Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Hahaha mkuu hebu tuache na roundabout zetu zilizojificha utafikiri kambi za waasiHahah wana Mbeya wakija hapa watanirushia mawe hatari,ngoja nivae helmet tayari kwa mapambano mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app