Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Was waiting for this comment, thanks for being mwaminifu...

SCANIA ni konyo kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah!dereva amejaribu kukanyaga mguu weee lakini wapi,yako nyuma yametushikilia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Tulipoingia msamvu sheli ndio wametupoteza,,tumepoteana hapa tunakimbia hovyo lakini wapi hata hatuwaoni[emoji1787][emoji38][emoji38]
Roho imeniuma sana.
 
Huyo uliyepanda so MCHINA? tegemea hayo hamuipati. Seema pole Sana maana maumivu ya kupitwa mwenyewe nayajua, Achukiaga kishenzi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo uliyepanda so MCHINA? tegemea hayo hamuipati. Seema pole Sana maana maumivu ya kupiwa mwenyewe nayajua.
Angalau dereva amekuwa mwanaume amekaza mguu tumempita Imani mlandizi


Ametutoa unyongeni angalau tuwe wa pili dah[emoji38]
Nimejisikia unyonge sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].


I do entertain these stuffs,They are risk though.
 
Angalau dereva amekuwa mwanaume amekaza mguu tumempita Imani mlandizi


Ametutoa unyongeni angalau tuwe wa pili dah[emoji38]
Nimejisikia unyonge sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].


I do entertain these stuffs,They are risk though.
They're risk but yanaburudisha... Ukiwa road trip league lover alafu ukawa abiria, basi adrenaline huwa inapanda kadri dereva akikanyaga naww unajikuta unakaza tako for no reason [emoji23]
 
They're risk but yanaburudisha... Ukiwa road trip league lover alafu ukawa abiria, basi adrenaline huwa inapanda kadri dereva akikanyaga naww unajikuta unakaza tako for no reason [emoji23]
Huyo mimi kabisa[emoji1787]

Ila nimekubali kuwa mnyonge leo,japo hatujapishana sana.


Karma dada yangu amemsifia mnyama wako[emoji38],ameona inavyoingia..ndio iliwahi ,
Anasema kwanini msingepanda hilo??
Eti anasema zuri sana.
Nimeumia[emoji38],next time nalipanda.
Sitaki unyonge tena.
 
Was waiting for this comment, thanks for being mwaminifu...

SCANIA ni konyo kwakweli [emoji23][emoji23][emoji23]
Sure mkuu hata mie nilikuwa naisubiria hii comment kwa hamu! Hizi Yutong zafaa zishindane zenyewe kwa zenyewe tu ila zisihangaike kabisa kushindana na kina Mercedes Benz na Scania watagaragazwa!

Huyo Sauli wengi tunamsifia siyo kwa sababu ya ushabiki tu bali jamaa amevuta vyuma vya kibabe! Wenzie wengi bado wanahangaika na Mayutong yeye kavuta zake Scania na Mercedes Benz anawakimbiza tu!
 
Sasa hivi kuna feo G7 DXF hasa ile ya Joff Master hakuna nyoko nyoko inayotia mguu pale hata hizo Sauli..anatulia.
 
Hiyo Imani Plus kuna siku aliwahi endesha boss mwenyewe ili ampite Sauli eti alihisi madereva wake wanazembea ndiyo maana Sauli anakuwa wa kwanza kila siku! Siku hiyo kwenye line zilikuwepo Sauli, Al Saedy, na huyo Imani Plus!

Boss kimbiza kimbiza na wewe walikuwa sambamba kuanzia Kibaha ila walipoingia tu Mbezi Sauli akawatangulia hadi wanafika Ubungo Sauli akawa wa kwanza yaani huyo boss wa Imani na nguvu zote alizotumia akaishia kuwa wa pili!
 
Si ndiyo nakushangaa unavyojikuta unaipondea na hujawahi panda wakati hadi waliopanda wameinyooshea mikono! Halafu eti unasema Imani ndiyo the most luxurious kwa route ya Dar Mbeya dooh nikaona wacha tusibishane sana!

Ila kwa tuliopanda zote tukiweka ushabiki pembeni wengi tutakwambia Sauli yuko vizuri kwenye kila sekta yaani luxury na speed hakuna anayemkuta! Kwanza mie napenda lile crew lao pale mbele wanavyochangamsha na mastory utapenda!
 
Sasa hivi kuna feo G7 DXF hasa ile ya Joff Master hakuna nyoko nyoko inayotia mguu pale hata hizo Sauli..anatulia.
Yeah mkuu kila route nchi hii ina mbabe wake! Hapa tunaongelea route ya kusini hasa Dar to Mbeya mbabe wao ni Sauli ila tukija huko kwenye hizo route nyingine nako kuna wababe wao!

Mfano huyo Super Feo nimesikia wengi wanamsifia sana kuwa naye kaja vizuri hakamatiki! Ila yeye ameikamata route ya Dar Ruvuma kama ambavyo Sauli ameikamata route ya Dar Mbeya!
 
Kutoka Dar -Makambako hakuna anayefuata hiyo chuma kisha ndo anawaacha Sauli na Deer wachuane huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…