Hahaha mkuu hebu tuache na roundabout zetu zilizojificha utafikiri kambi za waasiHahah wana Mbeya wakija hapa watanirushia mawe hatari,ngoja nivae helmet tayari kwa mapambano mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha katoa ramani ya vita kwa adui siyoKama ni kweli.. umeuza mechi tayari [emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu kuna maneno unatafuta kwa watu wenye mikoa yao..Mikoa ya kilimo hio mkuu,mambo ya bata huko sio mahala Pake.
Unaweza kukuta roundabout ya mkoa imepandwa michicha,tembele,ina kashamba darasa hapohapo.
Samahani lkn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Askari wapo wa kutosha tu humu ndani....baadhi ya mbinu za kivita tusiziandike huku..[emoji38][emoji38][emoji38]Uncle wangu huwa ni mtu wa maspeed sana. Hiwa safari zake za dar to moshi masaa matano mpk nyumbani kbs. Lakini huwa tunashangaa sana inakuaje anatoboa bila vyeti. Akatufundishaga mbinu yake. Huwa anapanga CD pape mbele kwenye dashboard anatandaza. Anasema trafiki akipiga camera anaambulia sifuri. Kuna anayeijua hii mbinu? Kuna ambaye amewahi jaribu?
Ajitokeze mtu aijaribu basi [emoji28]
Hivi kuna matrafiki kwani huku? Tusiharibiane mbinu zingine jamani
Ntarudi kuanzia tar 10 hivi. Sio sasa.Ukirudi kuanzia kesho watapungua.
3 years or 100,000 km warranty.Mkuu sisi tunaoangalia namba D ni wale wa magari 'mapya' yenye umri zaidi ya miaka 10. Kuna C na B nazijua nyingi watu walichukua brand new ni Bora kuliko hizi DV zetu!
Kuna jamaa yangu alitaka kununua RR sporty namba A akaniita nimsaidie kuicheki. History ya gari ilichukuliwa brand new CMC ina 80,000km nilimnong'oneza jamaa chukua faster. Hadi leo ngoma anadunda nayo alichukua 2013.
Mpaka unajiuliza mara mbili.Huenda wamechoka kukamata.. majuzi sikukusimamishwa na trafic hata mmoja na nimerudi jana pia jioni hadi alfajiri sijasimamishwa hata na mmoja... na nilikuwa natembea lafu kweli kweli
Highway hawakagui.Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..
Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili
1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za mabegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...
Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
Siku hizi tatu za karibuni imekuwa ajabu sanaaa.. au wamefikia lengo la ukusanyajiMpaka unajiuliza mara mbili.
Jana nilienda Monduli. Barabara ilikuwa nyeupe mpaka unajiuliza kama inawezekana kutokuwa na polisi kabisa.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Nafanyia kazi zangu nyumbani. Nina kaofisi kadogo.Inaonekana yako unaitumia kwenda sokoni tu. Na soko lenyewe liko mtaa wa pili.
Nafikiria kupiga safari ya Mtwara - Rusumo. Au Mbamba Bay - Kigoma.Huwa najaribu kuvunja record zangu mwenyewe. Kuna moja nataka nilijaribu kama nitaivunja soon.
2014 niliwahi kupiga KM 1000+ kutoka Arusha mpaka Kampala bila kusimama na bila kuwa na co driver.
Nategemea kuvunja hiyo record mwezi huu. Katikati
Basi unakaa mbali sana na mjini kati au unafanya kazi za delivery.Zangu za kiume zaidi. Hapo town tu nagonga 100 kwa siku hapo jinkuhama Hama vijiwe vya [emoji481] tu
Hahahahah kwahiyo mkuu nimeuza raman.Askari wapo wa kutosha tu humu ndani....baadhi ya mbinu za kivita tusiziandike huku..[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna mshikaji anasema alijaribu kuweka CD akala vyeti vya kutosha..
Sasa sijui ukweli wa hili uko wapi..
Ha h aha wamehamia huku mjini! Kila mahali wamejaaMpaka unajiuliza mara mbili.
Jana nilienda Monduli. Barabara ilikuwa nyeupe mpaka unajiuliza kama inawezekana kutokuwa na polisi kabisa.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Ha h ah ah aisee!!!Mikoa ya kilimo hio mkuu,mambo ya bata huko sio mahala Pake.
Unaweza kukuta roundabout ya mkoa imepandwa michicha,tembele,ina kashamba darasa hapohapo.
Samahani lkn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Za kuambiwa,chnanganya na zako!Askari wapo wa kutosha tu humu ndani....baadhi ya mbinu za kivita tusiziandike huku..[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna mshikaji anasema alijaribu kuweka CD akala vyeti vya kutosha..
Sasa sijui ukweli wa hili uko wapi..
😀😀😀😀 nimeshawaomba msamaha mapema kabisaa mkuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu kuna maneno unatafuta kwa watu wenye mikoa yao..
Cathy. Halafu message yangu hujaona eeeh we kaka?Nani huyo?
Kokote tu mimi freshUnataka lift ya njia kati au njia ya juu kusini
SawaMimi nina C ila naikubali kuliko D.
Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.
Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.
Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.
Plate number zinazuzua tu.
Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.
Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.
Sitaki kelele.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app