Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Nani huyo?Pombe gani unajaza tumbo tu hulewi. Kuna rafiki yangu nimemtoa kwenye Serengeti lite kahamia Safari.
Hapa umemalizaCity Pub
Mbeya Carnival
P Son
Pamodz
Samaki Samaki
Mwailubi
Kuna baridibinapuliza hapa na ng'ang'a macho tu sina la kufanya.Mbeya pazuri
Mvua imezidi aiseeMbeya pazuri
Ukiwa unafatisha vibao vya 50 matrafiki hawana shidaMimi nilienda Dar - Kilimanjaro - Dar (23 Dec kwa 27 Dec.) Nilisimamishwa na trafiki mara moja tu maeneo ya Same. Na nilisafiri mchana.
Unaweza kuta ilikuwa TZA![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini Kuna vyuma namba A vinaita achaa ving'wasuuu, Cheki hio CRUISER hapoView attachment 1664221
Same to you Saint AnneHappy New year
Mungu awalinde msafiri salama
Amen...Mungu ni mwema nimevuka salama na hatimaye Kuuona mwaka 2021..
Ninaimani wazee wote wa road trip mmevuka salama..
Mungu awatangulie katika kutimiza malengo ambayo hayakutimia kwa mwaka uliopita wa 2020..
1.Wakuoa aoe.
2.wa kuolewa aolewe
3.Wakuachika asiachike tena
4.Wa kutafuta kazi/biashara/masomo afanikiwe
5.Ndoto ya Ujenzi/kiwanja/gari ikatimie.
Mapambano yanaendelea.
View attachment 1664315
Hawana shida ikiwa kwenye 50kph unatembea 50kph, panapozuia kuovateki usiovateki, hizo ndio sehemu wanatega.Mimi nilienda Dar - Kilimanjaro - Dar (23 Dec kwa 27 Dec.) Nilisimamishwa na trafiki mara moja tu maeneo ya Same. Na nilisafiri mchana.
Unataka lift ya njia kati au njia ya juu kusiniNimemiss road trips aiseee.
Kama kuna mtu ana safari anishtue nimsindikize
Ha ha ha kuna mwana kajishindia Red verosa kwa maana hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ieijekuta limekaa sana bandarini akatokea mtu akajikomboa nalo..
Ooh yeah. Kama ni hivyo vyema. Ila naonaga ni bora kama huna hela nzuri utulie uagize later mfuko ukikaa poa. Mambo ya kununua vitu vibovu mimi sitaki. Nataka chuma kije kiko peruu ni mimi kudumbukia na kwenda hapo Juliana kula zako bucket.Wengine hununua haya kwa bei nafuu hlf wanakuja kuyafanyia repair.
Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.Aisee nimecheka kama mazuri! Ukiwa kichwa ngumu mfuko utaumia. Imagine upigwa fain 60,000/- mafuta ya 60,000 mengi sana
Mimi nina C ila naikubali kuliko D.Kifuatacho soon tutaingia namba E....Basi hawa wa Namba E watakuwa wanaona Dunia nzima ni yao....utakutana na Porte namba E jamaa kavaa miwani nyeusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush....yaani atatuona tuliobaki wote ni washamba tu..[emoji848][emoji848]...akisimamishwa na askari, ataongea kwa kiburi cha namba E, basi askari hapo anachora vyeti tu.
Hawa wenye D wataanza kujiona kama sisi wenye C tunavyojiona leo hii..
Wenye C tutajiona kama wanavyojiona wenye B leo hii..
Wenye B watajiona kama wanavyojiona wenye namba A leo hii...
Wenye namba A watajiona wamerudishwa enzi za namba TZ 009844[emoji21]
Wale ambao waliwahi kuwa na namba TZ.......watajihisi wanaishi on the other side of the hell....[emoji26][emoji26]
Ndiyo Tanzania hii imetawaliwa na Plate namba na Low mileage..
Ukirudi kuanzia kesho watapungua.Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.
Yeye anapenda amshaamsha.
Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.
Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.
Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Mkuu sisi tunaoangalia namba D ni wale wa magari 'mapya' yenye umri zaidi ya miaka 10. Kuna C na B nazijua nyingi watu walichukua brand new ni Bora kuliko hizi DV zetu!Mimi nina C ila naikubali kuliko D.
Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.
Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.
Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.
Plate number zinazuzua tu.
Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.
Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.
Sitaki kelele.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Huenda wamechoka kukamata.. majuzi sikukusimamishwa na trafic hata mmoja na nimerudi jana pia jioni hadi alfajiri sijasimamishwa hata na mmoja... na nilikuwa natembea lafu kweli kweliWakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.
Yeye anapenda amshaamsha.
Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.
Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.
Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app