Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kama umeamua kubisha bisha tu ila huwezi kufananisha handling ya European car na Japanese hata kidogo kwenye high speed. Naelewa kuna watu hawezi kuona tofauti ya handling hata Kati ya Prado mchanga na Crown yeye anaona yote Sawa tu.
Dah mkuu..prado mchaga tena..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]
 
Mimi kitendo cha kuwa left hand drive ni kigezo cha kutokununua hiyo gari kabisa. Ukinunua hata wewe itakuja kusumbua kuiuza kwa sababu hiyo
 
Ni kweli Mkuu
Ila mapigo yanaweza kuwa ya maneno, kumuelekeza, akizingua zaidi, vitasa vinamuhusu...

Nimemchimba mkwara mzito, sijui kama atarudia..[emoji18][emoji18]
Mkuu watoto wachape kwa makosa mengine ya utovu wa nidhamu, kiburi n.k lkn kuandika ukutani, n.k usihangaike, utaumiza tu watoto, na utakuwa unawaonea bure. Kuandika andika pasipostahili Ni katika hatua za ukuaji just like watoto kupenda kula mchanga na kuwa wadadisi. Everything is new to them and everything is adventure. Kuwa na moyo mweupe kwa watoto, wavumilie, hata wewe wazazi wako walikuvumilia kwa mengi hata kama walikupiga baadhi but trust me yapo mengi mno ambayo hawakukupiga.
Huyo mwanao hata ukimletea ubao wa kuandika bado ataandika pasipostahili, ni utoto tu, muda fulani ukifika ataacha. We endelea tu kumuelekeza.
 
Kila mtu ana limit yake. Mtu anaweza kuwa na V8 lakini havuki 140kph sasa ukimpita huyo utasema uneichapa V8? Kuna V8 nilienda nayo nikapita na 160kph nikagindua huyu havuki mwendo huu sio kwamba gari yangu inakimbia kuliko hio V8
True kabisa, binafsi spidi yangu mwisho 120, napenda kutembea kati ya 90 na 110. Ukinipita haina maana kuwa gari haina mbio. Pia kuna dereva wa Ofisini yeye huwa havuki 140 japo anaendesha gari kali sana, na mwingine havuki 160 lkni gari lake 260 kph. Wapo madereva wengi huwa wana limit ya mwendo kasi wa kuendesha. Binafsi nimejiwekea spidi limit ya kuendesha gari baada ya siku moja kuchotwa kwenye kona fulani huko Babati nikiwa spidi kubwa sana
 
Vanguard nayo gari ya kuitaja kwenye hii sekta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…