Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wanazo mkuu huwa ndiyo natumia...
Nilikuwa natumia 5w 30, sasa nimehamia 5w40...umri wa gari umesogea...ina mileage ya 160k plus..[emoji4][emoji4]
Hivi hili la kutoka 5w30 hadi 5w40 kutokana na high mileage ni technical ama myth! Maana sioni kwenye car manual ikisema hivyo. Manual inasema gari linapaswa kutumia 5w30; haisemi ibadili kwenda 5w40 ikifika mileage fulani.

Pengine unaweza kunisaidia kiundani juu ya hili?
 
Hivi hili la kutoka 5w30 hadi 5w40 kutokana na high mileage ni technical ama myth! Maana sioni kwenye car manual ikisema hivyo. Manual inasema gari linapaswa kutumia 5w30; haisemi ibadili kwenda 5w40 ikifika mileage fulani.

Pengine unaweza kunisaidia kiundani juu ya hili?
Car manual pia zinasema ATF ni lifetime. Sasa fuatisha hio manual ukione cha moto
 
Ni hivi huyu kahama kutoka 5w30 kaenda 5w40 5w40 ni nzito kuliko 5w30.
20w50 ni nzito zaidi na haitumiki Kwa gari za Europe nyingi kama sio zote
Sawa mkuu but unajua kwanini hawatumii kwenye gari za Europe?

Namba ya kwanza before W ina represent degrees Celcius ambazo oil inaweza ika flow na namba ya mwisho ni thickness ya oil katika operating temperatures.

Tukiangalia kwa nchi za ulaya wengi wanapata degrees below 10’C katika vipindi vya baridi. Ila kwa Tanzania huwa hatufikagi huko throughout the year. Average ni kati ya 20-30’C.

Kwa oils za gari za ulaya ndio maana wanashauri muweke 5W means oil itembee kwenye engine kuanzia kiwango cha nyuzijoto 5’C during coldstart. Ile namba ya mwisho kuanzia 15,20,30,40 mpaka 100 ndio viscosity rating kwa maana wembamba wa oil at operating temperature yani ikipata joto maana oil ikipoa huwa inakua thickened.

Kwahivyo uko sahihi kwa oil ya w40 itakuwa nzito but w50 ni nzito zaidi which i recommend kwa gari yake hasa kama yupo bongo.

Kwa gari zetu hapa bongo nafikiri kutumia 20W50 pia sio mbaya kwa sababu hali ya hewa ya joto letu mjini huwa ni 20-30’C on average so hamna ambaye gari yake itagoma kupandisha oil ila kwa mtu aliepo Arusha, Iringa au Mbeya na maeneo ya jirani huko basi 5W-30 huenda ikawa chaguo zuri zaidi maana wale wanapataga below 20’C during cold times of the year.
 
Sawa mkuu but unajua kwanini hawatumii kwenye gari za Europe?

Namba ya kwanza before W ina represent degrees Celcius ambazo oil inaweza ika flow na namba ya mwisho ni thickness ya oil katika operating temperatures.

Tukiangalia kwa nchi za ulaya wengi wanapata degrees below 10’C katika vipindi vya baridi. Ila kwa Tanzania huwa hatufikagi huko throughout the year. Average ni kati ya 20-30’C.

Kwa oils za gari za ulaya ndio maana wanashauri muweke 5W means oil itembee kwenye engine kuanzia kiwango cha nyuzijoto 5’C during coldstart. Ile namba ya mwisho kuanzia 15,20,30,40 mpaka 100 ndio viscosity rating kwa maana wembamba wa oil at operating temperature yani ikipata joto maana oil ikipoa huwa inakua thickened.

Kwahivyo uko sahihi kwa oil ya w40 itakuwa nzito but w50 ni nzito zaidi which i recommend kwa gari yake hasa kama yupo bongo.

Kwa gari zetu hapa bongo nafikiri kutumia 20W50 pia sio mbaya kwa sababu hali ya hewa ya joto letu mjini huwa ni 20-30’C on average so hamna ambaye gari yake itagoma kupandisha oil ila kwa mtu aliepo Arusha, Iringa au Mbeya na maeneo ya jirani huko basi 5W-30 huenda ikawa chaguo zuri zaidi maana wale wanapataga below 20’C during cold times of the year.
Iache hii topic.
 
Sawa mkuu but unajua kwanini hawatumii kwenye gari za Europe?

Namba ya kwanza before W ina represent degrees Celcius ambazo oil inaweza ika flow na namba ya mwisho ni thickness ya oil katika operating temperatures.

Tukiangalia kwa nchi za ulaya wengi wanapata degrees below 10’C katika vipindi vya baridi. Ila kwa Tanzania huwa hatufikagi huko throughout the year. Average ni kati ya 20-30’C.

