Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Hiyo ya moto sana mzeee.. hata color yake na namna ilivyo.. huo moto sanaaa kuna Panamera used $ 25,000 sema TRA mtauana 😁😁😁hii chuma Kajala akiingia hatokiCheki link hii maboss wa Arsenal walivyokuwa wanashangaa Porsche Panamera ya jamaa wakicheki anatoka Africa.
Hiyo ya $25,000 sije ikawa ya Singapore.Hiyo ya moto sana mzeee.. hata color yake na namna ilivyo.. huo moto sanaaa kuna Panamera used $ 25,000 sema TRA mtauana 😁😁😁hii chuma Kajala akiingia hatoki View attachment 2081814
Uzinzi mbaya saana, eti nimeshawishika kuuliza niandae kama ngapi mzee mwenzangu.Hiyo ya $25,000 sije ikawa ya Singapore.
Huyo Kajala umempa airtime sana kwenye huyo mnyama, Kuna jamaa Yangu ukimpa kazi ya kukuletea Kajala anakuletea na Passo yake andaa Pesa madafu tu.
na kweli nimeona ni ya Singapore shenzi sana hawaa.. sema ile yutong kuipundua pundua inahitaji torque ya maana, maana imezoea kash kash 😂😂😂Hiyo ya $25,000 sije ikawa ya Singapore.
Huyo Kajala umempa airtime sana kwenye huyo mnyama, Kuna jamaa Yangu ukimpa kazi ya kukuletea Kajala anakuletea na Passo yake andaa Pesa madafu tu.
Uzinzi mbaya saana, eti nimeshawishika kuuliza niandae kama ngapi mzee mwenzangu.
"Pepo wa ngono toka, toka shetani, mjaalana wewe"
Mzee nitamuuliza jamaa Maana Leo lazima atakuwa viwanja nao.Uzinzi mbaya saana, eti nimeshawishika kuuliza niandae kama ngapi mzee mwenzangu.
"Pepo wa ngono toka, toka shetani, mjaalana wewe"
Ibilisi mbaya saana [emoji1787]Mzee nitamuuliza jamaa Maana Leo lazima atakuwa viwanja nao.
😂😂😂 Inabidi RPM mshale usishuke 3500 n hazard zinawaka mwanzo Mwisho.na kweli nimeona ni ya Singapore shenzi sana hawaa.. sema ile yutong kuipundua pundua inahitaji torque ya maana, maana imezoea kash kash 😂😂😂
Hiyo ya $25,000 sije ikawa ya Singapore.
Huyo Kajala umempa airtime sana kwenye huyo mnyama, Kuna jamaa Yangu ukimpa kazi ya kukuletea Kajala anakuletea na Passo yake andaa Pesa madafu tu.
[emoji1]na kweli nimeona ni ya Singapore shenzi sana hawaa.. sema ile yutong kuipundua pundua inahitaji torque ya maana, maana imezoea kash kash [emoji23][emoji23][emoji23]
Kawaida Tu mzazi wa Wana...na kweli nimeona ni ya Singapore shenzi sana hawaa.. sema ile yutong kuipundua pundua inahitaji torque ya maana, maana imezoea kash kash [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama seya na papiii kocha ausioMaisha yenyewe mafupi.
Kajala na Paula threesome bei gani?
Hebu uliza na hii.
Kuna mandhari nzuri sana...ukimuona Doctor nanihii..mwambie Boeing 747 anamsalimia sana..[emoji4][emoji4][emoji4]Nkoaranga….
Tanzania imebarikiwa sana basi tu
Kwamba katoka salama huyoRRONDO Bavaria ISO M.CodD mtongwe Extrovert JituMirabaMinne ....
Hizi ndio gari za kupindua sasa.. na ukasitika kitu BMW View attachment 2082769View attachment 2082770M5
Hiyo hata chozi likitoka sawa 😢, sio unapindua IST unachanganyikiwa 🤣🤣Kwamba katoka salama huyo
Kuna mtalii aliuliza mbona Tanzania ina vivutio vingi hivi na vingine havipo hata kwenye ramani hatuvioni? Akajibiwa Tanzania ikiamua kutangaza kila kivutio chake ili kiwekwe kwenye ramani ni uchafu!Nkoaranga….
Tanzania imebarikiwa sana basi tu
Huyo kidume anatakiwa ajieleze aliwezajewezaje kuipindua huyo machineRRONDO Bavaria ISO M.CodD mtongwe Extrovert JituMirabaMinne ....
Hizi ndio gari za kupindua sasa.. na ukasitika kitu BMW M5 View attachment 2082769View attachment 2082770
Si uchukue VW Phaeton W12, inakupa around 450HP. Hii gari was way ahead its time. Nafikiri ilitoka miaka ya 2000 mwanzoni hadi 2014. Inashare engine na Bentley, ila unapata kwa bei za the people’s car haswa.Wadau wanasema bei zake ni motoo sanaa.. 😂😂😂😂 inabidi ujipange.. mie nitaendelea na mwarabu maana ndio uhakika.. ulaya acha wajipige stop ili tuanze mililiki ndiga kali zile W16, V12 pamoja na V10 za kima marekani na kwingineko huko 😁😁😁