushwa na mengine 😀😀😀😀 kwa njia ya changamotoDuh pole sana. Inachomewa vizuri Tafuta wataalam
Tafuta vitz namba C na passo tafuta dalali chapWakuu nina milioni tatu.nitapata gari?
Mcheki Hornet atakusaidiaMadalali wazinguaji
Duh pole sana.Siku mbaya mbaya tu hii, nimeingia sehemu flani nimechana sample dah ☹☹☹..
Achana na pombe mtakatifuOh Asante Sana Depal[emoji4][emoji120]
Nitajaribu Saint Anna iliyo na jina langu nione namna gani kulewa kunakuwa na nione ladha ya pombe.
Nje ya mada;
Nywele zako kwenye avatar umetengenezaje(umepaka Nini)
Nimezipenda.
Bado sijajaribu.Achana na pombe mtakatifu
Nakusihi usijaribu rafiki yangu wala haitayaondoa mawazo
Asante[emoji120]Thank you bro holyman.Also saint Anne thank you kwa like za kutosha.
Ahsante sana mkuu
Na Mimi nataka trip fupi tu ya mjini.Usijali ingawa mm Mungu akinisaidia kukipata kibaby walkes sitakuwa mzee wa masafa kama...
Asante sana mkuu.Duh pole sana.
Mwenzio yalinikuta. Nimetoka mbali vizuri na alphad ile naianza kibaha nikawa nahisi usingizi ila nakazaa macho nasema nimesha fika hapa ntalala home. Kufika kibamba nikapiga mapipa yale ya ujenzi wa barabara kumbe nilisha sinziaaaa kitamboo. Mguu wa kushoto mbele na bumper vili ishia pale. Confortability ya gari huongeza raha ya kausingizi.Nimejishangaa, haijawahi nitokea hii, zaidi ya mala nne nimetoa boko.. nikaona acha nipaki.. tu
Uza mechiAsante sana. Nipo dodoma na jioni natakiwa kuanza safari ya Tanga 🥲🥲
Pole sana, kwa yaliyotokeaga. Mie huwa na mbinu zangu ila leo zote zime fail kabisa 😀😀😀.. ikabidi nisalimu amri. Ila inshort safari imejaa chenga chenga ya leo..Mwenzio yalinikuta. Nimetoka mbali vizuri na alphad ile naianza kibaha nikawa nahisi usingizi ila nakazaa macho nasema nimesha fika hapa ntalala home. Kufika kibamba nikapiga mapipa yale ya ujenzi wa barabara kumbe nilisha sinziaaaa kitamboo. Mguu wa kushoto mbele na bumper vili ishia pale. Confortability ya gari huongeza raha ya kausingizi.