Kwa oils za gari za ulaya ndio maana wanashauri muweke 5W means oil itembee kwenye engine kuanzia kiwango cha nyuzijoto 5’C during coldstart. Ile namba ya mwisho kuanzia 15,20,30,40 mpaka 100 ndio viscosity rating kwa maana wembamba wa oil at operating temperature yani ikipata joto maana oil ikipoa huwa inakua thickened.

Kwahivyo uko sahihi kwa oil ya w40 itakuwa nzito but w50 ni nzito zaidi which i recommend kwa gari yake hasa kama yupo bongo.

Kwa gari zetu hapa bongo nafikiri kutumia 20W50 pia sio mbaya kwa sababu hali ya hewa ya joto letu mjini huwa ni 20-30’C on average so hamna ambaye gari yake itagoma kupandisha oil ila kwa mtu aliepo Arusha, Iringa au Mbeya na maeneo ya jirani huko basi 5W-30 huenda ikawa chaguo zuri zaidi maana wale wanapataga below 20’C during cold times of the year.
Uko sahihi. Mimi mwaka juzi nilijichanganya nikanunua 20W50 Total. Baada ya miezi miwili hakuna rangi niliacha kuona gari ikawa inashida cold start, yaani nilikua napiga start afu nakanyaga accelerator kama dk 5 nzima hivi temperature gauge ikishapanda basi gari haizimi bila hivyo ilikua inazima ndani ya dk 2 tu baada ya kuiwasha hasa asubuh au ikiwa imepoa. To cut the story short, mpaka kuja kusanuka kua engine oil nilioweka ni nzito hakuna garage Arusha mjini sijaenda mpaka baadhi ya mafundi walinikariri kabisa 😂
 
Uko sahihi. Mimi mwaka juzi nilijichanganya nikanunua 20W50 Total. Baada ya miezi miwili hakuna rangi niliacha kuona gari ikawa inashida cold start, yaani nilikua napiga start afu nakanyaga accelerator kama dk 5 nzima hivi temperature gauge ikishapanda basi gari haizimi bila hivyo ilikua inazima ndani ya dk 2 tu baada ya kuiwasha hasa asubuh au ikiwa imepoa. To cut the story short, mpaka kuja kusanuka kua engine oil nilioweka ni nzito hakuna garage Arusha mjini sijaenda mpaka baadhi ya mafundi walinikariri kabisa 😂
Hahahahha ulihisi Engine mbovu 😂😂😂 au ishaharibika kabisa. Pole sana mkuu haya mambo ukiyaelewa inasaidia sana
 
Hii ni kama unaenda darajani? Hawa ndo wana bei ya chini always, lakini ile kama unaenda kibada pale kwa mkorea bei tofauti ipo juu, ndipo ambapo siwaelewi hawa jamaa
Hao jamaa wanafata competition mfano sehemu ambayo wako pekeyao bei inakuwa chini ila sehemu ambayo kuna competitors wanaweka bei sawa!

Mfano sheli zao za Morogoro Road bei iko juu kuna moja iko Urafiki hapa.
 
Sawa mkuu but unajua kwanini hawatumii kwenye gari za Europe?

Namba ya kwanza before W ina represent degrees Celcius ambazo oil inaweza ika flow na namba ya mwisho ni thickness ya oil katika operating temperatures.

Tukiangalia kwa nchi za ulaya wengi wanapata degrees below 10’C katika vipindi vya baridi. Ila kwa Tanzania huwa hatufikagi huko throughout the year. Average ni kati ya 20-30’C.

Kwa oils za gari za ulaya ndio maana wanashauri muweke 5W means oil itembee kwenye engine kuanzia kiwango cha nyuzijoto 5’C during coldstart. Ile namba ya mwisho kuanzia 15,20,30,40 mpaka 100 ndio viscosity rating kwa maana wembamba wa oil at operating temperature yani ikipata joto maana oil ikipoa huwa inakua thickened.

Kwahivyo uko sahihi kwa oil ya w40 itakuwa nzito but w50 ni nzito zaidi which i recommend kwa gari yake hasa kama yupo bongo.

Kwa gari zetu hapa bongo nafikiri kutumia 20W50 pia sio mbaya kwa sababu hali ya hewa ya joto letu mjini huwa ni 20-30’C on average so hamna ambaye gari yake itagoma kupandisha oil ila kwa mtu aliepo Arusha, Iringa au Mbeya na maeneo ya jirani huko basi 5W-30 huenda ikawa chaguo zuri zaidi maana wale wanapataga below 20’C during cold times of the year.
Maelezo mazuri.. Ila hapo W hiyo ni Winter..
Hapa TZ monograde oil inatosha kabisa.. Hii mambo ya multigrade ni marketing tuu..!
Hizo ni oil za kutumika nje ambapo kwenye mwaka kuna majira tofauti..!
 
Back
Top Bottom