Haha vingine ni Incase of emergency tu mkuuHapo kila kitufe kinabonyezwa au vingine ni geresha tuu au kitabonyezwa baada ya miaka??!!!
Angalia tarehe ya post mkuu WanguNi lini umepiga hii picha??,......maana leo asubuhi waliifunga na kutusababishia mateso tuliyokuwa tunayapata
Ugeni nao changamoto,kwakuwa nimeiona leo wala sikushughulisha medulla yangu kuangalia in details😀😀😀Angalia tarehe ya post mkuu Wangu
Ugeni upi tena mkuu wakati una miaka zaidi ya mitano jamvini na posts zaidi ya elfu moja [emoji2][emoji2]Ugeni nao changamoto,kwakuwa nimeiona leo wala sikushughulisha medulla yangu kuangalia in details[emoji3][emoji3][emoji3]
Al kasu su[emoji848][emoji1787]9.8ms squared kitu natural Hii ukipiga huwezi kuacha.
Mitaa ya kina Mheshimiwa Jumaa Aweso hapa nimepita kupiga Asubuhi na JioniView attachment 2164568
Kuna fahari ya macho kwanza 😀😀😀9.8ms squared kitu natural Hii ukipiga huwezi kuacha.
Mitaa ya kina Mheshimiwa Jumaa Aweso hapa nimepita kupiga Asubuhi na JioniView attachment 2164568
Hii ndio original Sio za Mjini Dar, na Korogwe pale Kuna Hii Bidhaa Original.Al kasu su[emoji848][emoji1787]
Mpaka Mjini ukienda kule Beach utakutana nazo za Kibongo na Kimanga wakiwa wamepumzika.Kuna fahari ya macho kwanza 😀😀😀
za kimanga sizielewagi.. au sijui mazoe 😀😀😀😀.. mambo yote za kibongo flani hiviMpaka Mjini ukienda kule Beach utakutana nazo za Kibongo na Kimanga wakiwa wamepumzika.
Huku wakienda zenyewe sehemu za Beach za kitalii ujue wapo njema mfukoni na Hizo Beach zipo ambazo Kuna Bangalow Mtu anajipikia au anakula hotel Bei zimetabasamu kiasi.Kuna fahari ya macho kwanza 😀😀😀
Za Kibongo zipo Mkuu, sema huku wanapenda Kwa ajili ya privacy kuna watu wanakuja hawataki karaha wanahitaji utulivu na mapumziko.za kimanga sizielewagi.. au sijui mazoe 😀😀😀😀.. mambo yote za kibongo flani hivi
Basi inabidi kuja hapo kuyabariki macho 😀😀😀Za Kibongo zipo Mkuu, sema huku wanapenda Kwa ajili ya privacy kuna watu wanakuja hawataki karaha wanahitaji utulivu na mapumziko.
View attachment 2164691
Jioni ukitembea Pwani Kwa Pwani kuanzia mwanzo mpaka Mwisho utaona mambo ya Maldives na Ibiza utakutana na wabongo au wazungu wakifanya Yao.
😂😂😂😂😂 maeneo kama hayo hatwendi na manzi wetu, utaishia kujilaumu tu.. na ukose fursa za msingi kabisaHuku wakienda zenyewe sehemu za Beach za kitalii ujue wapo njema mfukoni na Hizo Beach zipo ambazo Kuna Bangalow Mtu anajipikia au anakula hotel Bei zimetabasamu kiasi.
Kuna wanaokuja na gari binafsi au za tours,huku kuziona GLE au X6 Kawaida unakuta anapush dada mzuri yupo mwenyewe.
Kuna Rafiki yangu mkongo alienda na Bibi ya kitanzania Ushongo Beach akalalamika Kila mara.
Unakuja nae tu, Kassim Mganga alisema kikubwa Cha Barlbou,kidogo Cha Mimi nawe.😂😂😂😂😂 maeneo kama hayo hatwendi na manzi wetu, utaishia kujilaumu tu.. na ukose fursa za msingi kabisa
Ukija Beach hizi una refresh sana na kuingia Saadani National Park ni kilometers Chache sana kutoka hapa.Basi inabidi kuja hapo kuyabariki macho 😀😀😀