I miss those old days[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawaelewa mghamba. Yaan. Kuna hata ya rombo mwanza. Yaan wana fujo
Yaan. Halafu likakuonaaa sasa likikumbuka alikutoa nishai linaanza tena ligi makusudi[emoji23][emoji23]Halafu fujo za kipuuzi maanake njia ikifunguka unamkuta mbele anachechemea. Huwa nawaambia abiria wangu mabasi hayana mwendo ya fujo.
Hatari sana sana sana. Ilikua raha sana.I miss those old days
Kuhusu cheo sijajua! Sana sana huwa anahamishwa vituo tu!Ewaaaa. Nampenda sana pia japo si route yangu. Anaenjoh sana kazi yake. Hajapandishwa cheo jamani?
Hao wa mabasi ya kichina wachumba tu, ukiwa na Nissan Patrol au Land Cruiser unaiwekea Bull bar na Side bar pembeni kuanzia juu na chini.Yaan wana tabia mbayaaa. Wameshauza uhai wao aisee. Hawaogopi hataaa. Wana laana kweli kweli
Kuna mmoja tulimuweka ndani.. alikuwa anafanya ujinga. Kumbe ndani nimebeba wazee wa kazi. Tulimsubiri katembeea wee tulipokaribia na kituo cha polisi, tukavuta tukapiga block. Akashushwa .. ndani siku moja 😀😀😀😀 wajinga sana wanaweza kuua hawa ukiwachekea chekeaHao madereva wa mabasi hiyo tabia Yao ya kujichomeka au kuovateki ghafla huwa wanakucheki wewe mwenye gari ndogo wakichomoa kidogo ukamkwepa lazima atembee mbele.
Pia anaweza akauwashia taa na honi nyingi kisha anaovateki gari moja au mbili ili akae mbele kuwazidi wenzie na akitoa kipande cha mbele anajua lazima utampa fair akae mbele yako.
Ha ha ha ha mna roho ngumu sana aisee. Yaani bodi ya gari na tako[emoji23][emoji23]Kuna siku tunatoka Morogoro tupo kwenye Nissan Patrol Y60, Kutoka Kingolwira kulikuwa na Traffic baada ya kipande hicho kuitafuta Mkambarani. Abood ikawa inataka iochomoe ikae mbele, baada ya kuona mwenzake New force kaovateki gari 2 kisha akaomba kuingia.
Mbele wakati New Force anaingia alipiga honi Kwa fujo mpaka dereva wa Harrier akaingia pembeni nusu ahame njia. Sasa Sisi nyuma yetu Abood alikuwa anatoa gari mpaka usawa wa mlango wa nyuma Kwa abiria na anapiga honi Sana na kuwasha taa Kwa fujo na konda anatoa mkono kutupa ishara ya kupunguza mwendo. Sisi tunatembea bila wasiwasi jamaa walikuwa kila akitaka atoe anakuta wala hatuami.
Nyuma ikatokea Kidinilo ilikuwa imeovateki mpaka Abood sasa inataka ikae mbele yetu na imekaribia mpaka usawa wa mlango wa dereva kisha anapiga honi Kwa fujo na lesi hatua chache mbele roli likatokea saiti ambayo basi lipo, Kidinilo kwenda mbele hawezi sababu ya urefu na mwenzake Abood anamkazia kuingia. Ikabidi roli lipunguze mwendo Kidinilo ikakaa nyuma yetu.
Hizi basi dawa yao ukiwa na Land Cruiser au Nissan Patrol unaweka bull bar na side bar tuone kama yupo tayari kuchubua rangi ya basi kisa anataka aovateki kuwahi kukaa mbele.
Apandishwe tuu Ashraff. AnastahiliKuhusu cheo sijajua! Sana sana huwa anahamishwa vituo tu!
Hahahaha hivi hizi ngap si walishakataza mkuu? Maana enzi hizo magari wanaweka ngao mtu anakuletea yote na huna pa kutokea. Ofcourse wako mnaiwakazia kama.nyie. mimi hata siweziHao wa mabasi ya kichina wachumba tu, ukiwa na Nissan Patrol au Land Cruiser unaiwekea Bull bar na Side bar pembeni kuanzia juu na chini.
Hizo basi za fiber glass akifanya mbishi anaharibu shoo na body ndani ya Dakika chache amtie hasara bosi wake Kwa uzembe.
View attachment 1662224
Hiyo Side bar protection unaizungusha mpaka juu na sehemu ya nyuma.
Ila barabarani pia hata huku mjini nimekuja jifunza usiige watu. Mfano ukaona mtu anatembea mwendo hata kama ni gari yabkawaida usiige. Huko kwenye mwendokasi ukiona mtu anapita usiige. Huko road watu wanavyokimbia usiige. Huwa maafisa vipenyo wanakua na mishen zao wanawahi[emoji23] we unasema uunge upige nae battle. Mnashikwa we kila mahali unakila cheti we unaishia kula vyeti tu mwenzako anasimama wanasalimiana safari inaendelea. Uwe na hela za kiwi za kutoshaKuna mmoja tulimuweka ndani.. alikuwa anafanya ujinga. Kumbe ndani nimebeba wazee wa kazi. Tulimsubiri katembeea wee tulipokaribia na kituo cha polisi, tukavuta tukapiga block. Akashushwa .. ndani siku moja [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wajinga sana wanaweza kuua hawa ukiwachekea chekea
Huyu ana trip ama kuzurura tu?[emoji23][emoji23] maana ana balaaLeo usiku natembea from Dar es Salaam.. Tabora .. Hornet bado hujapata lift [emoji846][emoji846]
Unajitoa ufahamu unakaza tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole sana mkuuu. Yaaan siwapendi mimi. Huo uoga mpk mate yanakukaukia mdomoni
Wanaendesha vibaya sana.Tararibu mkuu....Eti Li Ester..[emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji1][emoji1][emoji1]
Mademu wanaoitwa Ester humu jukwaani watakuchukiaaa..
Nikupitie wapi sasa 🙂🙂daaaaaah sijapata bado
Nina perception mbaya na polisi.Tatizo pia unaweza uwachome halaf hao matrafiki unakuta ni washkaji wana percent zao
😂😂😂 barabarani sio pa kuigina.. kuna kila aina ya watuIla barabarani pia hata huku mjini nimekuja jifunza usiige watu. Mfano ukaona mtu anatembea mwendo hata kama ni gari yabkawaida usiige. Huko kwenye mwendokasi ukiona mtu anapita usiige. Huko road watu wanavyokimbia usiige. Huwa maafisa vipenyo wanakua na mishen zao wanawahi[emoji23] we unasema uunge upige nae battle. Mnashikwa we kila mahali unakila cheti we unaishia kula vyeti tu mwenzako anasimama wanasalimiana safari inaendelea. Uwe na hela za kiwi za kutosha
Ebu ipe ipe nyama kidogo 😀😀.. nijue balaa lakeHuyu ana trip ama kuzurura tu?[emoji23][emoji23] maana ana balaa