Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kweli mkuu sijui umetumia gari gani ila mfano kama LC V8 zina uwezo wa kutumia 4hrs tu from Dar to Dom ndiyo maana hata viongozi wakubwa wanaoendeshwa kwa hizi gari wana uwezo wa kuja Dar kila ijumaa jioni kuspend weekend nzima na kurudi Dom kila jumatatu asubuhi kuendelea na kazi! Wenyewe wanakuambia Dom hakujachangamka hivyo hapafai kula bata ndiyo maana wanatamani kurudi Dar!

Kuna siku Mwendazake alikuwa Mbeya na msafara wake imagine from Tukuyu to Mbeya mjini kwa gari za kawaida ni mwendo wa karibu lisaa na nusu lakini LC V8 za msafara wa Rais zilitumia nusu saa tu from Tukuyu to Mbeya! Yaani Mbeya mjini gari zote ambazo zilikuwa kwenye barabara ambayo msafara wa Rais ulitakiwa upite zilisimamishwa Mwendazake akiwa Tukuyu na baada ya nusu saa msafara ukawa umeshateremka Mbeya mjini!

Kwa sie SUV enthusiasts tunaona hapa kweli mjapan alitulia! Ndiyo maana binafsi kwa SUVs za mjep nazielewaga sana LC VXR V8 na NP Y62 V8 hizi gari huwa naziheshimu sana ni moto wa kuotea mbali!
Vipi kwa gari zinginr ndogo ambazo sio v8 zinaweza kutumia hiyo 4hrs dar - dom? Haswa usiku?
 
Utemi barabarani una raha yake sana. Napata uvivu kuchukua E350 AMG, nataka niongeze budget niangalie gari yenye HP kubwa zaidi ya hiyo iwe benz au audi au bmw.. kadri siku zinavyo enda naona nahitaji HP za kufa mtu, ukigusa tu unanata [emoji3][emoji3]
Hiyo uliyo nayo haiwezekana kuifanyia mod ikakupa more HP?
 
Hapana, mie sio muumini wa modification. Napenda kitu kilivyo kama bora ni bora na kama kinyonge ni kinyonge tu [emoji3][emoji3]
Kuna siku nilikua na gari ya knyongee kutokea moro kwenda dar katika kupambana kuyakata mabasi n maroli ghafla nyuma ikatokea crown kwangu ilikua ni gari Bora kulinganisha n niliyo kua naendesha. Ila nilishNgazwa na huyu mwenye crown nikitoa nae anatoa nikirudi nae anarudi mbele pakiwa peupe hanipiti. Yupo tu nyuma. Nilikuja kumuacha vigwaza niliyakata maroli matatu yeye aka nasa huko katikati ya maroli. Wakati mwingine gari inaweza ikawa Bora ila muongozaji wa gari mnyonge.
 
Kinyonge 😂😂😂😂
Eeh! Unakubaliana na hari tu, ila kuanza fukunyua gari kuweka madude mengine hapana, naamini sana katika Standard. Kiwandani wanaunda gari ina HP 100 inabidi uwe mpole, wamenagalia kuanzia safety etc .. mfano Majesta Ina HP kubwa ila ipo limit, ingawa unaweza chokonoa, ila body yake nahisi haijawa designed kuchochora 300.. ingawa unaweza fanya ukitaka.. maisha ni kuchaguaga tu.. mie muumini sana wa Standard
 
Kuna siku nilikua na gari ya knyongee kutokea moro kwenda dar katika kupambana kuyakata mabasi n maroli ghafla nyuma ikatokea crown kwangu ilikua ni gari Bora kulinganisha n niliyo kua naendesha. Ila nilishNgazwa na huyu mwenye crown nikitoa nae anatoa nikirudi nae anarudi mbele pakiwa peupe hanipiti. Yupo tu nyuma. Nilikuja kumuacha vigwaza niliyakata maroli matatu yeye aka nasa huko katikati ya maroli. Wakati mwingine gari inaweza ikawa Bora ila muongozaji wa gari mnyonge.
Ni kweli, kuna chombo na oparate wa chombo, hata mie kuna kipindi naziacha Staret na Vitz zinichakaze maana unakuta huna cha kupoteza
 
Kweli mkuu sijui umetumia gari gani ila mfano kama LC V8 zina uwezo wa kutumia 4hrs tu from Dar to Dom ndiyo maana hata viongozi wakubwa wanaoendeshwa kwa hizi gari wana uwezo wa kuja Dar kila ijumaa jioni kuspend weekend nzima na kurudi Dom kila jumatatu asubuhi kuendelea na kazi! Wenyewe wanakuambia Dom hakujachangamka hivyo hapafai kula bata ndiyo maana wanatamani kurudi Dar!

Kuna siku Mwendazake alikuwa Mbeya na msafara wake imagine from Tukuyu to Mbeya mjini kwa gari za kawaida ni mwendo wa karibu lisaa na nusu lakini LC V8 za msafara wa Rais zilitumia nusu saa tu from Tukuyu to Mbeya! Yaani Mbeya mjini gari zote ambazo zilikuwa kwenye barabara ambayo msafara wa Rais ulitakiwa upite zilisimamishwa Mwendazake akiwa Tukuyu na baada ya nusu saa msafara ukawa umeshateremka Mbeya mjini!

Kwa sie SUV enthusiasts tunaona hapa kweli mjapan alitulia! Ndiyo maana binafsi kwa SUVs za mjep nazielewaga sana LC VXR V8 na NP Y62 V8 hizi gari huwa naziheshimu sana ni moto wa kuotea mbali!
Uko vizuri mkuu. Natumia Nissan Fuga 350XV.

3.5L V6

Hao mabig bro nakula nao sahani moja mwanzo mpaka mwisho wa safari. Watanizidi kwa kufukia matuta tu. Au kama wakitembea zaidi ya 180 kwa muda mrefu, maana I am limited to 180kmph nikiwa 4000rpm
 
Back
Top Bottom