Deal [emoji4][emoji4]Deal...
Ndinga [emoji91][emoji91][emoji91]
😬😬😬 kila mla chambo huwa ana mwisho wake.. ataundiwa kamatiUnakula sana chambo na kutema ndoano😂😂
Cc Kijana wa hovyo hovyo
Kumbe unajua eeh! Nimerudi dar asee.. 😊😊😊😊Haha huyu sijala chambo anadai nampiga chenga eti jamani [emoji1][emoji1]
Nimerudi usiku wa jana, naondoka jumapili tena.. Dar bwana pana uzuri ebu pita pita mlimani city ndio utaelewa na maanisha nini 😂😂😂Watu wanaondoka wewe unarudi?!!
😂😂😂😂 Jana nimeingia saa saba usiku, nikaenda kukaa kwenye chaka flani aseee.. nikabaki nashangaa mambo ndio haya, ikabidi nikimbie.. nimefika hotelin majaribu mtaji 😬😬😬.. asubuhi nimeamkia mlimani city. napo nimekimbia unaweza firisika na kuwa kama MacMuga.. imenidi nirudi home, ingawa sikuwa na mpango nilipanga niishie hotel.. ila hali haina amani hata kidogoAisee wewe acha tu!
Kuna mahali njia ya Kati ilipita Amazon ya udhurungi baada ya dakika kadhaa tumeikuta imejifia kilimani wamefungua bonnet Wana ipepea afu usikuAmazon nyeusi full tinted [emoji23] inachakata lami...
Ukiiona popote ruksa honi za hapa na pale [emoji1787][emoji1787]
Hiyo ukicheki namba utakuta ni AAP [emoji16]Kuna mahali njia ya Kati ilipita Amazon ya udhurungi baada ya dakika kadhaa tumeikuta imejifia kilimani wamefungua bonnet Wana ipepea afu usiku
Kuna vyuma vingene number AA lakini ukifuata uambulii kitu. Watu wanazisuka vizuri.Hiyo ukicheki namba utakuta ni AAP [emoji16]
Teh teh teh .... Eti MacMuga....😂😂😂😂 Jana nimeingia saa saba usiku, nikaenda kukaa kwenye chaka flani aseee.. nikabaki nashangaa mambo ndio haya, ikabidi nikimbie.. nimefika hotelin majaribu mtaji 😬😬😬.. asubuhi nimeamkia mlimani city. napo nimekimbia unaweza firisika na kuwa kama MacMuga.. imenidi nirudi home, ingawa sikuwa na mpango nilipanga niishie hotel.. ila hali haina amani hata kidogo
Kwa hiyo hujiamini mkuu, unahisi utateleza na kudumbukia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jana nimeingia saa saba usiku, nikaenda kukaa kwenye chaka flani aseee.. nikabaki nashangaa mambo ndio haya, ikabidi nikimbie.. nimefika hotelin majaribu mtaji [emoji51][emoji51][emoji51].. asubuhi nimeamkia mlimani city. napo nimekimbia unaweza firisika na kuwa kama MacMuga.. imenidi nirudi home, ingawa sikuwa na mpango nilipanga niishie hotel.. ila hali haina amani hata kidogo
mzee kuna kipindi akili inataka, ila ukiangalia mwili unagomaa kabisa kushambuliaKwa hiyo hujiamini mkuu, unahisi utateleza na kudumbukia?
Aah nilimaanisha Watu8 ndiyo anadai kuwa nampiga chenga! Wewe nilikupiga chenga lini tena jamani?Kumbe unajua eeh! Nimerudi dar asee.. [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Mie hunipigi chenga, ila hutaki kabisa tuonane 😂😂😂😂Aah nilimaanisha Watu8 ndiyo anadai kuwa nampiga chenga! Wewe nilikupiga chenga lini tena jamani?
Karibu tena Dar! Vipi Bambalaga wanasemaje?
Alfajiri nakiwasha... Akiona indicator ajue mimi huyo.Ukiona ya 350 mtag
UDBS wamemaliza test wako wanaranda randa sahizi... [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jana nimeingia saa saba usiku, nikaenda kukaa kwenye chaka flani aseee.. nikabaki nashangaa mambo ndio haya, ikabidi nikimbie.. nimefika hotelin majaribu mtaji [emoji51][emoji51][emoji51].. asubuhi nimeamkia mlimani city. napo nimekimbia unaweza firisika na kuwa kama MacMuga.. imenidi nirudi home, ingawa sikuwa na mpango nilipanga niishie hotel.. ila hali haina amani hata kidogo
Safi sana, tunaweza ongozana hiyo asubuhi, maana hapa ndio nataka nikachape usingizi asubuhi nikiwashe.Alfajiri nakiwasha... Akiona indicator ajue mimi huyo.
Chai inanywewa moshi.
Btw wakuu trip mmepiga kimya kimya bila updates?
Mpendwa nageuka b4 new year.Mpendwa umekimbia mji