Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Duh tutapunguza ila sio 70kph 😀😀😀
 
Kwasababu hausikii, haimaainishi hazitokei. Bodaboda na wavuka kwa miguu wanabondwa na mabasi very frequently. Wewe ukiwa ndani ya basi unakuwa protected, ila usalama wa watumiaji wengine wa barabara unahatarishwa na mabasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…