Yeeeee mkuu hii ni DRS!kwenye F1 cars, unaambiwa kuwa Max wa red bull team anamfukuza Lews wa Mercedes team na max ana DRS, weee ni safi sana,hope's mashindano haya yatarudi Africa next yearHamna eneo unaifeel raha ya gari kama kwenye ku overtake yani. Hasa gari ikiwa na nguvu unamkata mtu kama masihara.
Kwa sisi wenye vifua vya wastani ni kubonyeza kadude ka O/D off kidogo ukija kukawasha unahesabu sekunde tu uko mbele.
Sindogo mkuuSi kdg maana naamini hakua nazo!
Mie naiaminia sana Alphard nikiwa safari huwa hainiangushi pia napenda overtaking zake za chap kwa haraka kwenye kuchanganya.Kwa ambavyo huwaga zinajichana highway sina doubt kabisa. Huwa znafunguka sana.
Y imeanza leo DZY 1O1Mzigo umefika apo wakuuView attachment 2320452
Avute Zhongtong yake sasa aombe tag New Force au Sauli aliite gari lake "Ndugu Abiria" kama ilivyo "Golden deer" ya New Force aendelee kupiga za Mbeya - Dsm. Basi lina faida sana kwa haraka tu faida kwa mwezi haiwezi pungua 4O millions.Mkuu kwani 150 kidogo?
Ungepata pancha na hiyo tyre usiku.Mi nakumbuka kuna wakati nilitoka mbeya na tyre moja ya kuunga unga ila nilifika DSM salama kabisa. Yote ile kutembea usiku bila hivyo mchana ningeadhirika.
Hii ni hatari sana bro.Wale ni moto mkubwa ila usiwe nyuma sana,ukiwa nafasi ya 3 ni safi maana pointer usimpoteze kabisa,unapokwenda kulia na wewe unakwenda pale pale, tailing lights zake zitakuwa zinaongea, aki apply brakes utajua Pana tatizo na wewe unakua umeshajiandaa to break
Kwa barabara za Tz, ukiwa na almost the same horses, gari ya diesel inakuacha mbali sana.Yeah diesel utainyoosha ila pia ina moto kuliko ile ya LC2OO VX-R ambayo Horses ni 278 tu ila mziki mnene.
Hahahah diesel ya 310HP ni mziki huwezi fananisha na petrol sababu torque ziko juu. Take of yake inaweza kuwa ya kawaida tu ila ikichanganya mwendo rahisi kumkalisha petrol.Kwa barabara za Tz, ukiwa na almost the same horses, gari ya diesel inakuacha mbali sana.
Ile torque ndo silaha kubwa mno.
Kuna wakati nilikuwa na petrol na jamaa ana diesel, alinipa challenge kubwa sana.
Nilikatiza hapo mwezi wa 4 hivi.Kona za kilimasera Tunduru to Namtumbo View attachment 2319387
Ile barabara kuna sehemu walitakiwa waweke madaraja kuifupisha na sio kuzunguka na milima.Ni kweli ila za kwenda nyasa/mbambabay ni zaidi ya hizi...
Watu wana ujasiri si mchezo.Kuna mwamba aliwahi kutunyoosha mbaya sana na mark x ya 260kph tukiwa kwenye bmw x3, ilikukwa kipande cha kutoka mafinga kuitafuta makambako. Hiyo mark ilikuwa IT na ni usiku jamaa akawa anaomba na mark x yake mshikaji wangu alikuwa anadrive akasema huyu hapenyi hapa. Alichotufanya alituosha tukiwa 220kph na alipotea. Tumekuja kumkuta jamaa makambako puma pale, ikabidi tushuke kumcheki maana hutukuamini ile show aliyofanya. Kuja kucheki ubaoni ana 260kph...
German car model ipi kwanza Porsche, x7 au ix7 au gwagon au Volvo xc70 au Audi q7 au touareg e-tronHio lexus ina comfort na luxury features kuliko hata baadhi ya german makes.
Raha ya petrol uwe na stretch kubwa na sehemu tambarare.Hahahah diesel ya 310HP ni mziki huwezi fananisha na petrol sababu torque ziko juu. Take of yake inaweza kuwa ya kawaida tu ila ikichanganya mwendo rahisi kumkalisha petrol.
Bora ukomae na dieselRaha ya petrol uwe na stretch kubwa na sehemu tambarare.
Ila diesel unapandisha mlima una 350hp kifuani, kama unashuka vile. Wakati petrol ni kama inaanza kuchoka.
I think my next car itakuwa BMW X5 50d yenye 380hp.
Hivi Alphard inaweza pelekana na prado 150?A wale jamaa tumewatafuta sana ila kuna jamaa alikuwa na alphard nyeusi nae aliuwasha moto sanaa ila alikuwa na vituo vingi sanaaaa.
Hao ni exceptional kwenye huu mjadala[emoji23]Misumari myeusi.View attachment 2318569
Hivi hizi range rover mfano ile ya MO DEWJI vipi LC 300 inaweza fuata maana ni 500hp.Hii LC300 VX-R inapata ushindani mzuri tu kwa Majesta V(S200), inacheua 347HP, na 460Nm, hasa kama dereva anajua mahala pa bampa to bampa sema hizi Majesta ni chache, wengi wana Crown Athlete ambazo kwa L300 zinakaa mapema tu