Siyo bongo...ila kwa kweli hapana..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kama naona hizo plates sio za bongo?.
Hayo ni matusi makubwa.Siyo bongo...ila kwa kweli hapana..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Huo mji sikuwahi kuuelewa wala kuufurahia ......mkuu unapita au umeweka kituo kwa muda?
[emoji1787][emoji1787]Huo mji sikuwahi kuuelewa wala kuufurahia ......mkuu unapita au umeweka kituo kwa muda?
ka mji flani kamepoa sana.. sema cha kushuruku kapo karibu na mwanzaa.. masaa yako nawili upo mwanza.. au chap unashukia kahama..Huo mji sikuwahi kuuelewa wala kuufurahia ......mkuu unapita au umeweka kituo kwa muda?
Pole sana wengine magari yetu hata tukiliacha wiki nje hamna kinachoibwa!Changamoto ya tatu wezi, nimeibiwa kile cha kupangusia maji ya mvua sijui waiper, nadhani nimeibiwa kwenye foleni. Natakiwa nipige libit sijui kuzunguka gari yote ili wasichomoe vitu vingine.
Ni hayo tuu madereva wenzangu
Kama hutaki mambo mengi.......unashuka Kahama unamaliza yako na kurudi shy townka mji flani kamepoa sana.. sema cha kushuruku kapo karibu na mwanzaa.. masaa yako nawili upo mwanza.. au chap unashukia kahama..
😄😄😄😄.. sema katoro mbali huwa napalewa sanaKama hutaki mambo mengi.......unashuka Kahama unamaliza yako na kurudi shy town
Hizo honi wala usizipuuze...Wakuu namimi naendelea na road trip yangu fupi fupi, nazidi kuimprove daily, Bado sijapata ujasiri wa kupiga picha na gari inatembea kama mfanyavyo.
Changamoto za barabarani ya kwanza ni bodaboda. Yaan Hawa watu hapana aiseee anakatiza tuu mbele yako speed kubwa.
Changamoto ya pili ni honi za madereva. Mwanzoni nilikua nawasikiliza nababaika, siku hizi nawapuuza mwenye haraka aovertake. Kutoka kimara had mjini maximum magari 8-13 yananiovertake.
Changamoto ya tatu wezi, nimeibiwa kile cha kupangusia maji ya mvua sijui waiper, nadhani nimeibiwa kwenye foleni. Natakiwa nipige libit sijui kuzunguka gari yote ili wasichomoe vitu vingine.
Ni hayo tuu madereva wenzangu
Mkuu honi za madereva wa Dar ukizifuatilia utakuwa kichaa!Hizo honi wala usizipuuze...
Unatakiwa kujenga mazoea ya kusikiliza sauti kutoka kila upande wa gari lako na kuzifanyia uchambuzi ndani ya ubongo wako within a second..[emoji28]..wakati huo huo unaendesha.....[emoji28]
Hizo honi kuna siku utapigiwa honi yenye maana, ya kukuepusha na majanga, ukaipuuza....hapo ndipo patamu..[emoji28][emoji28]
Endelea pia kujenga mazoea ya kuendesha gari lako, GARI lililoko mbele yako na nyuma yako, boda boda au bajaji zilizopo kushoto kwako na kulia kwako..
Mwee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Siku akikutana na honi za madereva wa mabasi ya mikoani anaingia mtaroni mazima. Hasa asubuhi.Hizo honi wala usizipuuze...
Unatakiwa kujenga mazoea ya kusikiliza sauti kutoka kila upande wa gari lako na kuzifanyia uchambuzi ndani ya ubongo wako within a second..[emoji28]..wakati huo huo unaendesha.....[emoji28]
Hizo honi kuna siku utapigiwa honi yenye maana, ya kukuepusha na majanga, ukaipuuza....hapo ndipo patamu..[emoji28][emoji28]
Endelea pia kujenga mazoea ya kuendesha gari lako, GARI lililoko mbele yako na nyuma yako, boda boda au bajaji zilizopo kushoto kwako na kulia kwako..
Mwee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
.....I mean, aendelee kuzizoea ..itafikia mahali akisikia honi, anajua kabisa huyu ni mwehu tu anataka kupita akimbie....Mkuu honi za madereva wa Dar ukizifuatilia utakuwa kichaa!
Zile honi zao nazo zinakera sana....Wanaona mavari madogo siyo magariSiku akikutana na honi za madereva wa mabasi ya mikoani anaingia mtaroni mazima. Hasa asubuhi.
Boda bwana ukiwaogopa inakuwaga kama ndo unawaita. Hawanaga cha kushoto wala kulia kote wanaovertake tena kwa mkwala kabisa sijui wanataka usimame wapite?Wakuu namimi naendelea na road trip yangu fupi fupi, nazidi kuimprove daily, Bado sijapata ujasiri wa kupiga picha na gari inatembea kama mfanyavyo.
Changamoto za barabarani ya kwanza ni bodaboda. Yaan Hawa watu hapana aiseee anakatiza tuu mbele yako speed kubwa.
Changamoto ya pili ni honi za madereva. Mwanzoni nilikua nawasikiliza nababaika, siku hizi nawapuuza mwenye haraka aovertake. Kutoka kimara had mjini maximum magari 8-13 yananiovertake.
Changamoto ya tatu wezi, nimeibiwa kile cha kupangusia maji ya mvua sijui waiper, nadhani nimeibiwa kwenye foleni. Natakiwa nipige libit sijui kuzunguka gari yote ili wasichomoe vitu vingine.
Ni hayo tuu madereva wenzangu
Mwakani uje usome tena hichi ulichokiandika mkuu 🙂Kabisa ni kua makini sana barabarani, siku nikiwa na stress sitaendesha gari aiseee