Pia nimeona ulinganifu wa humu haupo haupo fair. wanalinganisha gari zikiwa zimachana sana uwezo hadi beiHaha tunaelewana mkuu ila unakuta kuna mwingine analinganisha magari unaona kabisa huyu ni mahaba tu
Kwan bila lift nikitaka kuliwa kimasikhara siliwi? KhaaaaahUtaliwa kimasihara shauri yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umekula nn leo? Mbna umechachuka sana lolNitafutie ka first year 1st edition nikupe Raum [emoji1][emoji1][emoji1]
Gold attracted everything.Asee kumejengeka mnoo mkuu, nimeona gari ya kila aina, zingine hata kuziona Dar ni adimu ila kule ukikaa kidogo zimepita.
Vanguard. Tako la Nyani. Dualis. CrownRange 2021 niliiona moja ya dark blue na ina jina la jamaa kabisa. Kiukwel nilijiona mnyonge sana na Subaru yangu. Crown ndio uchafu kabisa kama sare za shule.
Migori ipoPole mkuu. Nashangaa mpaka leo hakuna mfanyabiashara aliyeweka sheli katikati humo hata mitaa ya Migori
Labda uongelee wajerumani wale rare au super cars. Kama R8.Wajerumani 2022 hawagusiki kirahisi unaweza kuta una nunua hizo LC300 mbili kama wa RR SVR 2022 .. [emoji1][emoji1][emoji1]
Hiyo ni SVR ya 2020.. na bei kama ulivyo ona.. kaangalia na bei ya LC300.. Na mwisho wa siku sijaibeza LC300 hata kidogo ukiangalia tokea juu utaona. Na mwisho wa siku kabisa sibezi gari aina yoyote vipato vyetu ni tofauti .. na kumalizia kila nchi ina gari affordable german na japan na hata US .. chaguo linatokana na mfuko wakoLabda uongelee wajerumani wale rare au super cars. Kama R8.
Ila most of german cars are very affordable.
Usiichukulie LC300 kirahisi hivyo. Hilo dude ni very expensive.
Vile serikali inayamiliki ya kutosha kupitia kodi zetu.
Asee nimeamini hiko kitu kaka, daah! Yani sio kwa kinyonge kule, Dhahabu imewainua sana.Achna na kitu inaitwa DHAHABU kaka, dhahabu inawapa jeuri sana ile watu
Tako la nyani, Crown, Extrail, Mark X na Vanguard wingi wake ni kama vile Dar kwa IST.Vanguard. Tako la Nyani. Dualis. Crown
Yani ni kama mtu mmoja anafikiria kwa niaba ya watu almost wote.
Hapo bado Ushuru wa bongoHiyo ni SVR ya 2020.. na bei kama ulivyo ona.. kaangalia na bei ya LC300.. Na mwisho wa siku sijaibeza LC300 hata kidogo ukiangalia tokea juu utaona. Na mwisho wa siku kabisa sibezi gari aina yoyote vipato vyetu ni tofauti .. na kumalizia kila nchi ina gari affordable german na japan na hata US .. chaguo linatokana na mfuko wako View attachment 2259420View attachment 2259421
😄😄😄😄 acha tu mkuuHapo bado Ushuru wa bongo
Asee sio poa mkuu [emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] acha tu mkuu
Source yako ni questionable.Hiyo ni SVR ya 2020.. na bei kama ulivyo ona.. kaangalia na bei ya LC300.. Na mwisho wa siku sijaibeza LC300 hata kidogo ukiangalia tokea juu utaona. Na mwisho wa siku kabisa sibezi gari aina yoyote vipato vyetu ni tofauti .. na kumalizia kila nchi ina gari affordable german na japan na hata US .. chaguo linatokana na mfuko wako View attachment 2259420View attachment 2259421
Unataka niamini source yako ? hiyo ni SVR carbon edition na sio normal SVR . Pia kama mtu ataenda nunua hiyo gari anajua abc za manunuzi hata mitandaoni kwa hiyo gari .. pia huyo ni muuzaji wa gari nyingi na zinauzikaSource yako ni questionable.
Huyo dalali wa Kenya ana utofauti gani na wale wa Mlimani City? Kairo hawezi kuwa reliable source ya bei halisi ya magari.
Hiyo ni sawa na $105,000.
Bei ya LC300 series inaweza ikawa kubwa zaidi ya hii.View attachment 2259969
Autotrader is the most trusted car re-seller in Europe. Unafananisha na huyo dalali anaeuza gari za Singapore?Unataka niamini source yako ? hiyo ni SVR carbon edition na sio normal SVR . Pia kama mtu ataenda nunua hiyo gari anajua abc za manunuzi hata mitandaoni kwa hiyo gari .. pia huyo ni muuzaji wa gari nyingi na zinauzika
Nimekuuliza swali niamini source yako ?Autotrader is the most trusted car re-seller in Europe. Unafananisha na huyo dalali anaeuza gari za Singapore?
Na wanaonunua magari kwa madalali kama Kairo are clueless about prices, models or specs?
Ndo mnaoambiwa gari ya 2007 new model na nyie mnajaa.
Nakushauri usiende kichwa kichwa kuwekeza kwenye hiyo biashara; kakae kwa muda kidogo ujiridhishe, ikibiti tafuta hata vibarua kwao ili upate experience, ukienda na fedha zako kuwekeza haraka haraka utapigwa ushangae. Ushauri hu ni kwa wale tu wanao taka kwenda kufanya biashara ya DHAHABU huko Kahama na GEITA! Sina hakika na utamaduni wa watu wa Chunya na sehemu zingine ambazo zina chimba dhahabuAsee nimeamini hiko kitu kaka, daah! Yani sio kwa kinyonge kule, Dhahabu imewainua sana.
Kuna jamaa mmoja hivi machimbo ya SEKENKE alizamisha billion 2 ndani ya miezi mi5 na hajapata pesa ya kueleweka hadi leo zaid ya pesa ya kula tu.Nakushauri usiende kichwa kichwa kuwekeza kwenye hiyo biashara; kakae kwa muda kidogo ujiridhishe, ikibiti tafuta hata vibarua kwao ili upate experience, ukienda na fedha zako kuwekeza haraka haraka utapigwa ushangae. Ushauri hu ni kwa wale tu wanao taka kwenda kufanya biashara ya DHAHABU huko Kahama na GEITA! Sina hakika na utamaduni wa watu wa Chunya na sehemu zingine ambazo zina chimba dhahabu