Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Poapoa,vip naeza drive oneway au niwe nakapumzisha i.e dar-dom alaf dom-mwanza
Hako kwa kua huna haraka we kaendeshe kwa step. Kapumzishe Dom kabla hujakapeleka Mwanza.
Kulingana na maelezo yako ndo umekanyanyua tu juzi kati kutoka kwenye maji, em kadekeze dekeze kwanza mpaka kizoeee mazingira ya afrika 😀
 
Unaenda direct bila kupumzika.
 
Hako kwa kua huna haraka we kaendeshe kwa step. Kapumzishe Dom kabla hujakapeleka Mwanza.
Kulingana na maelezo yako ndo umekanyanyua tu juzi kati kutoka kwenye maji, em kadekeze dekeze kwanza mpaka kizoeee mazingira ya afrika [emoji3]

Hahaaaaa pamoja sana nitakua nakapa na uji wa lishe kabsaa mpka kafike katakua kakubwaa[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yaani mkuu IST mpaka upumzike kweli. Labda weww dereva ndo mzembe kiasi kwamba huwezi kutembea masafa marefu. Watu wana paso na wanaenda Tarime kutoka Dar bila kupumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…