Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Naona upepo wa kisurisuri unapitia kwenye jukwaa letu pendwa 😁😁😁.....sidhani kuwa watu wamekimbia kwa kuwa wanafanyia service machine zao tayari kwa road trip za mwisho wa mwaka
Tupo mkuu....sometimes huwa napenda kutoka kwenye social media kwa a week or two. Ni addiction ya aina fulani so huwa najipa muda kuona kama naweza kuishi bila mitandao ya kijamii(except Whatsapp kwasababu za kibiashara)
 
Wakuu salama? poleni kwa mihangaiko ya maisha. Nilipotea humu ila yote ni heri ni pilika za maisha.

Jamani I need your ideas, kwa wenye uzoefu, mnaweza kushare moja au mawili kuhusu hii gari ya KIA Sportage? 2012-2013? Hapa kwetu bongo vipi zinahimilika? Do we have good fundis au dealer?

Please share your honest experience! Especially kama kuna aliyewahi miliki au deal na hii gari.

Yaani nahitaji kausafiri lakini ushuru haushikiki kabisa! Kila ninapogusa, hapagusiki....!

Extrovert Mshana Jr Holy Man Hornet Kaveli Karma na wengine wenye neno, tafadhali!!!.
Nimeumia sana hujanitaja....😀😀😛
 
Back
Top Bottom