Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ayseeee,kwanza mimi hata kwenye kuvuka reli huwa siwazi hazard,nilishawashiana siku moja pale Bahi mpakani kuvukia MANYONI,pale relini basi naona raha kweli hata nikiwa naenda Mwanza pale Manyoni hivyohivyo siwashi hazard,naona raaaaaha sana kubishana na askari.
Juzi sijui malaika gani alinitembelea eti nikampa lift askari toka Nzega hadi Manyoni,halafu askari polisi.!!
huenda huyo askari ndio alikuwa malaika mwenyewe
 
Hutakiwi kuwasha sema askari hawajui sheria za usalama barabarani,ukiwasha/matumizi ya hazard maana yake ni dharula na unamruhusu wa nyuma yako kuweza kukupita,sasa askari wanafikiri hazard inawashwa sehemu kama hizo na kwenye zebra.
Rwanda ukijichanganywa awashe hazard kwenye zebra unakuwa tayari umeshayakanyaga
hazard tunawashaga kama tukio ndani ya gari.. nje hapo kila mtu apambane na hali yake
 
Na ameniharibu kwelikweli, imagine eti ukifika kwenye zebra usivuke ule mstari, usimame hata kama hamna mtu anayetaka kuvuka, uangalie kulia na kushoto ndio uvuke, sasa raia nyuma full kunipigia honi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unachofundishwa darasani na uhalisia wa maisha haufanani.

Jiongeze.
 
Hawa jamaa wa boda boda wanakera sana...

Leo kidogo mmoja anivae kwa mbele...

Nilikuwa nataka kutoka barabara kubwa na kuingia upande wa kulia, kuna carina ikawa inakuja upande wangu, ikasimama jamaa akaniruhusu nitoke...
Ile natoka, mwehu wa Toyo akaiovateki ile carina kwa upande wa kushoto akiwa amempakia mwehu mwenzake....wako mwendo mkali balaa....

Ile ameovateki kusho, akakutana na pua ya gari yangu...bahati nzuri nilifanikiwa kumuona, nikashika brake, naye akatanua kwa mwendo ule ule...

Watu waliokuwa pembeni wakashika vichwa wakisubiria kusikia mzinga...
Nisingeshika breki, yule mbwa alikuwa anajaa kwenye rim yangu ya mbele ya kushoto...

Angekufa vibaya ng'ombe yule....
Kichwani hana helmet [emoji3549]
Miguuni ana sandals na kaptula...
Pumbaff sana
Juzi nimeshuhudia mmoja akila makofi mbele yangu kutoka kwa abiria wake.

Alinichomekea kwa karibu sana ikabidi nifunge breki na niswerve kidogo nisimguse. Abiria wake alinotice. Nikaona paap, paap makofi yanatembea. Nikasema ewaaa n
 
Pale 4WD inaposhindikana kwenye mazingira korofi.

Location: Chaco, Paraguay.

Source: Al-Jazeera, Risking it All.
IMG_20220211_195049~2.jpg
 
Juzi nimeshuhudia mmoja akila makofi mbele yangu kutoka kwa abiria wake.

Alinichomekea kwa karibu sana ikabidi nifunge breki na niswerve kidogo nisimguse. Abiria wake alinotice. Nikaona paap, paap makofi yanatembea. Nikasema ewaaa n
Abiria wote wangekuwa hivyo, hakika bodaboda wangekuwa wastaarabu
 
Kuweka Kodi kubwa hiyo ndo ingekuwa sababu yake yaani kulinda viwanda vya ndani,lkn kwao sababu ni kutukomoa na kutukamua sawia na matamanio yao
Hehe mkuu TRA itakuwa hawataki kushuka kwenye nafasi yao ya kwanza katika list ya taasisi zinazoongoza kwa kulipa waajiriwa wake vizuri! Wameshajua mitaani watu wanadanganyana kwamba TRA ndiyo taasisi ya serikali inayoongoza kwa pesa za mishahara na magumashi so maybe they need to maintain that streak!
 
Hehe mkuu TRA itakuwa hawataki kushuka kwenye nafasi yao ya kwanza katika list ya taasisi zinazoongoza kwa kulipa waajiriwa wake vizuri! Wameshajua mitaani watu wanadanganyana kwamba TRA ndiyo taasisi ya serikali inayoongoza kwa pesa za mishahara na magumashi so maybe they need to maintain that streak!
🤣🤣🤣Ahaaa ili mtaani tuendelee kuwaheshimu au sio......
 
Back
Top Bottom