Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Nimeisha place order mkuu wangu😀😀😀 tukazindue waja darMkali wa hizi kazi[emoji23][emoji23][emoji1787]
vile vilikuwa vitisho tu, ili vijana waogope ila kiu harisia hakujawai kuwa na kitu kama hicho.. ingekuwa kweli tungeisha zamaniZamani kulikua na watoto wa mama Salma vyuo vingiii. Vipi siku hizi hamna watoto wa mama Samia? Unakula wazuuri lakin Wana Moto.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
kukuogopa mama salama ni sawa na kuogopa chakula kizuri ukitishiwa kina pili pili wakati hamna kitu, watoto wa chuo wanajua kujipamba bwana weee sema vinakuwa empty set ndio unaanza kukapiga msasaDuh[emoji3]
Umenikumbusha asee kipindi hiyo nauza barakoa za kike na pambaja zake[emoji3]
Goli langu lilikuwa mkabala na mlango wa kuingia uwanja wa chuo cha ushirika
Jirani na mimi alikuwa fundi viatu, mbele kule biashara ya vyakula
Hakika wale watoto walikuwa balaa, uvaaji wao na hata darasani walikuwa vizuri
Sina hakika mtaa wangu hapo Longuo ulisalimika kiasi gani[emoji3]
Panaitwaje asee ? nitakupa mrejesho weekendView attachment 1954603
Holly man.......kijiwe kingine hiki cha mambo yako kwa uelekeo wa nje ya Dar via Bagamoyo road
Panaitwa Isumba loungePanaitwaje asee ? nitakupa mrejesho weekend
Hahaa kuna Wenzako hawachaguagiAngekuwa mzuri ningesema ndio ila dah jau kishenzi af kala chumvi
Hao watoto walikuwa na majaribu kipindi hicho nilikuwa Moro Town, jamaa yangu alinipa ishu ya kusambaza body spray kaka yake alileta 20ft Zanzibar akawa anaogopa Kodi huku Bongo, nilikuwa nasambaza SUA na Jordan na madukani kwa Bei kitonga.Duh[emoji3]
Umenikumbusha asee kipindi hiyo nauza barakoa za kike na pambaja zake[emoji3]
Goli langu lilikuwa mkabala na mlango wa kuingia uwanja wa chuo cha ushirika
Jirani na mimi alikuwa fundi viatu, mbele kule biashara ya vyakula
Hakika wale watoto walikuwa balaa, uvaaji wao na hata darasani walikuwa vizuri
Sina hakika mtaa wangu hapo Longuo ulisalimika kiasi gani[emoji3]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] pole sana seaman!Hao watoto walikuwa na majaribu kipindi hicho nilikuwa Moro Town, jamaa yangu alinipa ishu ya kusambaza body spray kaka yake alileta 20ft Zanzibar akawa anaogopa Kodi huku Bongo, nilikuwa nasambaza SUA na Jordan na madukani kwa Bei kitonga.
Mzigo ulikuwa unakuja kwa Mafungu Dar Kisha Moro kwenye Shangazi kaja. Biashara wateja wakubwa walikuwa wakina dada wa SUA na Jordan, Jioni unapita kwenye hostel unaona nyara haziwekewa kizuizi au unapita Madeni kwa ambao walichukua hawakumaliza kulipa.
Mwishoni Kuna siku nilikuwa Jordan University pale nje getini Kuna duka wakati nafanya maelewano na mwenye duka nimletee mzigo maana alipenda bidhaa, akatokea mwanachuo wa kike alikuwa anataka Kuna body spray alipenda Ile kagua kagua yake si akaona Kuna spray expire date imepita akaongea kwa sauti na kusaga Sana kunguni kuwa nauza vitu vilivyo expire mpaka bwashee akasikia na akaghairi kuchukua mzigo wowote kwangu.
Kwenye utafutaji hutakiwi kuwa roho ya mama mzazi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] pole sana seaman!
Siku nyingine usirudie kuchuuza bidhaa zilizo nje ya muda!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwenye utafutaji hutakiwi kuwa roho ya mama mzazi
Roho ya mama wa kambo ndio haswa uwe nayo
Yakikukuta ni yako na ukipatia mjanja wewe
Uzeeni unakula pensheni vile ulivyochakata hustle zako[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] na wengine wanaoelekea kumalizaa hutak? Uwiiiiihvikija vi first year nipe connection basiii huwa vitamu sanaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti motoooohZamani kulikua na watoto wa mama Salma vyuo vingiii. Vipi siku hizi hamna watoto wa mama Samia? Unakula wazuuri lakin Wana Moto.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi jua labda Chombo ya boss
🤣Nililala Singida, nikafanya mambo yangu, nikapaa shwaaa arusha.. then huyo dodoma nikapumzika then huyo Dar es salaam
Mzigo ulikuwa mkubwa mkuu kukagua Moja Moja ilikuwa ngumu 20ft container si mchezo.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] pole sana seaman!
Siku nyingine usirudie kuchuuza bidhaa zilizo nje ya muda!
Hao nipe Mimi niwafundishe kuandika CV.[emoji23][emoji23][emoji23] na wengine wanaoelekea kumalizaa hutak? Uwiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja vyuo vifunguliwe, utafurahi.Hao nipe Mimi niwafundishe kuandika CV.
Unaporudi Dar na Super Feo au Selous hizi mpya fanya uniletee makaba nitakuja Ubungo au Mbezi kupokea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja vyuo vifunguliwe, utafurahi.