ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Ndio hivyo imebidi nipunguze mwendo. Niko Dumila now, nimekesha barabarani1100km so farina kela sana hii. na huwa sipendagi kutumia spare Tyre
Pole sana, masaa machache kuanzia sasa nitapita dumila hapo.. 1100km parefu, hapo dumila center nyingi jaribu kuweka Oko kama tyre imepiga pancha ya kawaida.. ila kama mpacha basi tena 😃🤠Ndio hivyo imebidi nipunguze mwendo. Niko Dumila now, nimekesha barabarani1100km so far
Ya kubadili hii, acha nifike town. Tairi adimu sana hizi mkoa mzima wa Mara ilikuwepo pc 1 tu [emoji1787] nikafunga. Iliyobaki nikasema inisogezw ndio imekata roho.Pole sana, masaa machache kuanzia sasa nitapita dumila hapo.. 1100km parefu, hapo dumila center nyingi jaribu kuweka Oko kama tyre imepiga pancha ya kawaida.. ila kama mpacha basi tena [emoji2][emoji1783]
Papo fresh. Barabara ni nzuri ajabu.Panafananaje huko?
Mimi ndio nataka nitoke Tarime, nirudi Dar es Salaam
tyre gani hizo.. mikoani kuna changamoto sana.. hapo unaenda mdogo mdogo tuYa kubadili hii, acha nifike town. Tairi adimu sana hizi mkoa mzima wa Mara ilikuwepo pc 1 tu [emoji1787] nikafunga. Iliyobaki nikasema inisogezw ndio imekata roho.
AaminPapo fresh. Barabara ni nzuri ajabu.
Ina kona kona kuanzia mbinga mpaka mwisho mbamba bay.
Unapanda vilima na kuvishuka kama vyote.View attachment 2157457
Si upande hiyo Sauli mpaka Mbeya halafu uchukue gari za Kyela?Msaada tutani wakuu nina mpango wa kusafiri kwenda Kasumulu (border na Malawi)nitumie bus gani ya uhakika kati ya Dar na Kyela?mimi ni team sauli ninapenda speed na uhakika wa bus [emoji590]
Iko mkoa gani hii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkoani kwetu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante ila ni vema nikapanda la moja kwa moja,doesn't make sense nifike uyole nianze kuhangaika tena, ila nashukuru kwa wazoSi upande hiyo Sauli mpaka Mbeya halafu uchukue gari za Kyela?
Panda Kyela express tu mkuu maana hamna namnaAhsante ila ni vema nikapanda la moja kwa moja,doesn't make sense nifike uyole nianze kuhangaika tena, ila nashukuru kwa wazo
Mbinga nyumbn kwetu hukoo wasalimie sana mbamba bay na hapo kilosa wilayanPapo fresh. Barabara ni nzuri ajabu.
Ina kona kona kuanzia mbinga mpaka mwisho mbamba bay.
Unapanda vilima na kuvishuka kama vyote.View attachment 2157457
[emoji1787][emoji1787]Panda Kyela express tu mkuu maana hamna namna
Itabidi nichangamkie hilo hilo kyela express na ninajitahidi kupata more information kuhusu hii bus, ikiwa roughly inaingia kyela saa ngapi, kipindi fulani kulikuwa kuna bus ikiitwa Twiga international, hii ilikua inaondoka Dar(mnazi mmoja)18H00,ipo border na inavuka, asubuhi ndani ya Lilongwe, but now itakua kuweka kambi kyela[emoji1787][emoji1787]
Bovu bovu lakini
Sauli akichomoa
Kyela anachomeka
Linatembea balaa
Kilosa zimefika.Mbinga nyumbn kwetu hukoo wasalimie sana mbamba bay na hapo kilosa wilayan
Duh Hongera sana mkuuMusoma saa 2 usiku
Trip ya usiku kucha bila kupumzika
Dar es Salaam saa 5 asubuhi
1330+ kilometre non stop
Masaa 15+ barabarani mwenyewe ndani ya gari
Nimewejiwekea rekodi ambayo sidhani kama nitakuja kuivunja. Mungu ni mwemaView attachment 2159173
Shukrani mkuuDuh Hongera sana mkuu