Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
😳😳😳😳😳😳 nyie wajeda chenzeni wenyewe mnaelewa lugha .. hatutaki cheza na nyie tenaDah [emoji3]
Sawa mzee wa Scirocco
Haha usiogope mkuu. Hamna mjeda hapa.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] nyie wajeda chenzeni wenyewe mnaelewa lugha .. hatutaki cheza na nyie tena
Hamumpati mtu 😅😅😅 wewe nahisi mjeda kitengoHaha usiogope mkuu. Hamna mjeda hapa.
Hivi na sisi tusio na magari tunaruhisiwa kuweka picha?View attachment 1969452
Usiku wa leo nakuongezea zingine😎😎Kwa nini sipati notifications za Tag?
Anyways
Zile nyimbo natamani kuongeza nyingine
Mimi Afisa Kipenyo [emoji16][emoji16]Hamumpati mtu [emoji28][emoji28][emoji28] wewe nahisi mjeda kitengo
Nani anataka shidaaUzi Safari za magari watoto wa kike kama wote
Uzi wa matengenezo ya magari hawaonekani [emoji1787]
Hawataki kichafuka na oil[emoji1787][emoji1787]
Lakini hivi ni kwanini watu wengi wakijua mtu ni mwanajeshi ni kama wanaanza kumchukia fulani hivi hasa hapa bongo?Hamumpati mtu [emoji28][emoji28][emoji28] wewe nahisi mjeda kitengo
Sema wanajeshi hawana shida. shida iko kwa watoto wa siroLakini hivi ni kwanini watu wengi wakijua mtu ni mwanajeshi ni kama wanaanza kumchukia fulani hivi hasa hapa bongo?
Hili nimeliona kwa baadhi ya watu ambao unakuta kabla hawajanifahamu tulikuwa marafiki wakubwa tu tunaongea tunacheka na hakukuwa na shida yoyote ila baada tu ya kujua kuwa nami mmoja wao wakaanza kama kupunguza urafiki!
Sasa mtu unabaki unajiuliza shida nini maana kama wanasema eti wanajeshi ni wababe na wakorofi mbona kipindi chote cha urafiki wetu tumeishi vizuri tu na wananijua fika kabisa kuwa siyo mkorofi sina chuki na watu ni mtu poa tu kwa kila mtu!
Sasa huwa mnachukia nini mnashindwa kueleweka shida ni tabia ya mtu au ni kitendo tu cha yeye kuvaa yale magwanda?
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaHahahahha niliuliza humu juzi hawa jamaa wanapenda IST na vits chakavu utakuta namba C zile au B vyenye miziki ya makelele ndani [emoji23] sasa unajiuliza ni kwamba hamna ruzuku walau waendeshe hata vifaru tu?
Kwani nyinyi huwa mnajionaje? Kuvunja sheria barabarani mnaona ni sawa? Watu wamekaa foleni mnakatiza mbele, magari yanapita taa ya kijani nyinyi mnapita nyekundu? Mnakwangua magari ya watu mnaondoka kisa mnaamini hawawezi kuwafanya chochote? Mnapita wrong side of the road na kusababisha watu waingie mitaroni?! Watu asubuhi wanawahi kazini nyinyi mnakimbia mchakamchaka katikati ya barabara na kulazimisha magari yawafuate mwendo wenu! Watu kama hao unawapenda vipi?Lakini hivi ni kwanini watu wengi wakijua mtu ni mwanajeshi ni kama wanaanza kumchukia fulani hivi hasa hapa bongo?
Hili nimeliona kwa baadhi ya watu ambao unakuta kabla hawajanifahamu tulikuwa marafiki wakubwa tu tunaongea tunacheka na hakukuwa na shida yoyote ila baada tu ya kujua kuwa nami mmoja wao wakaanza kama kupunguza urafiki!
Sasa mtu unabaki unajiuliza shida nini maana kama wanasema eti wanajeshi ni wababe na wakorofi mbona kipindi chote cha urafiki wetu tumeishi vizuri tu na wananijua fika kabisa kuwa siyo mkorofi sina chuki na watu ni mtu poa tu kwa kila mtu!
Sasa huwa mnachukia nini mnashindwa kueleweka shida ni tabia ya mtu au ni kitendo tu cha yeye kuvaa yale magwanda?
"Watu wengi" wanamtazamo hasi kuhusu wanajeshi, na hii inatokana na sumu waliolishwa kwenye story za chini mti, kua wanajeshi wako vile...wako hivi sasa mtu anazidi kukua na mtazamo huo huo hasi. Wengi wanafanyaga "fallacy of generalization", kosa/ udhaifu wa mwanajeshi mmoja unachukuliwa kama ndo wanajeshi walivyo.Lakini hivi ni kwanini watu wengi wakijua mtu ni mwanajeshi ni kama wanaanza kumchukia fulani hivi hasa hapa bongo?
Hili nimeliona kwa baadhi ya watu ambao unakuta kabla hawajanifahamu tulikuwa marafiki wakubwa tu tunaongea tunacheka na hakukuwa na shida yoyote ila baada tu ya kujua kuwa nami mmoja wao wakaanza kama kupunguza urafiki!
Sasa mtu unabaki unajiuliza shida nini maana kama wanasema eti wanajeshi ni wababe na wakorofi mbona kipindi chote cha urafiki wetu tumeishi vizuri tu na wananijua fika kabisa kuwa siyo mkorofi sina chuki na watu ni mtu poa tu kwa kila mtu!
Sasa huwa mnachukia nini mnashindwa kueleweka shida ni tabia ya mtu au ni kitendo tu cha yeye kuvaa yale magwanda?
Umejuaje?makaveli10 Hongera kwa kuvuta jiko mkuu[emoji1666]
Wengi wanaoogopa ni watu wenye impact kwenye serikali,wanaofanya vitendo viovu nk...Lakini hivi ni kwanini watu wengi wakijua mtu ni mwanajeshi ni kama wanaanza kumchukia fulani hivi hasa hapa bongo?
Hili nimeliona kwa baadhi ya watu ambao unakuta kabla hawajanifahamu tulikuwa marafiki wakubwa tu tunaongea tunacheka na hakukuwa na shida yoyote ila baada tu ya kujua kuwa nami mmoja wao wakaanza kama kupunguza urafiki!
Sasa mtu unabaki unajiuliza shida nini maana kama wanasema eti wanajeshi ni wababe na wakorofi mbona kipindi chote cha urafiki wetu tumeishi vizuri tu na wananijua fika kabisa kuwa siyo mkorofi sina chuki na watu ni mtu poa tu kwa kila mtu!
Sasa huwa mnachukia nini mnashindwa kueleweka shida ni tabia ya mtu au ni kitendo tu cha yeye kuvaa yale magwanda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani nyinyi huwa mnajionaje? Kuvunja sheria barabarani mnaona ni sawa? Watu wamekaa foleni mnakatiza mbele, magari yanapita taa ya kijani nyinyi mnapita nyekundu? Mnakwangua magari ya watu mnaondoka kisa mnaamini hawawezi kuwafanya chochote? Mnapita wrong side of the road na kusababisha watu waingie mitaroni?! Watu asubuhi wanawahi kazini nyinyi mnakimbia mchakamchaka katikati ya barabara na kulazimisha magari yawafuate mwendo wenu! Watu kama hao unawapenda vipi?
Nisharudi. Nimeingia jana usiku. Nilikuwa nakimbizana na Discovery 3, vichwa nilivyopakia waliomba mpaka namba next time wakiwa na safari wanicheki kwanza niwabebe tena, wanasema it was an experience [emoji38][emoji38]Urudi sasa[emoji847]