Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Dooh natamani siku hata ikitokea bahati mbaya nimegonga gari ya mtu basi awe mwenye mioyo kama yenu

Huwa tunashuhudia watu wanavyokula makofi mbele za watu kama watoto wadogo si mchezo

Na hata mimi mtu akigonga gari yangu huwa sijuagi kuwaka kuanza kumtukana au kumpiga

Sema majibu yake ndiyo yatadetermine nimchukulie hatua gani maana kuna wale wa "kwenda huko utanifanya nini"

Kuna mtu aliwahi kuvunjiwa ufunguo wa gari lake hivi hivi kisa majibu yake ya shombo na wakati kosa ni lake
Duniani watu wana stress hatari.

Niliwahi sikia mtu alipigwa shaba kwa kugonga gari la mtu.
 
Duniani watu wana stress hatari.

Niliwahi sikia mtu alipigwa shaba kwa kugonga gari la mtu.
Acha tu mkuu kuna watu wanalengwa shaba hivi hivi wanajiona

Maana wengine wakigongwa hawapendagi maelezo mengi ni actions tu

Kuna watu kutumia manati ya mzungu kwa binadamu wenzao ni dakika sifuri tu wala hawaoni uzito haijalishi kosa lako
 
Bara niliambiwa mambo yakikaa vizuri huwa tunapokea watalii around 2M kwa mwaka na mapato yanaweza kufikia hata 8B USDs so tumewazidi visiwani kama mara nne hivi

Sasa tukilinganisha ukubwa pamoja na idadi ya vivutio kati ya bara na visiwani hatukutakiwa kuwazidi mara nne tu ilitakiwa tuwazidi zaidi ya mara hizo hivyo wao wanajitahidi pakubwa

Na hiyo ni kwa mujibu wa baadhi ya tour guides wa TANAPA wanasema watalii wengi huwa wanakuja kutembelea national parks sana wakati kuna vivutio zaidi ya hivyo na havitangazwi
Mapato toka Tourism.

2019 yalikuwa $2.6bn.
2018 yalikuwa $2.4bn, tourists walikuwa 1.5mn.
2017 yalikuwa $2.2bn, tourists walikuwa 1.3mn.
2016 yalikuwa 2.1bn, tourists walikuwa 1.28mn.

Source: Bank of Tanzania
 
Back
Top Bottom