ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Mwingine anakuwashia indicator kabisa usimpite kwamba kuna gari inakuja, mimi napita na narudi mapema tu kabla huyo anayekuja hajafika.Kwa jinsi nilivyokuwa natembea kurudi Dar, imejitahidi. Tulikuwa na ligi kadhaa. Nimeamini maneno yako kuvimba na V8! Several times I touched 180 maanake unamkuta mtu unataka kupita anavimba na Prado yake mpya, anashangaa ananyooshwa na kigari cha chini
Hajavaa seatbelt?!Mbona watu wanateleza tu na mjepu bro? Mimi nimcruise Subaru forester 240kph mara nyingi sana na video ninazo... hao wajepu munaowaongelea kila siku humu sijui ni wepi...View attachment 2067496
Ntakubali gari yoyote inipite, sio subaru. Heri inipite IST nitakausha, sio Impreza / Forester.Hiki chombo nilifika 160 km/h na sikukipata nahisi alikuwa zaidi ya hii 160,ila ajabu ni kama alikuwa na mchezo anawatangulia halafu mbele anaingia kushoto halafu anatokea tena nyuma na kutangulia.View attachment 2067526
Unamchongea mwenzio! Umeacha namba zinaonekana!Hiki chombo nilifika 160 km/h na sikukipata nahisi alikuwa zaidi ya hii 160,ila ajabu ni kama alikuwa na mchezo anawatangulia halafu mbele anaingia kushoto halafu anatokea tena nyuma na kutangulia.View attachment 2067526
Hasa hao jamaa wenye turbo wanaamini they are the quickest things on the road. Ni kama nimejipa jukumu la kushusha ego zao a notch or two, na so far hawajawahi kunishinda.Kwanini? Ukikutana na ile XT cc2500 itakuwaje?
Mercedes Benz most reliable....VW least realiable kwa experience yangu.Kwa uzoefu ukiambiwa kati ya gari zote za mzungu ipi ipo more reliable kuliko zingine? Na ipi ni more unreliable.
Nakuuliza hivi kwasababu unadeal na hayo magari kila siku.
Ha ha ha kumbe ndio maana unashangaa mtu anakutest kumbe kajipa jukumu la kuku-humble!Hasa hao jamaa wenye turbo wanaamini they are the quickest things on the road. Ni kama nimejipa jukumu la kushusha ego zao a notch or two, na so far hawajawahi kunishinda.
Ndivyo ilivyo, ukimchapa anatulia chap. Walinianza wenyewe watu wa Subaru, mimi naliendeleza tu mpaka nipate mbabe wanguHa ha ha kumbe ndio maana unashangaa mtu anakutest kumbe kajipa jukumu la kuku-humble!
Audi na Benz naona kama bado mle mle.. Sijui ndugu zetu wajapan maana ndio mbuzi wetu wa kafara 😂😂😂Kama umeagiza gari pitia calculator ya TRA tena, mambo yamekuwa mengi.
Bavaria ISO M.CodD Kijana wa hovyo hovyo Boeing 747
Nimeangalia crown GRS204 ya 2008 naona bei yake niliotazama hivi. katibuni kama ipo hivyo au sija note vizuri.. Kodi kwa maendeleo ya taifaHata hizo zimepanda
Tukuyu Next Monday naenda hukoHivi kwenye huu uzi kuna mtu alikuwa tukuyu au korogwe
Nimeangalia A3 1.4TFSI vipo vile vile 😂😂😂😂😂 kana ramba tu mafutaZipo zilizobaki vile vile. Hata GRS180 iko vile vile
Hapa umenifumbua macho, kuna jamaa yangu alinunua haka 1.4TSI amekapaki hajamaliza nako hata miezi minne.. kame mchania mkeka tayariHizo engine ndogo wamezifanya zitoe power kubwa matokeo yake sio reliable kabisa. Sikushauri ununue hizo 1.4tfsi au tsi.
Tuanzie 3L si ndio?Hizo engine ndogo wamezifanya zitoe power kubwa matokeo yake sio reliable kabisa. Sikushauri ununue hizo 1.4tfsi au tsi.