Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Tuliokua tunajua magufuli anatupeleka wapi ndo tunaumia sasa

Mafisadi wamerudi nakuwarudishia mademuzao magari kama hivo yameongeza msongamano

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Kuondoka kwa Magufuli wote wazalendo inatuuma sana, hasa tuliokuwa tunafahamu ambacho na nia njema ya JPM.. ila kuonga magari mbona kawaida mkuu, ukishapewa vitu vizuri gari kitu gani.. au hujashikwa weweee
 
Sawa boss.

Una Cha kuongeza kingine??
Tiririka[emoji23]
 
Jali afya

Acha kunyonya chumvi yakule inaweza kukusababishia maradhi ya INI
Punguza kulasana mshikaki ukivuka umri 30 mavitu magumu wewe unatumia bala sawa kula hata matunda hutaki ukimaliza mishikaki mbuzi zako lete k-vant kubwa

Fanya mazoezi hutaki umeng'ang'ana nagari ASB hadi usiku kwa siku 365..

Ukiugua jirani mbayasana
Huyu jiran yangu mgogo huyo

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Hujui raha ya chumvi wewe.. chumvi inafanya mifupa kuwa imara
Matunda naunga mkono hoja.. ridhiki yangu ipo kwenye steering ya gari mkuu 😀😀😀🙂
 

Kafungue mada yako huko

Hapa tuache tujadili road trips.

Otherwise una lako jambo.
 
Kafungue mada yako huko

Hapa tuache tujadili road trips.

Otherwise una lako jambo.
Sawa nimekusikia wahi Tiba

Sasa inabidi tuwanunulie chopa halimbaya sana kwakweli kisa kuka SAA zima unasubiri MTU apite

Blair Leo kawakawisha kikubwa awe amejipanga mwezake BUSH aliishia kujenga hospito mbagala

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
FOLENI nao niugonjwa bora mmeamua kuukabili

Ccm kuwasikia ndo kazi

Tiba ya ugonjwa nidawa
Dawa yakuondoa huu ugonjwa foleni simnaujua ?

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Eeh!

Endelea kutoa somo bwana MD.

Bado hatujakuelewa Dokta...
Changanya CCM,foleni na afya chopa humohumo[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…