Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hata mimi napenda sana yale magari makubwa na magumu magumu

Mie kwa kweli sijui kama hayo maisha ya ki sister du nitakuja kuyaweza hata nikiwa mzee yaani mie napenda haya maisha ya hivi yameniepusha na mambo mengi mno
Good. Siku itabidi tuwe na a road trip ila hayo mabasi makubwa hapana. Sigusi usukani
 
Mtu ukishachagua career yako ndo hiyo bana. Hatunaga mambo mengi sisi.
Yeah halafu ukipenda unachokifanya wala hautaangalia mazingira au mshahara! Ndiyo maana namkubali sana dogo Ashraf yule traffic wa kile kipande cha Mbezi Beach - Kawe anayechezaga barabarani yaani yule ndiyo definition ya mtu kupenda kazi yake!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu... unajua nacheka sana. Unanikumbusha mbali sana. Hivi Laswai bado yuko Esther? Hajaja kula nyama choma kwetu muda kweli.

Honestly vitu navyopendaga najishangaa sana. Na watu ndo wananishangaa zaidi maana napenda vitu vya kiume sana. Yaan kiujumla napenda mambo magumu magumu kama haya. Yaan wananiulizaga kama ni mwanamke. Kuna siku hapo stendi ya Arusha nilipelekwa nichague basi. Yalikuwepo mazuri yale ya kishua. Sikujibu kitu. Nikaenda na begi langu nikapanda ngorika na nikakaa kwenye siti yangu. Acha wahuni wa stend wanishangilie najua vitu vikali[emoji23][emoji23][emoji23]...


Siku nyingine miye na buffalo...
Yaan nilikuaga napenda pale kona kali ya old korogwe kwenda stend mpya hapo njia panda ya handeni jinsi ngorika na buffalo zikipita engene zinavyopumua. Yaan dereva akikosea ile kona anapitiliza mpk magoma[emoji23][emoji23]. Shule mimi ndo mkatisha tiketi... yaani kiume ume. Nilikua napenda ligi balaa.

Niko radhi kuuza spare za magari, pikipiki ama bajaj na si viatu wala gauni mpk leo. Basi baba anafurahiiii[emoji23][emoji23] anasema hakika nina kichaa mwenzangu.
Yaani tupo Sawa,
binafsi nimepanda mafuso Tandam saa nikisikia linavyopumua kuna Kafeeling Fulani napata,

nadhani nilitakiwa niwe kwenye Hiyo industry huwezi elewa nilivyopata mzuka Leo yaani kama siyo heka heka za mji kesho ningeenda hata Moro tu nichangamshe ubongo..

Laswai ni wa Rombo?

nafahamiana na wale wa Kiomboi ndo njia yangu
 
Hao madereva wa mabasi hiyo tabia Yao ya kujichomeka au kuovateki ghafla huwa wanakucheki wewe mwenye gari ndogo wakichomoa kidogo ukamkwepa lazima atembee mbele.

Pia anaweza akauwashia taa na honi nyingi kisha anaovateki gari moja au mbili ili akae mbele kuwazidi wenzie na akitoa kipande cha mbele anajua lazima utampa fair akae mbele yako.
 
Yaani kwa ujumla basi lolote si salama kabisaa kwa gari ndogo...

Hii barabara yetu ya kaskazini, mabasi yanayotoka Arusha kwenda Dar au Dar Arusha....yana fujo sana kwenye kipande cha Arusha mpaka Himo njia panda.......
Halafu fujo za kipuuzi maanake njia ikifunguka unamkuta mbele anachechemea. Huwa nawaambia abiria wangu mabasi hayana mwendo yana fujo.
 
Yeah halafu ukipenda unachokifanya wala hautaangalia mazingira au mshahara! Ndiyo maana namkubali sana dogo Ashraf yule traffic wa kile kipande cha Mbezi Beach - Kawe anayechezaga barabarani yaani yule ndiyo definition ya mtu kupenda kazi yake!
Ewaaaa. Nampenda sana pia japo si route yangu. Anaenjoh sana kazi yake. Hajapandishwa cheo jamani?
 
Yaani tupo Sawa,
binafsi nimepanda mafuso Tandam saa nikisikia linavyopumua kuna Kafeeling Fulani napata,

nadhani nilitakiwa niwe kwenye Hiyo industry huwezi elewa nilivyopata mzuka Leo yaani kama siyo heka heka za mji kesho ningeenda hata Moro tu nichangamshe ubongo..

