Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mungu ni mwema nimevuka salama na hatimaye Kuuona mwaka 2021..

Ninaimani wazee wote wa road trip mmevuka salama..

Mungu awatangulie katika kutimiza malengo ambayo hayakutimia kwa mwaka uliopita wa 2020..

1.Wakuoa aoe.
2.wa kuolewa aolewe
3.Wakuachika asiachike tena
4.Wa kutafuta kazi/biashara/masomo afanikiwe
5.Ndoto ya Ujenzi/kiwanja/gari ikatimie.

Mapambano yanaendelea.
View attachment 1664315
Amen...
 
Aisee nimecheka kama mazuri! Ukiwa kichwa ngumu mfuko utaumia. Imagine upigwa fain 60,000/- mafuta ya 60,000 mengi sana
Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.

Yeye anapenda amshaamsha.

Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.

Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.

Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Kifuatacho soon tutaingia namba E....Basi hawa wa Namba E watakuwa wanaona Dunia nzima ni yao....utakutana na Porte namba E jamaa kavaa miwani nyeusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush....yaani atatuona tuliobaki wote ni washamba tu..[emoji848][emoji848]...akisimamishwa na askari, ataongea kwa kiburi cha namba E, basi askari hapo anachora vyeti tu.

Hawa wenye D wataanza kujiona kama sisi wenye C tunavyojiona leo hii..

Wenye C tutajiona kama wanavyojiona wenye B leo hii..

Wenye B watajiona kama wanavyojiona wenye namba A leo hii...

Wenye namba A watajiona wamerudishwa enzi za namba TZ 009844[emoji21]

Wale ambao waliwahi kuwa na namba TZ.......watajihisi wanaishi on the other side of the hell....[emoji26][emoji26]

Ndiyo Tanzania hii imetawaliwa na Plate namba na Low mileage..
Mimi nina C ila naikubali kuliko D.

Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.

Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.

Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.

Plate number zinazuzua tu.

Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.

Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.

Sitaki kelele.



Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.

Yeye anapenda amshaamsha.

Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.

Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.

Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Ukirudi kuanzia kesho watapungua.
 
Mimi nina C ila naikubali kuliko D.

Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.

Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.

Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.

Plate number zinazuzua tu.

Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.

Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.

Sitaki kelele.



Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Mkuu sisi tunaoangalia namba D ni wale wa magari 'mapya' yenye umri zaidi ya miaka 10. Kuna C na B nazijua nyingi watu walichukua brand new ni Bora kuliko hizi DV zetu!
Kuna jamaa yangu alitaka kununua RR sporty namba A akaniita nimsaidie kuicheki. History ya gari ilichukuliwa brand new CMC ina 80,000km nilimnong'oneza jamaa chukua faster. Hadi leo ngoma anadunda nayo alichukua 2013.
 
Wakati nakuja Arusha nilikuwa na mdogo angu.

Yeye anapenda amshaamsha.

Nikamwambia hizo 30K tutakazopigwa zikifika 5 tu ni full tank kabisa ya kututoa Dar mpaka Arusha.

Akawa mpole ila njiani hatukukuta trafic. Ndo tukajiachia haswa.

Nadhani wakati wa kurudi ndo ntawakuta wa kutosha.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Huenda wamechoka kukamata.. majuzi sikukusimamishwa na trafic hata mmoja na nimerudi jana pia jioni hadi alfajiri sijasimamishwa hata na mmoja... na nilikuwa natembea lafu kweli kweli
 
Back
Top Bottom