Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Familia muhimu mkuuWazee wa Road mpo wapi?
Mmepotea sana mnatia shaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia muhimu mkuuWazee wa Road mpo wapi?
Mmepotea sana mnatia shaka
Kuna kivutio gani mkuuMwanangu Offshore Seamen kuna ka eneo hapa mwenge kwenye kituo cha mafuta cha Oryx si haba nimepapenda napo 😀😀😀😀😀
Happy ni kahawa tuu,ila wale samaki unawaona kwa mbaaali kupitia kioo km vile kwenye aquarium😁😁😁Kuna kivutio gani mkuu
Oasis Orxy ya Victoria pametulia sana Ile location. Sijui kama Kuna vichangamsha macho hata samaki wa Aquarium.Happy ni kahawa tuu,ila wale samaki unawaona kwa mbaaali kupitia kioo km vile kwenye aquarium😁😁😁
Tupo mkuu....sometimes huwa napenda kutoka kwenye social media kwa a week or two. Ni addiction ya aina fulani so huwa najipa muda kuona kama naweza kuishi bila mitandao ya kijamii(except Whatsapp kwasababu za kibiashara)Naona upepo wa kisurisuri unapitia kwenye jukwaa letu pendwa 😁😁😁.....sidhani kuwa watu wamekimbia kwa kuwa wanafanyia service machine zao tayari kwa road trip za mwisho wa mwaka
Trip zitaanza mwezi ujao...November mpaka January!Naona upepo wa kisurisuri unapitia kwenye jukwaa letu pendwa 😁😁😁.....sidhani kuwa watu wamekimbia kwa kuwa wanafanyia service machine zao tayari kwa road trip za mwisho wa mwaka
Nimeumia sana hujanitaja....😀😀😛Wakuu salama? poleni kwa mihangaiko ya maisha. Nilipotea humu ila yote ni heri ni pilika za maisha.
Jamani I need your ideas, kwa wenye uzoefu, mnaweza kushare moja au mawili kuhusu hii gari ya KIA Sportage? 2012-2013? Hapa kwetu bongo vipi zinahimilika? Do we have good fundis au dealer?
Please share your honest experience! Especially kama kuna aliyewahi miliki au deal na hii gari.
Yaani nahitaji kausafiri lakini ushuru haushikiki kabisa! Kila ninapogusa, hapagusiki....!
Extrovert Mshana Jr Holy Man Hornet Kaveli Karma na wengine wenye neno, tafadhali!!!.
[emoji38][emoji38]JF kila mtu ana gari....unakwama wapi?
Just follow the band wagon...😛😛[emoji38][emoji38]
Humu kila mtu ana gari na nyumba.
Sijui hata nakwama wapi[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa Wewe na Bavaria hampo[emoji38]Nimeumia sana hujanitaja....😀😀😛
Ngoja na mimi nianze kuzuga nina kapasso.Just follow the band wagon...😛😛