ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Sanamu langu mnajenga lini?Naomba niwatetee jamani.Yaani kama Holy Man yaani dah mpole kuanzia sura yake hadi roho,jamaa ni mlokole mzuri na ana madini sana hasa kwa watu wanaopenda mambo ya kiroho.ISO mpole sana pia ni mcheshi mno,ukikaa naye unacheka muda wote.,,hana makuu kabisa na amenisaidia mno kwenye mambo yetu ya macho...namuagiza hakasiriki na anafanya kitu willingly hadi unapenda.
Umerudi[emoji847]Nisharudi. Nimeingia jana usiku. Nilikuwa nakimbizana na Discovery 3, vichwa nilivyopakia waliomba mpaka namba next time wakiwa na safari wanicheki kwanza niwabebe tena, wanasema it was an experience [emoji38][emoji38]
Niko mjini, nipange
SA katengenezewa picha la kutisha we umekuja kuliharibuSio kabisa.
Sanamu lako nitalisambaza hapa mjini ,litasambaa kama matangazo ya imani upendo na miujiza[emoji38]Sanamu langu mnajenga lini?
Nataka likae pale pembeni ya kibanda cha hamza nje ya ubalozi wa ufaransa.
Safi sanaMie huwa nafua, naosha vyombo, napiga deki safii kabisaa nakata kucha [emoji3][emoji3][emoji3]
Wanasahu physics haijui wewe ni mjeshi au kipepeo.wana kale ka ubabe mie mjeshi kwamba hagusiku, kumbe ushamba tu
Vyombo vipo? Ikiwa naruhusiwa kupokea neno huku nikiwa na red cup yangu mkononi ina mchangayiko wa kvant na stoney tangawizi kwa kufuata ratio za mkemia mkuu ntaweza kuhudhuria mkutano. Ila kama waliookoka watakuwa wananijaji na kunitolea macho ya chuki hapo hapatanifaa.Umerudi[emoji847]
Wameomba uwabebe tena mzee wa mambio[emoji38].
Wewe kwa mbio zako ungenifaa sana kwa safari zangu za asubuhi...yaani huwa nafurahi sana dereva akikimbia,,tuwahi kufika.
Nimekumiss sana aisee,i want to see you [emoji6].
Twende zetu Kimara kwenye mkutano wa Imani, upendo na miujiza.
[emoji38]twende tu na kvant zako,,,hakuna tatizo kabisa.Vyombo vipo? Ikiwa naruhusiwa kupokea neno huku nikiwa na red cup yangu mkononi ina mchangayiko wa kvant na stoney tangawizi kwa kufuata ratio za mkemia mkuu ntaweza kuhudhuria mkutano. Ila kama waliookoka watakuwa wananijaji na kunitolea macho ya chuki hapo hapatanifaa.
Jana nilifikia kiwanja kwanza kutoa uchovu wa safari. Zilipigwa gospel live band almost 30 minutes pale tukapata upako wa kutosha na nguvu ya kuagiza round nyingine. Mungu ni mwema.
Nilitamani sana nikurekodie video
[emoji38]Weka hata ya boda mamalai
Hadi sasa sijaona kama Dar kuna jotoJoto la Kyela Kama Dar tu
Nimejuaje iyo vp?[emoji849]Umejuaje?
Sure Mkuu. Watoto wa Mabeyo tuna nidhamu mno.Sema wanajeshi hawana shida. shida iko kwa watoto wa siro
Kuna msemo unasema jeshi ndiyo lenye nchi yaani wanajeshi ndiyo wenye nchi. Huu ni msemo wa kizushi tu ila hao wanaofanya hivyo ni vikosi maalum ambavyo majukumu yao huwaruhusu kufanya hivyo tena wakiwa kwenye magari ya jeshi au wakiwa wamevalia combat tu na siyo wakiwa kwenye magari yao binafsi au wakiwa wamevalia kiraia hawaruhusiwi.Kwani nyinyi huwa mnajionaje? Kuvunja sheria barabarani mnaona ni sawa? Watu wamekaa foleni mnakatiza mbele, magari yanapita taa ya kijani nyinyi mnapita nyekundu? Mnakwangua magari ya watu mnaondoka kisa mnaamini hawawezi kuwafanya chochote? Mnapita wrong side of the road na kusababisha watu waingie mitaroni?! Watu asubuhi wanawahi kazini nyinyi mnakimbia mchakamchaka katikati ya barabara na kulazimisha magari yawafuate mwendo wenu! Watu kama hao unawapenda vipi?
