Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Naona upepo wa kisurisuri unapitia kwenye jukwaa letu pendwa 😁😁😁.....sidhani kuwa watu wamekimbia kwa kuwa wanafanyia service machine zao tayari kwa road trip za mwisho wa mwaka
Tupo mkuu....sometimes huwa napenda kutoka kwenye social media kwa a week or two. Ni addiction ya aina fulani so huwa najipa muda kuona kama naweza kuishi bila mitandao ya kijamii(except Whatsapp kwasababu za kibiashara)
 
Nimeumia sana hujanitaja....😀😀😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…