Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Usafiri halafu ukalale cheap lodge unakuwa umejinyima sanaa.. huwa nikisema natwanga trip kwa burudani au kama nina stress.. pa kulala ni nyota nne au tano.. hata kama sina hela nilale pazuri sanaa na mazingira mazuri machoni na mwili.Unaweza kusave hata 10 yrs kusafiri.
Unaweza safiri kwa bajeti mbalimbali kupunguza gharama.
Back packers toka ulaya wakija africa kwanza wanafikia kwenye hostels, wanapanda economy, wanatafuta cheap destinations na attractions.
Mwisho wa safari unaweza kuta gharama zote zinaishia $1,000 - $2,000.
Kama unasafiri ndani ya Tz, unaweza tumia public transport, cheap lodges, cheap attractions. Mpaka unarudi umeshatumia not more than 300K.