Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Uncle wangu huwa ni mtu wa maspeed sana. Hiwa safari zake za dar to moshi masaa matano mpk nyumbani kbs. Lakini huwa tunashangaa sana inakuaje anatoboa bila vyeti. Akatufundishaga mbinu yake. Huwa anapanga CD pape mbele kwenye dashboard anatandaza. Anasema trafiki akipiga camera anaambulia sifuri. Kuna anayeijua hii mbinu? Kuna ambaye amewahi jaribu?

Ajitokeze mtu aijaribu basi [emoji28]

Hivi kuna matrafiki kwani huku? Tusiharibiane mbinu zingine jamani
Askari wapo wa kutosha tu humu ndani....baadhi ya mbinu za kivita tusiziandike huku..[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna mshikaji anasema alijaribu kuweka CD akala vyeti vya kutosha..

Sasa sijui ukweli wa hili uko wapi..
 
Mkuu sisi tunaoangalia namba D ni wale wa magari 'mapya' yenye umri zaidi ya miaka 10. Kuna C na B nazijua nyingi watu walichukua brand new ni Bora kuliko hizi DV zetu!
Kuna jamaa yangu alitaka kununua RR sporty namba A akaniita nimsaidie kuicheki. History ya gari ilichukuliwa brand new CMC ina 80,000km nilimnong'oneza jamaa chukua faster. Hadi leo ngoma anadunda nayo alichukua 2013.
3 years or 100,000 km warranty.

Whatever comes first.

Ford wanakupa choice ya warranty iwe ina cover upande upi. Either km au miaka.

Ukichukua km basi hiyo gari ingekuwa chini ya warranty bado.

Wengi hatujui hata kutunza magari. Gari namba D mabati ya pembeni yameshaanza kulegea.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Huenda wamechoka kukamata.. majuzi sikukusimamishwa na trafic hata mmoja na nimerudi jana pia jioni hadi alfajiri sijasimamishwa hata na mmoja... na nilikuwa natembea lafu kweli kweli
Mpaka unajiuliza mara mbili.

Jana nilienda Monduli. Barabara ilikuwa nyeupe mpaka unajiuliza kama inawezekana kutokuwa na polisi kabisa.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Lazima uwakute wa kutosha wameshakula xmas na mwaka mpya..

Sasa hivi watakuwa na njaa za aina mbili

1.Kiwi.
2.Januari wanatafuta hela za mabegi ya shule,madaftari, ada na matumizi mengine ya watoto wao wanaorudi shule...

Hapa watakagua gari mpk ambavyo havijawahi kukaguliwa
Highway hawakagui.

Labda hawa wa mjini kati.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana yako unaitumia kwenda sokoni tu. Na soko lenyewe liko mtaa wa pili.
Nafanyia kazi zangu nyumbani. Nina kaofisi kadogo.

Natoka weekends tu au kati ya week kukiwa na ulazima sana.

Kwahiyo week nzima naweza tembea kama 50km. Na gari zipo mbili, moja ya safari nyingine town trip.

Na hiyo ya safari inaweza tembea km 1000-1500km kwa miezi minne hivi.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Huwa najaribu kuvunja record zangu mwenyewe. Kuna moja nataka nilijaribu kama nitaivunja soon.

2014 niliwahi kupiga KM 1000+ kutoka Arusha mpaka Kampala bila kusimama na bila kuwa na co driver.

Nategemea kuvunja hiyo record mwezi huu. Katikati
Nafikiria kupiga safari ya Mtwara - Rusumo. Au Mbamba Bay - Kigoma.

24hrs bila kusimama labda kuweka mafuta tu.

Nataka kuona uwezo wangu.

Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Askari wapo wa kutosha tu humu ndani....baadhi ya mbinu za kivita tusiziandike huku..[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna mshikaji anasema alijaribu kuweka CD akala vyeti vya kutosha..

Sasa sijui ukweli wa hili uko wapi..
Hahahahah kwahiyo mkuu nimeuza raman.

Au jamaa yako alipanga vibaya? Basi nutakua sileti tena humu.

Matrafiki wa humu tunawamaindoo sana. Nyie mna roho nzurimoo[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi nina C ila naikubali kuliko D.

Gari ina miaka 7 haijafikisha hata 80K km.

Maintainance ni top notch, service ni kwa wakati.

Hata wenye D wengi zimeshachoka ila yangu ni sawa na itoke Japan leo.

Plate number zinazuzua tu.

Nikitaka kuiuza napunguza 2M kwa ile mpya inayotoka Japan.

Kama mpya itauzwa 20M yangu nauza 18M.

Sitaki kelele.



Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Sawa
 
Back
Top Bottom