National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
IT majuzi niliwaburuza , ilifika point hawakuniona tenaaa na mie sikuwaona tena 😀😀 mwanzo walinipita kama upepo huku wananipigia piiipiii.. nikasema moyoni haya twendeni kazi..Ni kweli ligi huwa zinaanzia msamvu hapo ila Wale jamaa iT kiboko sema kama una chombo cha kueleweka barabara unaijua vizuri wao ndo wanasanda.
Alikutana na mtu asiyekimbia na Hilux D4DTulikuwa tumeongozana sio kwa lengo la kupitana, na tulifika wote town. Ila kama unadharau hilux D4D, aisee bado hujatembea.
Na inagia 6 hii nimeweka ni 2GDKaka kama unanunua hilux latest 2020-Present utaikuta ina 2.8L 1GD-FTV which makes 201HP. Hii engine ni successor wa 3.0L 1KD-FTV.
Hivyo output iko juu zaidi kwa latest hilux models.
Mimi natumiaga masaa sita kutoka Sirari mpaka singida.Zile ngoma zinatembea mkuu... kuna jamaa namjua alitoka Mwanza saa 6 mchana, akafika Dodoma saa 12 jioni, walikuwa wanawahi site kabla ya jua kuzama! Zile mashine ni noma sana.... ingawa hazifiki kwa Amarok 🤣 🤣 🤣 🤣
Welldone mkuu hizi ni ligi salama na ITsIT majuzi niliwaburuza , ilifika point hawakuniona tenaaa na mie sikuwaona tena 😀😀 mwanzo walinipita kama upepo huku wananipigia piiipiii.. nikasema moyoni haya twendeni kazi..
Mkuu ulikuwa na mashine gani[emoji81]IT majuzi niliwaburuza , ilifika point hawakuniona tenaaa na mie sikuwaona tena [emoji3][emoji3] mwanzo walinipita kama upepo huku wananipigia piiipiii.. nikasema moyoni haya twendeni kazi..
Uliwakata mitaa ganiIT majuzi niliwaburuza , ilifika point hawakuniona tenaaa na mie sikuwaona tena 😀😀 mwanzo walinipita kama upepo huku wananipigia piiipiii.. nikasema moyoni haya twendeni kazi..
Niliwakata kipande cha igunga - tinde bati bati bati tuUliwakata mitaa gani
Crown tu mzee 😀😀Mkuu ulikuwa na mashine gani[emoji81]
IT wanakimbia kuoko mda, wanaleta hamasa sana ukiwa umeboreka road ..Welldone mkuu hizi ni ligi salama na ITs
Yes mkuu maana kwao ,unavyofanya trips nyingi na salama ndio unatengeneza pesa nyingi zaidi, ndio maana ni muhimu kuwa border by 5am ili ukabidhi gari na kugeuza na SauliIT wanakimbia kuoko mda, wanaleta hamasa sana ukiwa umeboreka road ..
Kuna siku nilipanda IT , jamaa nahisi alikuwa kachoka, tulikuwa wawili tu akaniambia mwana unajua kuendesha gari , nikamuambi kimtindo.. akaniachia chuma 😀😀😀 niliwasha moto jamaa hakuamini, akasema ikitokea mchongo nitakuunganisha uje u push hizi IT.. nachopendea gari zinazopita hapa nyingi zipo na hali nzuri sana tofauti na tunazobaki nazoYes mkuu maana kwao ,unavyofanya trips nyingi na salama ndio unatengeneza pesa nyingi zaidi, ndio maana ni muhimu kuwa border by 5am ili ukabidhi gari na kugeuza na Sauli
Welldone mkuu na hope's ulichukua contact details zakeKuna siku nilipanda IT , jamaa nahisi alikuwa kachoka, tulikuwa wawili tu akaniambia mwana unajua kuendesha gari , nikamuambi kimtindo.. akaniachia chuma 😀😀😀 niliwasha moto jamaa hakuamini, akasema ikitokea mchongo nitakuunganisha uje u push hizi IT.. nachopendea gari zinazopita hapa nyingi zipo na hali nzuri sana tofauti na tunazobaki nazo
Tulibarishana namba, ila badae ulipita mda tukapitezanaWelldone mkuu na hope's ulichukua contact details zake
Hahahah watakuwa wanasimuliana tu huko kama sisiNiliwakata kipande cha igunga - tinde bati bati bati tu
Kuna sehemu wanakodisha magari, nataka nikakodi li V8 mwisho wa wiki nichape trip moja matata dar hadi kahama then geita to mwanza 🤣🤣🤣🤣 nikiwashe tuuuHahahah watakuwa wanasimuliana tu huko kama sisi
Hahahah unataka ukiwashe na VX-R au sio,Kuna sehemu wanakodisha magari, nataka nikakodi li V8 mwisho wa wiki nichape trip moja matata dar hadi kahama then geita to mwanza 🤣🤣🤣🤣 nikiwashe tuuu
Hii kwa muonekanao tu ni hamna kitu 😀😀😀😀Na inagia 6 hii nimeweka ni 2GD