miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Ooh, lkn kwa mbele ninkweli huwa mtu anaweza fanikiwa kutoonekana kwenye rada zao?
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha...ndiyo hivyo mkuu jamaa wakibana mlango inabidi kutokea dirishani.
Jamaa alishauriwa aining'inize pale kwenye Kioo cha kutazamia nyuma...
Akala cheti chenye nembo ya Polisi Tanzania..
Wale ni perege na at times ni kambale. Kuwela vile husaidia kupigwa upepo ili wasichache. Ile kuharibika.Wakuu kama mmeona njia ya Dar-Moshi mmekutana na madereva wengi wananing'iniza samaki kwenye side mirrors. Hivi ni samaki gani wale na wanatoka wapi? Na kuning'iniza vile ni kuepuka shombo kwenye gari au ?
......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Wakuu kama mmeona njia ya Dar-Moshi mmekutana na madereva wengi wananing'iniza samaki kwenye side mirrors. Hivi ni samaki gani wale na wanatoka wapi? Na kuning'iniza vile ni kuepuka shombo kwenye gari au ?
Ndiyo mkuu...mtu anafika safari yake bado wapo fresh.....Kwahio kale kaupepo ni kama friji!
Huyu dereva naye alikuwa ni SAMAKI kama hao SAMAKI aliowanunu...Ndio, kanasaidia samaki asiharibike.
Kuna Jamaa alizidisha idadi ya samaki katika side mirror ya kushoto alikuwa na Toyota Kluger.Kaondoka Pangani jioni katika kukimbia rough road amefika Korogwe aangalie side mirror anakuta hakuna, akapiga simu baada ya kufika kuwa amepoteza side mirror na samaki wake.
Kwa muktadha huo, hata mimi nimemuelewa sana...Nimemuelewa sana mshkaji,na ni eye opening kwangu na nitafanyia kazi hio kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
You must be very lucky....wakishakaa pale Philips kwenye mataa labda ukute wamezuia gari zaidi ya tano ndiyo utapita...na hao ndiyo wale wa washa taa, mara washa kile...So far sijakutana na hiyo changamoto hapa arusha.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Yes yes..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah... pole sana kwake
Ila fresh. Tunasuka mbinu mpya. Kama.kawa... chini kwa chini mpaka tutoboe ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes yes..[emoji119][emoji119][emoji119][emoji38][emoji38]
Naam mkuu,na umeiweka kwny hesabu imekaa vzr zaidi.Kwa muktadha huo, hata mimi nimemuelewa sana...
Kwa mtu anayeushi kwenye fokeni za Dar, kwma amepanga kumwaga oil badaa ya Km 3000, basi amwage kwenye km 2500....km 500 tunachukulia zimeliwa kwenye foleni injini ilipokuwa idle..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh Wasukuma tuna kazi kweli kweli
Aiseee kama alipitia ile shortcut ya Pangani-Muheza basi simlaumu sana maana ile barabara ni rough halafu nyembambaUkiwa Pangani Kuna shortcut ya kufika Muheza. Kwa madai yake side mirror anasema ilianguka kipande cha rough road ambacho ni Pangani-Boza-Madanga-Muheza. Na ilikuwa jioni anawahi akaungane na wadau wake High way-Korogwe kwenye Kula vyombo. Alipofika Korogwe ndio akapiga simu kulalamika samaki wameanguka na side mirror.
Nipo Mzee mambo vp lete habari
Chuma hicho!Isanga family nina shida na gari kama hii kutoka hapo south nipe utaratibu na bei
Mkuu nadhani ungecheki pick up land cruiser olx.co.za kwa kujua bei tuu zidisha na 160 ndio rate ya rand iliyopo leo hapo ni kuangalia tuu maana yapo mengi usifanye kitu chochote mambo ya pesa hapo baadhi ya minada imefungwa mpaka mwisho wa mwezi huu huko kuna bei nafuu ila unaweza kupata mwaka ambao ww huitaji...na pia zipo za petrol na diesel ni wewe tuu kwa Uchaguzi wako ila ukinunua ukiwa SA ni kwenda interpol,na mambo ya Dot ukitoka hapo unaenda kupata clearance ya mzigo kutoka nje ya SA ni bure ila dot kule unalipa haizidi laki na interpol ni bure ukitumia agent kupata hizo karatasi zote unamlipa rand 5000 maana ofisi zipo Jhb na Pretoria hizo gari zipo nyingi sana Mimi nanunua zilizogongwa na kuwekwa scrape napeleka kuinyoosha kwa pesa kidogo naondoka nayo iliyogongwa unapata kwa hela pungufu kuliko ya yard au mnadani maana unyooshaji wa huku unatoa vyote na kununua vingine sio kunyosha bati tunachozingatia isipinde chassis tuu ndio ina gharama kubwa au ununue ingine na kuikata iliyopinda kuinyosha...Isanga family nina shida na gari kama hii kutoka hapo south nipe utaratibu na bei
Mkuu nadhani ungecheki pick up land cruiser olx.co.za kwa kujua bei tuu zidisha na 160 ndio rate ya rand iliyopo leo hapo ni kuangalia tuu maana yapo mengi usifanye kitu chochote mambo ya pesa hapo baadhi ya minada imefungwa mpaka mwisho wa mwezi huu huko kuna bei nafuu ila unaweza kupata mwaka ambao ww huitaji...na pia zipo za petrol na diesel ni wewe tuu kwa Uchaguzi wako ila ukinunua ukiwa SA ni kwenda interpol,na mambo ya Dot ukitoka hapo unaenda kupata clearance ya mzigo kutoka nje ya SA ni bure ila dot kule unalipa haizidi laki na interpol ni bure ukitumia agent kupata hizo karatasi zote unamlipa rand 5000 maana ofisi zipo Jhb na Pretoria hizo gari zipo nyingi sana Mimi nanunua zilizogongwa na kuwekwa scrape napeleka kuinyoosha kwa pesa kidogo naondoka nayo iliyogongwa unapata kwa hela pungufu kuliko ya yard au mnadani maana unyooshaji wa huku unatoa vyote na kununua vingine sio kunyosha bati tunachozingatia isipinde chassis tuu ndio ina gharama kubwa au ununue ingine na kuikata iliyopinda kuinyosha...
Code yao SA ni co.za kwa hiyo ukitaka kitu chochote andika mfano scania truck olx.co.za hapo ni used ukitaka mpya toa hiyo olx unaongea na wenyewe scania truck.co.za au Benz .co.zaShukrani sana, wacha nicheki alafu mambo yakiwa byee nakucheki tena kiongozi.
Code yao SA ni co.za kwa hiyo ukitaka kitu chochote andika mfano scania truck olx.co.za hapo ni used ukitaka mpya toa hiyo olx unaongea na wenyewe scania truck.co.za au Benz .co.za
Ubora upo kampuni ni zile zile, kitu kinachobadilika labda ni standards na option features kulingana na soko la huko South Africa.Mkuu nimechungulia kweli ndinga bei rahisi sana ila sijajua ubora maana SA nayo ni Afrika tu iliyochangamka