Iko vizuri not very complicated, Germany hivyo unavyouliza vyote yuko juu.Habari za kazi wakuu. Kuna mtu humu ndani ana real experience ya VW tiguan. Nataka nijue mtazamo wake interms of reliability (frequency ya kuharibika), comfortability, fuel consumption, road stability yake kwene long trips and maintenance costs.
Nataka nichukue VW Tiguan LEISTUNG ya 2011.
Duh! Ali rest in peace au alipona?Mtagonga wapita njia nyinyi! Kuna sista mmoja namfahamu mume wake kagongwa hapo wiki kama mbili zilizopita! Ilikuwa usiku
Safari njema mkuu mfike salamaJioni naelekea Tanga, nitakuwa na V8 ikifanya safari yake ya kwanza nje ya Dar(sio yangu mimi ni test driver tu). Leo itabidi niendeshe usiku tu hamna namna.
ISO M.CodD
Holy Man mida yenu hio
Hehehe peleka moto mkuu [emoji3][emoji3]Jioni naelekea Tanga, nitakuwa na V8 ikifanya safari yake ya kwanza nje ya Dar(sio yangu mimi ni test driver tu). Leo itabidi niendeshe usiku tu hamna namna.
ISO M.CodD
Holy Man mida yenu hio
Tutumieni petrol lita 5 kwa kila mmoja wetu, msamaha upite...
Tutie kwenye gari...hatuendi kuchomea wapenzi..
Mkuu ulipotea sanaaa
Jioni naelekea Tanga, nitakuwa na V8 ikifanya safari yake ya kwanza nje ya Dar(sio yangu mimi ni test driver tu). Leo itabidi niendeshe usiku tu hamna namna.
ISO M.CodD
Holy Man mida yenu hio
kabukuUnaenda wapi?
Uwe na safari njema Kaka......ni test drive ya kwenda kwenye marathon nahisiJioni naelekea Tanga, nitakuwa na V8 ikifanya safari yake ya kwanza nje ya Dar(sio yangu mimi ni test driver tu). Leo itabidi niendeshe usiku tu hamna namna.
ISO M.CodD
Holy Man mida yenu hio
mkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?Iko vizuri not very complicated, Germany hivyo unavyouliza vyote yuko juu.
Jioni naelekea Tanga, nitakuwa na V8 ikifanya safari yake ya kwanza nje ya Dar(sio yangu mimi ni test driver tu). Leo itabidi niendeshe usiku tu hamna namna.
ISO M.CodD
Holy Man mida yenu hio
Needs extra care,not as reliable as Toyota. Pole kwa majanga.mkuu hofu yangu ni kwene reliability na je inahitaji ile extra care au unaeza kuburuza kama toyota?
Maana nataka kuchange from toyota baada ya wezi kunitenda taa, side mirror, power window, dashboard, control box etc
View attachment 1873884