Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha mkuu umenilia timing wakati sipo ukatwanga photo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kwa long trip huwa napenda speed kubwa .Hahaa kuna watu wana allergy na Low speed
Speed kubwa kwako ni ngapi? Isije kuwa watu wanajitahidi kwenda taratibu lakini bado unalalamika spidi kubwa 😂😂Mimi kwa long trip huwa napenda speed kubwa .
Kwa short trip speed ndogo.
Kuna watu trip iwe ndefu ama fupi wao ni miendo tu[emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Angenipa hata ishara. Wakati mwingine kufuatwa nyuma nyuma sio vizuri sana inaketa hofu. Tena ma crown meusi alafu ukute ni usikuAlikutumia kama pace maker, hakuwa na haraka. Kampani inasaidia sana sometimes.
Hee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Speed kubwa kwako ni ngapi? Isije kuwa watu wanajitahidi kwenda taratibu lakini bado unalalamika spidi kubwa [emoji23][emoji23]
Acha uoga mkuu[emoji23]Angenipa hata ishara. Wakati mwingine kufuatwa nyuma nyuma sio vizuri sana inaketa hofu. Tena ma crown meusi alafu ukute ni usiku
Kachoma nimenotice ila nimevungaSide mirror....
Halafu sikuona[emoji134][emoji2098]Kachoma nimenotice ila nimevunga
Kuna siku kuna gari nimetoka nayo dodoma , ipo nyuma yangu hainipiti ilikuwa V8, nikaenda nao, kila nikikata mafuta wapo nyuma. Nikasema huu utoto nikapaki gari, nimekaa pale nakula mziki uzuri , badae natoka nawakuta mbele nao wamepaki 😀😀🙂.. nikasema isiwe kesi nikaenda walipo paki na mie nikapaki.Angenipa hata ishara. Wakati mwingine kufuatwa nyuma nyuma sio vizuri sana inaketa hofu. Tena ma crown meusi alafu ukute ni usiku
Basi utusamehe.... anything less than 140 kwetu hatuhesabu kama spidiHee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usije tu kuwa kama Holy man speed 180 anasema nitaenda speed ndogo 180tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Speed kubwa kwangu ni kuanzia 100.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna BMW M5 imekuwa tunned na Evolve.Eeh! Unakubaliana na hari tu, ila kuanza fukunyua gari kuweka madude mengine hapana, naamini sana katika Standard. Kiwandani wanaunda gari ina HP 100 inabidi uwe mpole, wamenagalia kuanzia safety etc .. mfano Majesta Ina HP kubwa ila ipo limit, ingawa unaweza chokonoa, ila body yake nahisi haijawa designed kuchochora 300.. ingawa unaweza fanya ukitaka.. maisha ni kuchaguaga tu.. mie muumini sana wa Standard
Ubaya wa sedan ndo unakuja hapo.Gari iko chini balaa, no wonder umebomoa sump. Na hutaki kulinyanyua. Changamoto.
Ila sijatembea kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ikifika 140kph tachometer inasoma ngapi?nasometimes inakimbia mpaka 170km ph
Basi mama enough is enough hizo kaa nazo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikuonyeshe ingine???
Ule muda unatusema wavivu wa kunywa maji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes you are right 100% mkuu. Hapo tu ndio pasua kichwaUbaya wa sedan ndo unakuja hapo.
Hizi gari changamoto sana.
upuuzi wa Nissan huo. sijui wanawaza nini na gear ratios fupi hivyo.Hamna mwendo mle mkuu. Y60 la diesel lina kelele tu
Usijali. Kuwa na amani [emoji6]
Jipige pige uchukua chuma hiyo, itakufaa sana , bei haijaamka sana na TRA wamepoa. BMW M5 nazielewa sanaaKuna BMW M5 imekuwa tunned na Evolve.
Kitu kinaenda mpaka 1000 hp.
Hii gari niliona kwenye drag races za CarWow.
Nimeitamani mpaka basi.