Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Sawa mkuu.. hujakalili muzeeeSiyo kukalili bro ndio uhalisia!
Gari kwa tz lazima uzingatie barabara zetu ndio maana balozi anacha benzi lake ofisini anabeba Prado kwenda nalo site.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona benzi zipo nyingi mikoani?Unafikiri balozi mpaka anaenda na Prado mkoani alafu anaacha benzi ofisini hana akili?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu uache kukariri.Siyo kukalili bro ndio uhalisia!
Gari kwa tz lazima uzingatie barabara zetu ndio maana balozi anacha benzi lake ofisini anabeba Prado kwenda nalo site.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu, sijakataa ila hiyo ni lami kwa lami.Mkuu uache kukariri.
Kuna benzi nimepiga nayo sana safari za mkoa.
Week 2 nyuma nimepiga nalo dar arusha, na kuna bmw nayo ilikuwa kwenye convoy.
Hizo mbona gari za kawaida sana boss?
Sijawahi kuosha gari yangu dah! Naonaga kazi sana. Plus ubachela huu ni mwendo wa car wash tu.Nawasalimia wale wazee wa kuosha gari nyumbani. Wanadeal na body tu + tyre.... Leo nimepanda lift ya baharia flani, hiiii bhangoshaa gari nje inawakaa ndani sasa hadi nimepata mafua [emoji23]
NB. Nilimwambia muhusika [emoji23]View attachment 1896753
"Ingia ndani Sasa[emoji39][emoji39]"Sijawahi kuosha gari yangu dah! Naonaga kazi sana. Plus ubachela huu ni mwendo wa car wash tu.
Rangi nyeusi ya kishenzi sana ikitoka car wash inakuwa inanata ukisogea km1 tu ishajaa vumbi! Plus kufuta vumbi naona upotevu tu wa muda so gari chafu nje almost 24/7. Ingia ndani sasa....[emoji39][emoji39][emoji39]
Watu wakiniambia gari chafu nawajibugi kwa kuwauliza mi nakaa ndani au nje ya gari?
Haha vumbi ikijaa si raia wanaigeuza ubao? Likely nioshe nyingiii...Sijawahi kuosha gari yangu dah! Naonaga kazi sana. Plus ubachela huu ni mwendo wa car wash tu.
Rangi nyeusi ya kishenzi sana ikitoka car wash inakuwa inanata ukisogea km1 tu ishajaa vumbi! Plus kufuta vumbi naona upotevu tu wa muda so gari chafu nje almost 24/7. Ingia ndani sasa....[emoji39][emoji39][emoji39]
Watu wakiniambia gari chafu nawajibugi kwa kuwauliza mi nakaa ndani au nje ya gari?
Wana wanagonga signature za kutosha mixer grafitti [emoji23][emoji23][emoji23]Haha vumbi ikijaa si raia wanaigeuza ubao? Likely nioshe nyingiii...
Haha hadi graffiti? Hiyo vumbi si mchezo.Wana wanagonga signature za kutosha mixer grafitti [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vumbi halileti kutu ila maji yanaleta kutu [emoji23][emoji23]Haha hadi graffiti? Hiyo vumbi si mchezo.
ISO osha body hiyoo [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vumbi halileti kutu ila maji yanaleta kutu [emoji23][emoji23]
My bro mmoja gari DQW maji yashapenya kwenye seal za vioo.... akipandisha na kushusha kioo michirizi kibao inatokea. Kila siku gari inaoshwa.Kuna watu wanaosha gari kama nguo za ndani [emoji28]
Daily inakula maji
My bro mmoja gari DQW maji yashapenya kwenye seal za vioo.... akipandisha na kushusha kioo michirizi kibao inatokea. Kila siku gari inaoshwa.
Mbona benzi zipo nyingi mikoani?
Wala hata ashazoea magari toka utoto. Ni msafi kupitiliza.Na kaushamba hua kanachangiz.
Mtindo wa maisha ni kuchagua, anaeosha asimcheke aise osha na asie osha pia asicheke mwenzake. Gari zangu huwa zinapigwa mvuke mala mbili kwa mweziKuna watu wanaosha gari kama nguo za ndani [emoji28]
Daily inakula maji
mvua huwa zinasaidia sana sana.. ila sasa hiki kipindi mvua zimepoa. kuosha haikwepekiMimi naosha gari mara moja kwa wiki! Mvua huwa inasaidia sana ikinyesha