Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
Safari salama mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari salama mkuu
Utakuwa uozo mtupu bora tra mara 100Mimi Nina wazo tofauti kabisa,hii ya TRA kusajili magari ni makosa, usajili wa magari ungefanywa na serikali za mitaa (municipalities),na haya yangekua sehemu ya mapato yao
Bon voyage mkuu.Tabora to Dar naanza safari ,kufika Kwenye saa 10 hadi 11 jioni
Unafanya nini njiani mkuu au kuna sehemu unapitia?Tabora to Dar naanza safari ,kufika Kwenye saa 10 hadi 11 jioni
Mwagika mwamba,toka Mafiati pale hadi Ipogoro unakula 329 tu km then chuma iinuke na ukali wake toka Ipogoro iitafute Kihesa,Nyang'olo,ishushe kama ya wizi mwamba ibuka Izazi,chapachapa Mtera zile zote tafuta East Zoo ni km 269 tu toka Down Ipogoro pale
Kaza macho tembea ,hapo tunamwagikaga tu iT tunachafuka na zote mkuuKwanzia igawa kurudi chimala adi apa karibu na mlima nyoka barabara ni ndogo mno na ina mashimo shimo mixer viraka usiku kama una macho ya sungura unaingiza gari porini sio pakukimbia kabisa kwanzia hapo ila kwanzia igawa pale hadi uko mbele ni [emoji91]
[emoji81][emoji81] sawa sawa mkuuuKaza macho tembea ,hapo tunamwagikaga tu iT tunachafuka na zote mkuu
Hili najua, huwa naona comments humu watu nadhani ame approximate tu muda, wana round down to the nearest hour. Mambo kwa ground ni tofauti.Nafikiri umeona jinsi ilivyo kazi kupata 100kph average.
Kuslow down kwa ajili ya tuta kunakushusha average vibaya mnoAf watu wanachukulia easy kuipata average ya 100km/h sio mchezo. Inakubidi utembee haswa na most of the time uwe una clock 180kph.
Mpunguzi now nakula mbuzi nimeichapa fimbo za uhakikaMwagika mwamba,toka Mafiati pale hadi Ipogoro unakula 329 tu km then chuma iinuke na ukali wake toka Ipogoro iitafute Kihesa,Nyang'olo,ishushe kama ya wizi mwamba ibuka Izazi,chapachapa Mtera zile zote tafuta East Zoo ni km 269 tu toka Down Ipogoro pale
Hivi sio wewe na wenzio hapa mlikuwa mnasema Dar Moshi 550km mnatembea 5hrs or less? Yaani 120kph fulani average. Njia ina matuta balaa.Af watu wanachukulia easy kuipata average ya 100km/h sio mchezo. Inakubidi utembee haswa na most of the time uwe una clock 180kph.
Hahahahah mziki mnene, 100kph steady ni mziki kuipataHivi sio wewe na wenzio hapa mlikuwa mnasema Dar Moshi 550km mnatembea 5hrs or less? Yaani 120kph fulani average. Njia ina matuta balaa.
Hapo ndiko prado au vx anakuchapa bila hurumaKuslow down kwa ajili ya tuta kunakushusha average vibaya mno
Huwa spendi matuta kuna baadh ya gari hazichanganyi mapema.Kuslow down kwa ajili ya tuta kunakushusha average vibaya mno
Yes ndio maana kwa sisi wapenzi wa road convoy za usiku una make sure taa zako zipo byee, wiper n wind screen ziwe in good shape, na ikibidi vaa night driving goggles...always KEEP A GOOD FOLLOWING DISTANCE, pointer aki brake ghafula kusimama LAZIMA nawe uwe in a position to stop sio kumgonga au kuingia poriniKwanzia igawa kurudi chimala adi apa karibu na mlima nyoka barabara ni ndogo mno na ina mashimo shimo mixer viraka usiku kama una macho ya sungura unaingiza gari porini sio pakukimbia kabisa kwanzia hapo ila kwanzia igawa pale hadi uko mbele ni [emoji91]
Huwa spendi matuta kuna baadh ya gari hazichanganyi mapema.
Hasa kale ka IST 1.3L ni majanga nilienda nako Dom ni huzuni😂Huwa spendi matuta kuna baadh ya gari hazichanganyi mapema.
Ungekuwa na odo yenye mpaka 260, average ingekuwa tofauti sana.Kuslow down kwa ajili ya tuta kunakushusha average vibaya mno