Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Jamaa katili mno!
 
Hahaha, hapana mkuu. Najiuliza kama niligonga gari mataa hapohapo taa ikavunjika, mlango ukaharibika ukawa haufunguki je mtu ukipata ajali kwenye high speed inakuwaje? Nawasihi punguzeni speed wapendwa
Usalama barabarani una factors nyingi, sio speed tu. Kuna barabara zina minimum speed limit, ukiendesha chini ya hapo unakuwa unahatarisha usalama wako na wa wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…