Inategemea na "social media policy" zako.Asante sana mkuu.... Kwahiyo tuendelee kukaa kijeshi jeshi au tulegeze ?[emoji1]
Kilima nanihii ndio mpaka wa Masaki na Oysterbay. Huku Ukitoka Capetown fish market mbele pale kidogo kuna mbuyu ndio mpaka wa Masaki na Msasani. Obay na Msasani zinatenganishwa na barabara moja inaanzia hapa Don Bosco mbuyuni inashuka Hadi hapo niliposema mpaka wa Masaki na Msasani.Ahaa hapo umenifungua sasa, kwahio kuanzia Chole road ndio Masaki inapoanza?
Kushoto unaitafta Engen kulia unaitafuta coloseum mpaka IST kule?
Hivi na zile Tabata nyingine kama Relini, Azimio, Bima, Mawenzi, Magengeni, Liwiti nk. ni mitaa au niniTabata kubwa sana [emoji28] ina majimbo karibia matano!
Kimanga, Chang’ombe, Segerea, Kisukuru, Kinyerezi.
Rafiki una jina gumu sana.Maisha hayako fair mkuu, kuna watu wazito humu [emoji1787][emoji1787]
Pole sana kwa mzinga mkuu, la muhimu uhai
Mtu akiniletea za kuleta nampa maneno magumu. Ila sio gazeti mstari mmoja Tu na maneno ambayo hata mod hawezi kunipigia ban 😂😂😂Sijawahi kuona popote,zaidi ya uzi fulani wa jamaa fulani anaitwa Nondo..aliandika uzi humu wa kumaliza chuo..
Ukamjibu kwahiyo tufanyeje?😂😁😂🙌
Wacha nikatafute hicho kilima nanihino nikijue😅Kilima nanihii ndio mpaka wa Masaki na Oysterbay. Huku Ukitoka Capetown fish market mbele pale kidogo kuna mbuyu ndio mpaka wa Masaki na Msasani. Obay na Msasani zinatenganishwa na barabara moja inaanzia hapa Don Bosco mbuyuni inashuka Hadi hapo niliposema mpaka wa Masaki na Msasani.
Yani ukivuka hio barabara kunaanza uswazi ya maana Namanga bondeni
Kuna uzi ule wa yule TO aliefariki mwaka jana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi huwa nakuulizia mkuu.
Kabla sijakuona huu uzi,kuna uzi fulani tulionana nikakuchangamsha na wewe ukanichangamsha kwelikweli.
Sasa uneishi huko halafu hujui kuwa ni mitaa au nini 😳😳Hivi na zile Tabata nyingine kama Relini, Azimio, Bima, Mawenzi, Magengeni, Liwiti nk. ni mitaa au nini
By the way utoto wangu nimeishi Azimio, Bima, Magengeni na Kinyerezi huwa naimiss sana Tabata sema daah.
Kivukoni pale si kuna gari za Tabata auYesu wangu.
Hivi nikiwa natokea posta,nataka kufika tabata,,napanda gari za wapi?
Awaachie gari wauze chuma chakavu.Inabidi tupunguze u serious kidogo..
Kuna jamaa kaua nyati wawili huko Mikumi leo,wanamdai Million 9 naskia..
Ile ni vituo tu vya daladala! Tena vimefatana maana ni kama vitongoji tu au streets.Hivi na zile Tabata nyingine kama Relini, Azimio, Bima, Mawenzi, Magengeni, Liwiti nk. ni mitaa au nini
By the way utoto wangu nimeishi Azimio, Bima, Magengeni na Kinyerezi huwa naimiss sana Tabata sema daah.
Gari ikiwa full tank na nguvu za kiume zinarudi mara dufu.
😂😂😂Mtu akiniletea za kuleta nampa maneno magumu. Ila sio gazeti mstari mmoja Tu na maneno ambayo hata mod hawezi kunipigia ban 😂😂😂
Hahaa wengi tumezoea kusema uswahilini. Sema hata sisi wenyewe waswahili hatuna shida watu wakipaita kwetu uswahilini tushazoea tu.Maeneo ya wazawa ndio jina sahihi.
Hata sisi tunaowajazia full tank huwa tunawaona wanaume na nusu.Gari ikiwa full tank na nguvu za kiume zinarudi mara dufu.
Unawaona wa pembeni mafala wote.
Yes kama mimi mwanzo nilivyokuwaga nabishana kwenye lile jukwaa letu. Watu wengi walidhaniaga mie kauzu sizoeleki ila baadhi walivyonifahamu wakabaki tu "wewe mbona hufananii na yale unayoyaandika kule" nawaambiaga wakati mwingine tunachangamshaga genge tu sema watu wanacatch feelings.Tatizo wengine mmekaa kijeshi sana,hadi mtu kuwachekea anaogopa[emoji16].
JItahidi basi msiwe serious mno ili watu wawachekee na wawaulizie[emoji13]