Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Duh[emoji3]

Umenikumbusha asee kipindi hiyo nauza barakoa za kike na pambaja zake[emoji3]

Goli langu lilikuwa mkabala na mlango wa kuingia uwanja wa chuo cha ushirika

Jirani na mimi alikuwa fundi viatu, mbele kule biashara ya vyakula

Hakika wale watoto walikuwa balaa, uvaaji wao na hata darasani walikuwa vizuri

Sina hakika mtaa wangu hapo Longuo ulisalimika kiasi gani[emoji3]
Nipo longuo apa napata [emoji200] na mbege swafi!
 
Duh[emoji3]

Umenikumbusha asee kipindi hiyo nauza barakoa za kike na pambaja zake[emoji3]

Goli langu lilikuwa mkabala na mlango wa kuingia uwanja wa chuo cha ushirika

Jirani na mimi alikuwa fundi viatu, mbele kule biashara ya vyakula

Hakika wale watoto walikuwa balaa, uvaaji wao na hata darasani walikuwa vizuri

Sina hakika mtaa wangu hapo Longuo ulisalimika kiasi gani[emoji3]
Ulikuwa Rau au maduka ya chini mkuu.
 
Back
Top Bottom