Gari ikitunzwa ipasavyo..ni ngumu sana mataa kuwaka hovyo....Extrovert nakusalimia najua taswira hii haikupi raha ungependa kuona mataa taa kama mti wa Xmas [emoji23][emoji23]
View attachment 2117057
Kwa ukanyagaji huu wa accellator chuma lazima ikupe zaidi ya 15km Kwa lita.Extrovert nakusalimia najua taswira hii haikupi raha ungependa kuona mataa taa kama mti wa Xmas [emoji23][emoji23]
View attachment 2117057
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila boda boda sijui wakoje.Halafu alipofika mbali, akanitukana kwa kidole cha kati..[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Kama una miaka 18 unakaza tu. Chini ya hapo uwe mpole.Sorry naomba kuuliza hivi sheria ya kuendesha Gari hapa nchini n kuanzia umri gan? Maana mie nilkua najua ni above 18yrs, sasa week 3 zilizopita nilisimamishwa na traffic afu n mmama,
Sasa akaniuliza umri wangu nkamtajia akagoma akasema nadanganya, baadae akaomba vyeti vyangu, cha uraia, cha kupigia kura, leseni, sasa hivyo vyote kwa muda huo sikua navyo, mara akaanza kunifokea, kwanza namdanganya afu sina leseni, akanambia faini n 30k, baadae akasema na nyongeza ya kumdanganya n 5k jumla 35k, nkaanza kujitetea akasema atanipeleka police, sasa niliogopa kupelekwa police, ikabidi nitoe faini, nkatoa 40k akasema chenji hana nkamuachia, akanambia nisiendeshe tena gari hata km nna leseni, na akiniona tena atanipeleka police hatataka faini, na ile road ndo napitaga sana, afu gari nmeanza kuendesha 2020, na traffic nshawahi kukutan nao km watatu hawakuwahi kuwa tatizo.
Nipo hata sielew, kna mtu nlimuuliza alinambia pia ruksa kuanzia 18yrs, na leseni, yule mama alinionea tyuu sasa simuamini, jaman yule mama alivonifokea ile siku had nlikua naogopa mie, hebu mnijuze kwani. Naamini humu ndani ntapata maelezo ya kueleweka.
Akili zao zinfanana na injini za hizo pikipiki zao..[emoji35][emoji35][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila boda boda sijui wakoje.
18 nshapita mda sana.Kama una miaka 18 unakaza tu. Chini ya hapo uwe mpole.
Usikubali kuwa mnyonge, utawekewa bangi siku ingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili zao zinfanana na injini za hizo pikipiki zao..[emoji35][emoji35]
Yaani askari akuambie nenda ndio ufananishe na kuuona uwepo wa Mungu maishani?Kuna feeling flani amazing, askari anakusimamisha anakuambia ume over speed, wala humbishii, ila anapokagua picha kwenye makabrasha yake anagundua sio wewe anakuambia nenda.
Hapa unauona live uwepo wa Mungu maishani mwako
Mnaotumia njia ya Moro, pale Chalinze mizani fuateni 50, jamaa wapo asubuhi wanatwanga photo.
Za Umeme watawafungia Spika zinazotoa sound kama internal combustion engine.Magari ya full umeme.. vitu kama hivi huvipati dah Extrovert Deeboyfrexh JituMirabaMinne Bavaria RRONDO Offshore Seamen mtongwe
View attachment 2118440
Artificial haina raha kuna raha ya kuchafua hewa aiseeZa Umeme watawafungia Spika zinazotoa sound kama internal combustion engine.
Muungurumo wa injini ya Petrol au Diesel una Raha yakeArtificial haina raha kuna raha ya kuchafua hewa aisee
Hiyo 30k ulipewa receipt?Sorry naomba kuuliza hivi sheria ya kuendesha Gari hapa nchini n kuanzia umri gan? Maana mie nilkua najua ni above 18yrs, sasa week 3 zilizopita nilisimamishwa na traffic afu n mmama,
Sasa akaniuliza umri wangu nkamtajia akagoma akasema nadanganya, baadae akaomba vyeti vyangu, cha uraia, cha kupigia kura, leseni, sasa hivyo vyote kwa muda huo sikua navyo, mara akaanza kunifokea, kwanza namdanganya afu sina leseni, akanambia faini n 30k, baadae akasema na nyongeza ya kumdanganya n 5k jumla 35k, nkaanza kujitetea akasema atanipeleka police, sasa niliogopa kupelekwa police, ikabidi nitoe faini, nkatoa 40k akasema chenji hana nkamuachia, akanambia nisiendeshe tena gari hata km nna leseni, na akiniona tena atanipeleka police hatataka faini, na ile road ndo napitaga sana, afu gari nmeanza kuendesha 2020, na traffic nshawahi kukutan nao km watatu hawakuwahi kuwa tatizo.
Nipo hata sielew, kna mtu nlimuuliza alinambia pia ruksa kuanzia 18yrs, na leseni, yule mama alinionea tyuu sasa simuamini, jaman yule mama alivonifokea ile siku had nlikua naogopa mie, hebu mnijuze kwani. Naamini humu ndani ntapata maelezo ya kueleweka.
Receipt hakunipa, afu yeye alisema nipo below 18yrs ila namdanganya, kwa kweli niliogopa vile alivoanza kunifokea aaah wee kupelekwa police mie hapana, nkatoa hyo 40 chenji akawa bhana nkamuachia tyuuh.Hiyo 30k ulipewa receipt?
Kuendesha gari ni kuanzia miaka 18 pia traffic hatakiwi kukagua zaidi ya leseni. Sijui uraia sijui kupiga kura anakuzingua alikuona muoga.....
Muhimu kutembea na leseni au hata picha ya leseni yako.
Usipokua na leseni utatakiwa kuonyesha ndani ya siku 7. Hakuna faini ya kutokutwa na leseni.
Ulipigwa...
Kakupiga mchana kweupe.Receipt hakunipa, afu yeye alisema nipo below 18yrs ila namdanganya, kwa kweli niliogopa vile alivoanza kunifokea aaah wee kupelekwa police mie hapana, nkatoa hyo 40 chenji akawa bhana nkamuachia tyuuh.
Nashukuru kwa ufafanuzi wako, ahsante sana.Kakupiga mchana kweupe.
Pole.
Jitahidi uwe unatembea na leseni.
Kani siku hizi bado watu wanalipia mkononi? Yaani wanampa hela trafki? Hebu fafanua hapoReceipt hakunipa, afu yeye alisema nipo below 18yrs ila namdanganya, kwa kweli niliogopa vile alivoanza kunifokea aaah wee kupelekwa police mie hapana, nkatoa hyo 40 chenji akawa bhana nkamuachia tyuuh.