Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Au tunatoka SanguAaah inaonekana umesoma Sangu. Nitakutembeza route ya Zamani Forest mpk Sae.
Ipo hivi mfano ; leo ni tarehe 04 September 2021 siku inaenda kupinduka saa 00:00 wote watao ingia hotelin kuanzi mdaa huu hadi saa 02:49 watatoka kesho ambayo ni tarehe 05 Sepetember 2021. Ila mie nikiingia saa 03:00 nitatoka tarehe 06 Sepetember 2021.. alafu mie silalagi Lodge nadra sana hutokea hii kwasababu lodge nyingi zipo rough sanaMimi nimewahi lala lodge kipindi naenda chuo, niliambiwa saa4 asbh hela yangu inaisha.
Nilifika saa3 usiku .
Sasa wewe ukiingia saa 8 usiku,saa 4asbh unatakiwa utoke,si Bora aliyeingia saa 3 usiku anakuwa amekaa muda mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mtoto wa Soko Matola kabisa, Mtaa wa Kanisa nyumba namba 4.Asante Mkuu, nikija huko nitakupigisha road trip ya Mguu. Toka S/Matola-Uhindini-Jacaranda-Meta Sec mpaka Old Forest. Ukiwa vizuri tunaenda mpaka mitaa ya Mzumbe.
Hiyo mitaa watoto wa uswazi wakikusumbua mcheki mshua Bujibuji.
Kwahiyo unakaa siku 2?Ipo hivi mfano ; leo ni tarehe 04 September 2021 siku inaenda kupinduka saa 00:00 wote watao ingia hotelin kuanzi mdaa huu hadi saa 02:49 watatoka kesho ambayo ni tarehe 05 Sepetember 2021. Ila mie nikiingia saa 03:00 nitatoka tarehe 06 Sepetember 2021.. alafu mie silalagi Lodge nadra sana hutokea hii kwasababu lodge nyingi zipo rough sana
Ukiangiia usiku wa saa tisa leo unatoka kesho saa tanoYaani kwa mfano umeingia usiku saa9 leo,,
Si inatakiwa utoke leo saa5 asbh ,
Sasa una tofauti gani na mtu aliyechukua saa5 usiku wa kuamkia Leo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatakiwa atoke kesho.. saa tanoKwahiyo unakaa siku 2?
Basi huo utaratibu Ni mbovu Sana..
Kwahiyo mfano mtu ameingia saa1 asbh,anatakiwa atoke saa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio changamoto ulipo maana hivyo vi lodge having mda maalumu wa kuingia.Kwahiyo unakaa siku 2?
Basi huo utaratibu Ni mbovu Sana..
Kwahiyo mfano mtu ameingia saa1 asbh,anatakiwa atoke saa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee[emoji7]
Leo saa 5 au kesho??Anatakiwa atoke kesho.. saa tano
Kesho twende hotelin mapema uone kwa practical maana hapa theory huwezi kuelewa😎Kwahiyo unakaa siku 2?
Basi huo utaratibu Ni mbovu Sana..
Kwahiyo mfano mtu ameingia saa1 asbh,anatakiwa atoke saa ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
kesho saa tano, kesho fanya twende kwenye hotel moja uone kwa practical 🧔🏼♂️🧔🏼♂️Leo saa 5 au kesho??
Yaani atakaa tena hadi saa 9 usiku,halafu atoke saa5[emoji848]!
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana inakuwa siku 2.Hapo ndio changamoto ulipo maana hivyo vi lodge having mda maalumu wa kuingia.
Ukienda kwenye hoteli kubwa utakuta wameweka mda wakuingia na kutoka; ukichelewa kutoka unslipia na ukiwahi kufika ukataka kuingia unalipia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesho twende hotelin mapema uone kwa practical maana hapa theory huwezi kuelewa[emoji41]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kesho saa tano, kesho fanya twende kwenye hotel moja uone kwa practical [emoji3187][emoji3603][emoji3187][emoji3603]
Nitakupitia kesho saa 9 alafajiri au saa kumi utaondoka saa moja jioni , practical muhimu 😅😎[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Saa 1 na nusu natakiwa kuwa nyumbani,kama ng'ombe vile anavyorudi zizini.
Sent using Jamii Forums mobile app
🙄🙄🙄 munashara tena wewe mwanadunzi mkaidi 😁😁😢[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa.
Ukifika utanipigia video call nione mubashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849] munashara tena wewe mwanadunzi mkaidi [emoji16][emoji16][emoji22]
Kwahiyo mnatega ili mtumie siku 2?Nitakupitia kesho saa 9 alafajiri au saa kumi utaondoka saa moja jioni , practical muhimu [emoji28][emoji41]
Kwenye lodge ndio mnafanyiwa hivyo, ila hotel kubwa kubwa hazina huo mchezo zina heshimu wateja wake saa tisa usiku na siku ingine hiyo kumekucha kabisaaaKwahiyo mnatega ili mtumie siku 2?
Yaani aliteweka huo utaratibu alikosea.
Ilitakiwa yahesabiwe masaa tu,,ukikaa masaa 7 inatosha.
Sent using Jamii Forums mobile app