Yeah kuna namna aidha crown ni nzito zaidi kuliko Mark X ndio ina affect ulajiUpo sahihi mkuu, kuna mshikaji wangu pia ana 3gr kwenye crown yake huwa gauge Yale ya mafuta I inashuka haraka kuliko yangu
Nashukuru sana mkuu, maana Nilikuwa sielew kabisaYes magari yanayopitia bandari yetu na kupelekwa nchi jirani kama Rwanda, Burundi [emoji1060], congo, zambia malawi au Zimbabwe [emoji1269], elewa hayajasajiliwa rasmi hapa,means international Transit (IT)ndio yanatambulishwa hivyo, madereva wake wengi ni wazoefu wa njia maana wanasafiri almost kila siku, yaani mtu anakamata T1,saa 0500am yupo Tunduma anaacha gari pale border, analamba Sauli back to Dar ili akamate IT nyingine, safari nyingi salama means more money, nadhani ni 100usd kwa gari
Wapi na nani huyo?Nilipoenda naona ameiva kweli kwenye umeme wa magari, wanatengeneza control box mbovu & any circuit.
Wewe huwa unaongea kwa hisia sio facts. Numbers don't lie. Soma hapo ipi inakupa MILES nyingi per Gallon (Yaani inaenda umbali mrefu kwa gallon)Nilishamwambiaga mtu flani humu 3GR inakula wese vizuri sana kuliko hata 4GR. Engine ina balance nzuri ya power kwenye uzito wa body.
Mnaongea kwa hisia bado. Same engine crown na Mark X consumption sawa. Gari mnazotumia ziko over 10yrs old vitu vingi vishazeeka si ajabu kusoma numbers tofauti. Ila factory setting and specs zote sawaUpo sahihi mkuu, kuna mshikaji wangu pia ana 3gr kwenye crown yake huwa gauge Yale ya mafuta I inashuka haraka kuliko yangu
Hio gauge ina fluctuate kulingana na hali ya barabara na uendeshaji. Kuna point inaweza kufika hadi 30k/L ila ukitaka kujua consumption sahihi fika mwisho wa safari angalia AVERAGE CONSUMPTION utapata jibu.
Sawa sawa, hilo la uchakavu huenda ikawa sababuMnaongea kwa hisia bado. Same engine crown na Mark X consumption sawa. Gari mnazotumia ziko over 10yrs old vitu vingi vishazeeka si ajabu kusoma numbers tofauti. Ila factory setting and specs zote sawa
View attachment 2319689
Nimekupata vizuri mkuu, naomba kujua utofauti wa performance Kati ya mark x na crown kwa maana ninachojua zote Zinatumia engine na gearbox za aina moja, ila maneno ya mtaani ni crown inasepa kuliko mark.. hili limekaaje kitaalam.. asanteHio gauge ina fluctuate kulingana na hali ya barabara na uendeshaji. Kuna point inaweza kufika hadi 30k/L ila ukitaka kujua consumption sahihi fika mwisho wa safari angalia AVERAGE CONSUMPTION utapata jibu.
Sio kila BMW ni mtambo wa speed 😀😀Kuna mwamba aliwahi kutunyoosha mbaya sana na mark x ya 260kph tukiwa kwenye bmw x3, ilikukwa kipande cha kutoka mafinga kuitafuta makambako. Hiyo mark ilikuwa IT na ni usiku jamaa akawa anaomba na mark x yake mshikaji wangu alikuwa anadrive akasema huyu hapenyi hapa. Alichotufanya alituosha tukiwa 220kph na alipotea. Tumekuja kumkuta jamaa makambako puma pale, ikabidi tushuke kumcheki maana hutukuamini ile show aliyofanya. Kuja kucheki ubaoni ana 260kph...
Hapo dereva tu.Nimekupata vizuri mkuu, naomba kujua utofauti wa performance Kati ya mark x na crown kwa maana ninachojua zote Zinatumia engine na gearbox za aina moja, ila maneno ya mtaani ni crown inasepa kuliko mark.. hili limekaaje kitaalam.. asante
Asante mkuu...Hapo dereva tu.
Taa burudani, na AFS inakumulikia kwenye kona unajiachia tuRaha sana usiku uwe na taa nzuri tu. Utafanikwa yani vizuri mno tu sasa ona umetembea 85 bila bugudha yani steady speed ya 1OOkph
Its a waste until unapotaka kuovertake kabla ya safe space kuisha. Hapo utashukuru una all that extra power under your foot. Inafanya overtaking iwe safer.Waste of energy/power! 25-30sec kisahani kimeisha!
Engine gani hii?Kuliko kutoa limiter bora uagize ya 260kph toka hong kong, maana mark x zipo ambazo huitaji kutoa limeter View attachment 2319399
Anaitwa mkude auto electrical, mitaa ya Tandale shule ya UzuriWapi na nani huyo?
....pls don't overtake if IT'S not safely to do so, always bring your A game when overtaking, observations ni most important, indicating, na pia kama unaendesha manual car ,gear zako zipangilie vema,ndio maana night driving ni superIts a waste until unapotaka kuovertake kabla ya safe space kuisha. Hapo utashukuru una all that extra power under your foot. Inafanya overtaking iwe safer.
That's why always convoy na ITs ni music mzuri, ila usimzuie mtu kukuovatake maana unaweza sababisha ajali or ugomvi wa barabarani sio mzuri, ukiona yupo right behind you mpishe, then nawe utafute njia ya kumpitaKuna mwamba aliwahi kutunyoosha mbaya sana na mark x ya 260kph tukiwa kwenye bmw x3, ilikukwa kipande cha kutoka mafinga kuitafuta makambako. Hiyo mark ilikuwa IT na ni usiku jamaa akawa anaomba na mark x yake mshikaji wangu alikuwa anadrive akasema huyu hapenyi hapa. Alichotufanya alituosha tukiwa 220kph na alipotea. Tumekuja kumkuta jamaa makambako puma pale, ikabidi tushuke kumcheki maana hutukuamini ile show aliyofanya. Kuja kucheki ubaoni ana 260kph...
4GR hioEngine gani hii?