Yeah wanalishana sumu huko na kutuchukia tu bure bila sababu halafu wakitaitiwa huko wanatupigia simu kutuomba tuwasawazishie msala. Mwanajeshi ubaya wake utauona pale ambapo utaingia kwenye kambi ya jeshi halafu unaulizwa maswali husomeki majibu yako kisha yakakukuta ya kukukuta."Watu wengi" wanamtazamo hasi kuhusu wanajeshi, na hii inatokana na sumu waliolishwa kwenye story za chini mti, kua wanajeshi wako vile...wako hivi sasa mtu anazidi kukua na mtazamo huo huo hasi. Wengi wanafanyaga "fallacy of generalization", kosa/ udhaifu wa mwanajeshi mmoja unachukuliwa kama ndo wanajeshi walivyo.
Mimi personally Wanajeshi nawakubaligi sana, masela zangu wengi niliokua nacheza nao kitaa enzi hizo tukiwa watoto sasa hivi wote ni wajeda, ni mimi tu ndo nipo 'odd one out', muda mwingine naumiaga kwa hilo[emoji23].
Wananiokoaga sana nikiwa chuga, hawa vijana wa Simon Sirro wakiniletea pigo za kiree barabarani, sijui tyre limekosewa angle of rotation sijui wiper imekuaje...napiga tu simu moja chaap either Monduli au Tengeru, vijana Siro wananitema nami nasepa mdola mdola huku roho yangu imesuuuzika[emoji16].
Wanajaeshi ni watu poa sana
Wala siwachukii huwa nawashangaa tu at the same time mtu akisema anawachukia simshangai.Kuna msemo unasema jeshi ndiyo lenye nchi yaani wanajeshi ndiyo wenye nchi. Huu ni msemo wa kizushi tu ila hao wanaofanya hivyo ni vikosi maalum ambavyo majukumu yao huwaruhusu kufanya hivyo tena wakiwa kwenye magari ya jeshi au wakiwa wamevalia combat tu na siyo wakiwa kwenye magari yao binafsi au wakiwa wamevalia kiraia hawaruhusiwi.
Na ndiyo kama nilivyosema kuwa siyo wanajeshi wote wenye ubabe na usumbufu kama huo kuna wengine wako cool tu hawanaga muda wa kusumbua raia. Na tukumbuke kila kada nchi hii zina watu wanaojitambua na wasiojitambua hivyo kuijudge kada nzima kwa sababu ya baadhi ya watu wa aina hiyo siyo sahihi hivyo siyo wanajeshi wote ni wakorofi.
Halafu mbona hata viongozi wetu huwa wanasababisha msimamishwe na mchelewe kazini kwa sababu ya misafara yao isiyoisha lakini hamuwachukii eti jamani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yeah wengi wanaogopa kwa kufuata mkumbo na kulishwa sumu tu. Na hata kama mtu angekuwa anafanya maovu siyo kazi ya mwanajeshi kumkamata na kumuadhibu huyo mtu hiyo ni kazi ya polisi.Wengi wanaoogopa ni watu wenye impact kwenye serikali,wanaofanya vitendo viovu nk...
The rest ni wafuata mkumbo tu na ndio wengi.
Kuna watu huwa wanafwata tu mkumbo kuogopa,ila ukiuliza hata anaogopa nini hajui!
Eti kukamatwa!! Jamani unakuta mtu hana impact yoyote kwa serikali... Halafu anajiogopesha.
Duh kwahio wewe unasema zile adhabu za ajabu huwa hamna? Na wewe Una generalize sio waTz wote wanachukia wanajeshi au polisi.Yeah wanalishana sumu huko na kutuchukia tu bure bila sababu halafu wakitaitiwa huko wanatupigia simu kutuomba tuwasawazishie msala. Mwanajeshi ubaya wake utauona pale ambapo utaingia kwenye kambi ya jeshi halafu unaulizwa maswali husomeki majibu yako kisha yakakukuta ya kukukuta.
Na vijana wengi story zao ndiyo hizo utasikia eti kuna jamaa sijui alikatiza kwenye kambi ya jeshi akapewa adhabu ajaze maji kwenye pipa kwa kutumia kisoda. Yaani vijana wakikaaga kwenye vijiwe vya kahawa huwa wanajazana ujinga mwingi sana ambao kwa asilimia kubwa hauna ukweli wowote.
Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo raia wake wanalichukia jeshi lao bila sababu za msingi wakati hao hao ndiyo wanawategemea walinde mipaka ya nchi yao [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Inategemea na maeneo hata anayeishi Mbweni atakuambia Dar hakuna Joto ila ukiishi sehemu tofauti tofauti utaelewaHadi sasa sijaona kama Dar kuna joto