miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Na kweli uchumi wa kati. Ila hawa real madrid nao wanasababishaga sana foleni ili kutengeneza pesaUchumi wa kati, viongozi hawajifunzi nchi zilizoendelea zinakabiliana vipi na foleni..
Nakumbuka kilimanjaro walitangaza safari ile Oct kuanza tena kwenda route ya Rombo. Sina hakika kama walienda ama lah. Hii route ya Rombo huwa ni ngumu sana kwa ambao si mabasi ya wazawa. Dar express anakazaga tu lkn ni ngumu na ni hivyo wana abiria wao wa permanent. Ila hii njia ni ya Esther na Tilisho. Nikushauri upande Tilisho ndo naona wastaarabu sanaGambling Table angetumia Dar Express kama anatokea Rombo kwenda Dsm au Ester
naona Kilimanjaro Bus km linaanzia Arusha Moshi - Dsm na kurudi Arusha, km ni yale ya yule Mama
ngoja wazoefu wa Rombo wakuje
Nakuelewa sasa kaka.Formula yangu barabarani-any driver akinipigia makelele ya horn si respond as long nipo sahihi au nimeshafanya maamuzi ninayoona ni sahihi.Ajali nyingi sana hutokea mtu anapokuwa distracted in a less than 30 seconds.Huyo dereva wa basi hopeful in less than 30seconds angeweza kukuua kwa udereva wake wa kipumbavu.Pole sana...mimi huyu dereva wa basi aliamua tu kunikomoa...ninakaribia kumpita ili nilipite lifuso la mbele, jamaa naye akahama lane ili alipiye lile fuso....sikuwa na namna zaidi ya kutafuta lane nyingime ambayo ni majani huko nje ya barabara..
Offshore Seamen Ngao zilikatazwa nakumbuka Malori na Mabasi wakati huo Scania waliweka Ngao za kutisha za kuchonga, na ilitokana na matukio waliyokuwa wakiyafanya pale Kibaha na kupiga zile horn mfano wa tarumbeta.Kuna kipindi zilikatazwa kwenye magari ya abiria mabasi na madaladala....sasa sijui kama wanaruhusiwa
Ni huyo kaka yako Gambling Table anaenda Mkuu ndio aliuliza Mabasi ya Rombo - DarNakumbuka kilimanjaro walitangaza safari ile Oct kuanza tena kwenda route ya Rombo. Sina hakika kama walienda ama lah. Nikushauri upande Tilisho ndo naona wastaarabu sana
Sijaiona hio...Watu wanaenda kuchapana bakora mkuu. Kwani unafikiri moja ya excitements za watu kwenda sikukuu unafikiri ni nn?[emoji28]
Hujaona clip ya kijana amenunia zake IST kaipandisha kuizindulia kwao? Anaimwagia chanpaigne?[emoji23]
Hata hii huna mkuuu??Sisi tusio hata na baisekeli tukomenti wapi?
Hii baisekeli ni ghali kuliko gari la prondo, hivyo iko wazi kuwa siwezi kuwa nayoHata hii huna mkuuu?? View attachment 1662457
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Nitakupa mmoja nnao wa kutosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe.. sina mtoto bado
Tunasema ulichochora[emoji16][emoji16]Pole sana...mimi huyu dereva wa basi aliamua tu kunikomoa...ninakaribia kumpita ili nilipite lifuso la mbele, jamaa naye akahama lane ili alipiye lile fuso....sikuwa na namna zaidi ya kutafuta lane nyingime ambayo ni majani huko nje ya barabara..
Nilikuwa naongelea private car. Kwenye mabasi naona Asian Star zinakuja na ngao kubwa, Ila Golden Dragon zinakuja na ngao ndogo.Kuna kipindi zilikatazwa kwenye magari ya abiria mabasi na madaladala....sasa sijui kama wanaruhusiwa.
niko hapoTwende pm ndugu yangu[emoji23][emoji23] we ni kaka kabisaaa.
Kabisaa mkuu...bahati nzuri ilikuwa ni sehemu nzuri ya tambarare....ingekuwa ni milimani...Historia ya marehemu ingesomwa....Marehemu alizaliwa, akakua, ananunua gari, akafa..[emoji119][emoji38]Nakuelewa sasa kaka.Formula yangu barabarani-any driver akinipigia makelele ya horn si respond as long nipo sahihi au nimeshafanya maamuzi ninayoona ni sahihi.Ajali nyingi sana hutokea mtu anapokuwa distracted in a less than 30 seconds.Huyo dereva wa basi hopeful in less than 30seconds angeweza kukuua kwa udereva wake wa kipumbavu.
Kwa magari private sina info zaidi...ila naona baadhi ya Land cruiser, Nissan Patrol na Suzuki escudo baadhi watu wameweka za kuchonga...sijajua wanaruhusiwa au wanafanya kibishi..Nilikuwa naongelea private car. Kwenye mabasi naona Asian Star zinakuja na ngao kubwa, Ila Golden Dragon zinakuja na ngao ndogo.
Mabasi wasiwaruhusu ngao maana wao wanatabia ya kutokeza mbele wakiamini wataachiwa wapite hata kwenye eneo gumu, matokeo yake watakwangua gari ndogo.
Nilikuwa nazungumzia upande wa gari binafsi ambazo ni SUV.Offshore Seamen Ngao zilikatatazwa nakumbuka Malori na Mabasi wakati huo Scania waliweka Ngao za kutisha za kuchonga, na ilitokana na matukio waliyokuwa wakiyafanya pale Kibaha na kupiga zile horn mfano wa tarumbeta.
siku hizi gari km L/cruiser na Prado naona zinakuwa special zinakuwepo
Yes. Walikataza. Sijawahi sikia wameruhusu tena mkuuOffshore Seamen Ngao zilikatatazwa nakumbuka Malori na Mabasi wakati huo Scania waliweka Ngao za kutisha za kuchonga, na ilitokana na matukio waliyokuwa wakiyafanya pale Kibaha na kupiga zile horn mfano wa tarumbeta.
siku hizi gari km L/cruiser na Prado naona zinakuwa special zinakuwepo
Apande dar ex press, tilisho ama ngarangara Meridian[emoji28]Ni huyo kaka yako Gambling Table anaenda Mkuu ndio aliuliza Mabasi ya Rombo - Dar
Hivi Dar expresa kapatwa na nini Jamani?Apande dar ex press, tilisho ama ngarangara Meridian[emoji28]
Maana mpk unasikia uchungu jinsi walivyofulia na walitawala hiyo road zaid ya miaka 20
Nilikuwa nazungumzia upande wa gari binafsi ambazo ni SUV.
Kwenye mabasi zile ngao zilikuwa ni hatari ingawa saizi Asian Star zinakuja na ngao moja Kwa moja hata Golden Dragon.
Sijui itakubalii.Sijaiona hio...