Laswai ni wa Rombo?

nafahamiana na wale wa Kiomboi ndo njia yangu
Ha ha ha ha kiukweli kabisa napenda mno engene ya scania inavyonguruma. Yaan najisikiaga rahaa na mzukaaa. Kun clip fuan hivi sema nilijaifuta maana sasa nilijiuliza kama me mwanamke ama mwanaume. Hiyo clip iko kwenye ile page ya northerners buses insta. Ila iko chini sana last year May kama sikosei. Ni basi la Mghamba scania ndo limeeqshwa hapo stendi sijui moshi vile ama arusha sikumbuki vizuri. Yaani dogo ni anajua kunogesha anakuambia sikilizia chuma la kaskazini hilo babake, chuma kinapumua. Sikia mlio huo halafu anaunguruma kama scania lenyewe anamalizia ni laana babake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] heeh jamani. Ngoja niutafute
 
Yaani tupo Sawa,
binafsi nimepanda mafuso Tandam saa nikisikia linavyopumua kuna Kafeeling Fulani napata,

nadhani nilitakiwa niwe kwenye Hiyo industry huwezi elewa nilivyopata mzuka Leo yaani kama siyo heka heka za mji kesho ningeenda hata Moro tu nichangamshe ubongo..

Laswai ni wa Rombo?

nafahamiana na wale wa Kiomboi ndo njia yangu
Lasway agent yule.deeva sinaga mazoea nae
 
Hao madereva wa mabasi hiyo tabia Yao ya kujichomeka au kuovateki ghafla huwa wanakucheki wewe mwenye gari ndogo wakichomoa kidogo ukamkwepa lazima atembee mbele.

Pia anaweza akauwashia taa na honi nyingi kisha anaovateki gari moja au mbili ili akae mbele kuwazidi wenzie na akitoa kipande cha mbele anajua lazima utampa fair akae mbele yako.
Yaan wana tabia mbayaaa. Wameshauza uhai wao aisee. Hawaogopi hataaa. Wana laana kweli kweli
 
Ha ha ha ha kiukweli kabisa napenda mno engene ya scania inavyonguruma. Yaan najisikiaga rahaa na mzukaaa. Kun clip fuan hivi sema nilijaifuta maana sasa nilijiuliza kama me mwanamke ama mwanaume. Hiyo clip iko kwenye ile page ya northerners buses insta. Ila iko chini sana last year May kama sikosei. Ni basi la Mghamba scania ndo limeeqshwa hapo stendi sijui moshi vile ama arusha sikumbuki vizuri. Yaani dogo ni anajua kunogesha anakuambia sikilizia chuma la kaskazini hilo babake, chuma kinapumua. Sikia mlio huo halafu anaunguruma kama scania lenyewe anamalizia ni laana babake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] heeh jamani. Ngoja niutafute
Hahhaaaa mghamba jamaa alikimbiza sana kipande cha Mwanza-Arusha kipindi lile Hamna tochi,
ukirushwa Kwenye bumps unanyanyuliwa kwenye siti unarudishwa chini,

ukizubaa mpaka ufike una majeraha.

jamaa naona Yutong hajayapa nafasi.
 
Ndio hatari ninayoogopa kuendesha usiku.
Yes. Yaan naogopa vibaya mno. Sasa kuna watu wanakuambia usiku ndo wanapenda kuendesha kwakua ni rahisi kumuona mwenzako lakini mimi nawazaga vicheche. Juzi tu hapo mwaka huu tunaenda rout ya moshi hapo korogwe si unajua zile kona za korogwe msambiazi? Sasa tukakutana na kichanja. Bora hata lingekua kontena utaliona kwa mbali na reflectors. Yaan dogo ndo anaamsha amsha dude hili hapa kubwa jinga na dereva anatembeza hilo likicheche balaa. Huwez amini hata taa moja halina ila dereva anatembea vzr bila wasiwasi. Nilijiuliza maswali sikupata majibu.
Imagine sasa mtu awe mlevi amelewa halaf anatembea mwendo wa mateka
 
Hahhaaaa mghamba jamaa alikimbiza sana kipande cha Mwanza-Arusha kipindi lile Hamna tochi,
ukirushwa Kwenye bumps unanyanyuliwa kwenye siti unarudishwa chini,

ukizubaa mpaka ufike una majeraha.

jamaa naona Yutong hajayapa nafasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawaelewa mghamba. Yaan. Kuna hata ya rombo mwanza. Yaan wana fujo
 
Back
Top Bottom