MamyChique
Member
- Mar 14, 2016
- 11
- 13
[emoji23][emoji23] kwakweli ni lifeWakati wengine wana DVA wengine tunasubiri IT zitupeleke mikoani kwetu si ni life tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] kwakweli ni lifeWakati wengine wana DVA wengine tunasubiri IT zitupeleke mikoani kwetu si ni life tu
Nipo Daslam[emoji38][emoji38]
Naaa..Nipo Daslam
Duuh yaani Dar unaoga maji ya moto? Mimi Mbeya tu nilikuwa siogi maji ya moto muda wowote ule sembuse Dar!Kyela ina joto kuliko Dar!
Yaani hadi naoga maji ya moto asbh!
Au ni joto lipi huwa mnalisema nyie??
Huyo RRONDO kyela amewahi kuishi??
Au tumpeleke ashuhudie joto lake.
Haha vijana naona mnanisengenya niko hapa hapa [emoji3][emoji3]Nilijikuta namuelewa kitambo
Before sijajua bakabaka
Na zile swaga zake za ki niaje oh mtoto wa mtu hivi/vile
Sasa harusi atapiga mambo yao ama ndio nijimalize[emoji848]
Acha kukaza bi mdashiHaha vijana naona mnanisengenya niko hapa hapa [emoji3][emoji3]
Nimefika Dar nilikuwa naoga maji ya moto.Duuh yaani Dar unaoga maji ya moto? Mimi Mbeya tu nilikuwa siogi maji ya moto muda wowote ule sembuse Dar!
RRONDO anawaza kutembelea mikoa ya kusini anasema mbali, muelezee vivutio vilivyopo kule ili ashawishike aende.
Dah!
Karibu sn mkuu!Nipo Daslam
Aahh hamna ni mazoea tu! Yaani unaoga yale maji ya baridi yanayotoa ukungu kabisa tena alfajiri ya saa kumi!Nimefika Dar nilikuwa naoga maji ya moto.
Mbeya unaoga maji ya baridi?[emoji15][emoji15]
Kweli wewe mwanajeshi [emoji23][emoji23]
Hawa kusini sijui iliwakosea nini.
Holy Man Namshauri kila siku tuende kutembea kusini hataki[emoji38]
Nadhani huko makete kuna viwanda vya kuzalisha baridi.Aahh hamna ni mazoea tu! Yaani unaoga yale maji ya baridi yanayotoa ukungu kabisa tena alfajiri ya saa kumi!
Halafu hata Mbeya baridi siyo kali kivile baridi liko Njombe Makete huko ndiyo makao makuu ya baridi Tanzania! Aisee sijaona wilaya nchi hii inayofikia Makete kwa baridi yaani kule temperature kugonga negative ni jambo la kawaida sana!
😀😀😀😀 kusini hunipeleki aseee , jaribu kunishawishi twendeNimefika Dar nilikuwa naoga maji ya moto.
Mbeya unaoga maji ya baridi?[emoji15][emoji15]
Kweli wewe mwanajeshi [emoji23][emoji23]
Hawa kusini sijui iliwakosea nini.
Holy Man Namshauri kila siku tuende kutembea kusini hataki[emoji38]
Dah! 🤭🤭Wenye magari mnafaidi[emoji39]View attachment 1970506
Mkuu wangu naomba unishawishi kuchukua Audi Q7 😀😀😀 nimefikilia kuwa na SUV moja, leo nilikuwa na mtoto akaja mtu mwenye fortuner akakisifia sana hasa ile kuwa juu .. zina uzuri gani Q7 au kwa SUV gani german ni chombo kinacho elekea na Q7, nilikuwa nawaza Discovery 4 ila kama sijavutiwa sanaUtasubiri sana....😆😆
Hahahahahah walioko on par na Q7 ni Porsche Cayenne, BMW X6 na VW Touarage bila kusahau GL 350Mkuu wangu naomba unishawishi kuchukua Audi Q7 😀😀😀 nimefikilia kuwa na SUV moja, leo nilikuwa na mtoto akaja mtu mwenye fortuner akakisifia sana hasa ile kuwa juu .. zina uzuri gani Q7 au kwa SUV gani german ni chombo kinacho elekea na Q7, nilikuwa nawaza Discovery 4 ila kama sijavutiwa sana
Extrovert Deeboyfrexh
BMW X6 inapendeza 😀😀Hahahahahah walioko on par na Q7 ni Porsche Cayenne, BMW X6 na VW Touarage bila kusahau GL 350
Kamata tu hilo dude haina jinsi au benz GLE Coupe iko kama BMW X6 ile. SUV ina raha sana mzeeBMW X6 inapendeza 😀😀