Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Kasema unitumie@RRONDO
Anasemaje kwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema unitumie@RRONDO
Anasemaje kwani
Hahahaha halafu unasema haujui mambo hebu acha utapeli ww😅Namshikilia kama pindo la Yesu
Shida sio kupika shida kuosha vyombo😅 aisee ni mara kumi unipe adhabu ya kupika ila sio kuosha vyombo tena bora sahani vikombe na vijiko ila masufuria uongo!Ndio hapo Sasa!
Dawa ukimaliza kupika unaoshaShida sio kupika shida kuosha vyombo😅 aisee ni mara kumi unipe adhabu ya kupika ila sio kuosha vyombo tena bora sahani vikombe na vijiko ila masufuria uongo!
Hahaaa nyie msiooa ndiyo kabisa inabidi tuwaweke kwenye maombi ya mfungo! Maana kama waliooa tu wanafanya hivyo sasa ninyi msiooa si ndiyo itakuwa hatari kabisa!Kuoa?
Sijui, ila naona umeamka na mimi
U hali gani hapo ulipo
Sipiku kabisa nakula kwa mama ntilie sababu tu hio!Dawa ukimaliza kupika unaosha
Hutamani vyakujipikia?Sipiku kabisa nakula kwa mama ntilie sababu tu hio!
Mimi siyo pisi kali. Halafu sipendi vya kupewapewa.Pisi kali mnapenda muamala [emoji3]
Napenda ila sipendi kuosha vyombo aisee! Thats disgusting nimemaliza ugali nimeshiba halafu mavyombo yananitazamaHutamani vyakujipikia?
Duuh sasa mbona maandishi yao humu hayafananii kabisa na upole? Aahh wapole wanajulikana bhana![emoji38]
Mpole acha tu,ila bado namuogopa,basi siku tumekutana nilikuwa mpoleee,mdogo kama piriton[emoji23]+ongea Yangu ya taratibu..
Yule namuogopa hata kuongea naye siwezi ...
Kama wewe unavyomuogopa yule dada yangu naniliu[emoji38],,nilienda msalimia..yaani ni mpole kuliko Mimi[emoji16]nikaanza kuogopa.
Hutamani vyakujipikia?
Ila polisi wametokea kuchukiwa sana ndani ya miaka mitano iliyopita! Sijui shida nini hasa!Kuolewa na mwanaume wa haya magari ni kujitafutia presha na stress .
Yaani unatafuta matatizo yalipo.
Mimi mtu akishakuwa tu na kazi ya udereva,ama polisi ..yaani sijiulizi mara 2,2 kufanya maamuzi.
Nzuri kijanaHabari binti
Hongera kama ni KweliMmoja wapo mie hapa [emoji4]
Msituchukie jamani. Mbona hatuna shida?Ila polisi wametokea kuchukiwa sana ndani ya miaka mitano iliyopita! Sijui shida nini hasa!
Wengi hawajitambui.Ila polisi wametokea kuchukiwa sana ndani ya miaka mitano iliyopita! Sijui shida nini hasa!
Kuna wanaume wanajua kupika wewe !!!Labda ajipikilishe😁😁😁kupika si mchezo mdogo
Wapo ila hawafikii idadi ya kuwekwa kwenye hesabu,wengi huwa wanajipikilisha mambo ya tambi ,pasta sijui na mayai na vitu viingi vya kuchemshachemsha,😁😁😁Kuna wanaume wanajua kupika wewe !!!
On the way DarKuna wanaume wanajua kupika wewe !!!