Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

huenda huyo askari ndio alikuwa malaika mwenyewe
 
hazard tunawashaga kama tukio ndani ya gari.. nje hapo kila mtu apambane na hali yake
 
Unachofundishwa darasani na uhalisia wa maisha haufanani.

Jiongeze.
 
Juzi nimeshuhudia mmoja akila makofi mbele yangu kutoka kwa abiria wake.

Alinichomekea kwa karibu sana ikabidi nifunge breki na niswerve kidogo nisimguse. Abiria wake alinotice. Nikaona paap, paap makofi yanatembea. Nikasema ewaaa n
 
Juzi nimeshuhudia mmoja akila makofi mbele yangu kutoka kwa abiria wake.

Alinichomekea kwa karibu sana ikabidi nifunge breki na niswerve kidogo nisimguse. Abiria wake alinotice. Nikaona paap, paap makofi yanatembea. Nikasema ewaaa n
Abiria wote wangekuwa hivyo, hakika bodaboda wangekuwa wastaarabu
 
Kuweka Kodi kubwa hiyo ndo ingekuwa sababu yake yaani kulinda viwanda vya ndani,lkn kwao sababu ni kutukomoa na kutukamua sawia na matamanio yao
Hehe mkuu TRA itakuwa hawataki kushuka kwenye nafasi yao ya kwanza katika list ya taasisi zinazoongoza kwa kulipa waajiriwa wake vizuri! Wameshajua mitaani watu wanadanganyana kwamba TRA ndiyo taasisi ya serikali inayoongoza kwa pesa za mishahara na magumashi so maybe they need to maintain that streak!
 
🤣🤣🤣Ahaaa ili mtaani tuendelee kuwaheshimu au sio......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…